MADEREVA WANAHITAJIKA WASHINGTON DMV
NAFASI ZA KAZI TUNAHITAJI MADEREVA WA CARS . SUV . MINIVAN WASHINGTON DMV ONLY CITY AND LONG DISTANCE PASSENGERS TRANSPORTATION AND DELIVERY SVC EMAIL DMKGLOBAL@ME.COM / 3016616207 /2028308904Â
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLRAIS KIKWETE ALIPOKUTANA NA WANAJUMUIYA YA WATANZANIA WA DMV KATIKA MKUTANO WA DIASPORA JIJINI WASHINGTON
Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania DMV wakati wakimsubiri Rais Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili Julai 3, 2014 katika hoteli ya Marriot jijini Washington DC
Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania DMV wakati wakimsubiri Rais Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili Julai 3, 2014 katika hoteli ya Marriot jijini Washington DC…
11 years ago
MichuziMaangalizi ya afya Washington DMV...bure
Wataalam wa afya DMV (HCP Metro DC) wanatuleta huduma ya afya kwa wale wasiokuwa na bima ya afya. Huduma hii itatolewa kwa usawa bila kujali dini,rangi,umri,uraia au uchumi.
Kama una rafiki, ndugu au mzazi asiyekuwa na bima ya afya tunaomba mshiriki ili tuwe na jamii inayoshamiri na yenye afya njema. Zoezi hili litachukuwa hatua ya kuwaona wale watakaokuwa na hali pungufu ya afya njema mara moja kwa mwezi.
Tarehe: 04/12/2014 (Jumamosi) Saa 3:00 asubuhi hadi mchana 7:00 (waweza kuja...
Kama una rafiki, ndugu au mzazi asiyekuwa na bima ya afya tunaomba mshiriki ili tuwe na jamii inayoshamiri na yenye afya njema. Zoezi hili litachukuwa hatua ya kuwaona wale watakaokuwa na hali pungufu ya afya njema mara moja kwa mwezi.
Tarehe: 04/12/2014 (Jumamosi) Saa 3:00 asubuhi hadi mchana 7:00 (waweza kuja...
9 years ago
Vijimambo10 years ago
MichuziMahojiano na Charles Magali ndani ya Washington DMV
Charles Magali akiwa ndani ya Kilimanjaro Studio zinazomilikiwa na Vijimambo Radio, Kwanza Production na NesiWangu MediaIjumaa ya Julai 24, 2015, mwigizaji na mwimbaji wa muziki nchini Tanzania Charles Magali alipata fursa ya kutembelea studio zetu zilizopo Beltsville Maryland. Hapo akazungumza nasi kwa ufupiKaribu umsikilize akihojiwa na Mbunifu na Mtayarishaji wa kipindi hiki Dj Luke Joe na Mubelwa Bandio
9 years ago
VijimamboMaonyesho ya ndege za kivita Washington DMV Sept 19, 2015
Picha kwa hisani ya Vijimambo na Kwanza Production
Maonyesho hayo yasiyo na kiingilio, yaliambatana na maadhimisho ya miaka 100 ya jeshi la maji nchini hapa. Maonyesho ya ndege za kivita na vifaa vingine kutoka majeshi ya Marekani, yamefanyika leo na kuhudhuriwa na maelfu ya watazamaji.
Askari miavuli wakishuka kwa aina yake
Mmoja wa askari wa mwavuli akishuka katika ufunguzi wa maonyesho hayo
F-22 Raptor
F-22 a.k.a Raptor na Mustang zikifanya onyesho la pamoja
F-22 a.k.a Raptor ikisalimu...
Maonyesho hayo yasiyo na kiingilio, yaliambatana na maadhimisho ya miaka 100 ya jeshi la maji nchini hapa. Maonyesho ya ndege za kivita na vifaa vingine kutoka majeshi ya Marekani, yamefanyika leo na kuhudhuriwa na maelfu ya watazamaji.
Askari miavuli wakishuka kwa aina yake
Mmoja wa askari wa mwavuli akishuka katika ufunguzi wa maonyesho hayo
F-22 Raptor
F-22 a.k.a Raptor na Mustang zikifanya onyesho la pamoja
F-22 a.k.a Raptor ikisalimu...
9 years ago
MichuziMaonesho ya ndege za kivita Washington DMV Jana Sept 19, 2015
Picha kwa hisani ya Vijimambo na Kwanza Production Maonyesho hayo yasiyo na kiingilio, yaliambatana na maadhimisho ya miaka 100 ya jeshi la maji nchini hapa.Maonyesho ya ndege za kivita na vifaa vingine kutoka majeshi ya Marekani, yamefanyika leo na kuhudhuriwa na maelfu ya watazamaji. Askari miavuli wakishuka kwa aina yake Mmoja wa askari wa mwavuli akishuka katika ufunguzi wa maonyesho hayo.Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
11 years ago
Michuzi14 Apr
Shukrani kwa kufanikisha Free Health Screening Washington DMV
Video Credits: Swahilivilla Videos
ASANTENI... Asanteni HCP Metro DC na NesiWangublog
Asanteni wataalamu wa afya waliojitolea,
Asanteni TanoLadies, uongozi wa University Methodist Church
Uongozi wa The Way Of The Cross Gospel Ministriy, jumuiya ya Watanzania 'ATC' pamoja na wote mliojitoa kufanikisha huduma hii.
ZAIDI YA YOTE, Shukrani kwa Ebou Shatry Swahilivilla Blog ambaye bila yeye, wote tuliokosa kuhudhuria tusingejua kilichotokea.
WAKATI UJAO TUSIKOSE
Zifuatazo ni picha kwa hisani...
10 years ago
VijimamboMkutano mkubwa wa kiRoho (TAUS retreat 2015) waanza Washington DMV
Mgeni Rasmi, Mchungaji Wilbert Nfubhusa akitoa Wazo la Jioni wakati wa uzinduzi wa Retreat hiyoMkutano mkubwa wa kiroho (TAUS Retreat 2015) ulioandaliwa na Jumuia ya waTanzania Wasabato walioko Marekani (Tanzania Adventists in the United States) umeanza leo hapa Washington DC.
Utaendelea mpaka Jumapili.
Ijumaa na Jumamosi ni kuanzia saa 2 asubuhi mpaka saa 3 usiku kwa saa za Marekani ya Mashariki(8:00 am - 9:00pm EST)
Anwani ni
Burnt Mills SDA Church;
10915 Lockwood Drive, Silver Spring MD...
Utaendelea mpaka Jumapili.
Ijumaa na Jumamosi ni kuanzia saa 2 asubuhi mpaka saa 3 usiku kwa saa za Marekani ya Mashariki(8:00 am - 9:00pm EST)
Anwani ni
Burnt Mills SDA Church;
10915 Lockwood Drive, Silver Spring MD...
11 years ago
GPLMAMA SALMA KIKWETE AKUTANA NA WANAWAKE WATANZANIA WAJASIRIAMALI WA DMV JIJINI WASHINGTON
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipokea shada la maua kutoka kwa Ndugu Juster Mutakyawa mara baada ya kuwasili kwenye ofisi ya ubalozi wa Tanzania nchini Marekani iliyoko Washington  Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo,WAMA, Mama Salma Kikwete akipokewa na Mwenyekiti wa kikundi cha wanawake wajasiriamali cha Watanzania wanaoishi Washington kiitwacho TANO Ladies Ndugu Asha Hariz wakati...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania