Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MADALALI WA KORTI WAKAMATA BASI LA TFF

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

NHC: Kuweni makini na madalali

Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limewatahadharisha wananchi kujiepusha na watu wanaojifanya madalali katika utoaji wa nyumba zake mpya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wataka madalali wa mazao wadhibitiwe

SERIKALI imetakiwa kuwadhibiti madalali wa mazao ya shambani kwa kuwa ni maadui wanaosababisha kudidimiza kipato cha wakulima. Ushauri huo umetolewa na mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Kisua...

 

10 years ago

Habarileo

CCM yakaripia viongozi madalali

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman KinanaCHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka viongozi wake walioanza kuwatembeza watu wenye nia ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu, kuacha mara moja kwa kuwa wanakiuka kanuni za viongozi na maadili.

 

10 years ago

Mwananchi

Hatuhitaji madalali uchwara katika soka

Mmoja wa madalali bora wa soka duniani Jorge Mendes, akihojiwa na kituo cha habari cha BBC aliwahi kunena kuwa watu hawajui lolote kuhusu udalali wa soka na ndiyo maana hubaki kuwashutumu tu.

 

10 years ago

Bongo5

Tanzania hakuna management kuna madalali — AT

Mwimbaji wa muziki wa mduara AT amesema wakati yupo chini ya management alikuwa haoni faida ya muziki wake. Akizungumza na Story Tatu ndani ya kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio, AT amesema Tanzania hakuna mameneja wa muziki bali kuna madalali. “Tanzania hakuna management kuna madalali tu,” alisema. “Wakati nasimamiwa nilikuwa sioni faida ya muziki […]

 

10 years ago

Mwananchi

UWAKALA : Madalali watibua usajili Bongo

Yanga ipo kwenye mzozo na Kimondo FC baada ya kumsajili Geofrey Mwashiuya, huku Simba inavutana na mshambuliaji wake Ramadhani Singano ‘Messi’ na vurugu za aina hii zimekuwa ni kawaida hapa nchini kila wakati wa usajili.

 

10 years ago

Vijimambo

Lamudi Tanzania kutangaza huduma za madalali bure

Meneja Huduma kwa Wateja wa Lamudi Tanzania, Godwin Lemma akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam. Meneja Huduma kwa Wateja wa Lamudi Tanzania, Godwin Lemma akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam.[/caption] KAMPUNI ya Lamudi Tanzania, imetambulisha huduma yake ya kuwawezesha madalali mbalimbali wanaofanya kazi ya kuwatafutia nyumba, viwanja na magari wateja wao ili kuweza kutangaza huduma wanazotoa. Akizungumza na mwandishi wa habari hizi leo jijini Dar es Salaam, Meneja Huduma kwa Wateja wa Lamudi Tanzania, Godwin Lemma amesema kwa sasa madalali...

 

10 years ago

Mwananchi

Wizara ya ardhi yaandaa sheria kuwabana madalali

Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesema imeanza mchakato wa kutengeneza muswada wa  Sheria ya mawakala wa ardhi  ili kuwabana madalali wa ardhi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani