Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madiwani Bukoba wamkamia Amani

MADIWANI wa Manispaa ya Bukoba, wamemtaka Mkurugenzi Mtendaji wa manispaa hiyo, kuitisha kikao ndani ya siku saba ili wampigie kura ya kutokuwa na imani na aliyekuwa meya, Dk. Anatory Amani....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kumng’oa Dk Amani: Kutaleta amani Bukoba?

>Tuhuma zilizoibuliwa na mbunge wa Bukoba mjini, Balozi Khamis Kagasheki dhidi ya Meya wa Manispaa ya Bukoba, Dk Anatory Amani zimehitimishwa kwa mlalamikaji kupata ushindi na mtuhumiwa kutiwa ‘hatiani’ na taarifa ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Fedha za Serikali (CAG).

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa kunufaika mgogoro wa madiwani Bukoba

>Athari za mgogoro wa kisiasa katika Manispaa ya Bukoba huenda zikaanza kuonekana katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Desemba 14, mwaka huu baada ya vyama vya upinzani kugawana maeneo ili kutumia mpasuko ndani ya CCM kushinda viti vingi.

 

11 years ago

Habarileo

RC ataka madiwani wa Bukoba kumaliza tofauti

MKUU wa Mkoa wa Kagera, Fabian Massawe amewashauri madiwani wa Manispaa ya Bukoba kuondoa tofauti zao na kukaa pamoja kutengeneza mipango ya maendeleo ya wananchi wao.

 

11 years ago

Mwananchi

Madiwani wanane Bukoba wagonga mwamba kortini

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Mkoa wa Kagera, imewataka madiwani wanane waliofunguliwa kesi ya kupoteza sifa kuwasilisha hoja mpya za utetezi baada ya mahakama hiyo kutamka kuwa ina mamlaka kisheria kusikiliza shauri lao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Amani ageuziwa kibao Bukoba

BAADHI ya madiwani na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera, wamelaani kitendo cha aliyekuwa Meya wa manispaa hiyo, Anatory Amani cha kuweka pingamizi mahakamani ili...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pinda: Amani si Meya Bukoba

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amefuta ndoto za aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Bukoba, Dk. Anatory Amani akisema kuwa, Serikali inatambua kuwa alijiuzulu tangu Januari mwaka huu, ilipowasilishwa ripoti ya Mdhibiti...

 

11 years ago

GPL

TASWIRA ZA KIKAO CHA RIPOTI YA CAG KILICHOPELEKEA MEYA WA BUKOBA ANATORY AMANI KUJIUZULU

Kutoka kushoto: Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera Bw. Nassor Mnambila , Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mh. Fabian Massawe, Naibu Waziri wa TAMISEMI Mhe. Agrey Mwanri na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh wakiingia ukumbini leo mjini Bukoba.
Viongozi hao wakifungua kikao hicho cha kusomwa ripoti ya ukaguzi maalum ya CAG.
Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera Bw. Nassor Mnambila akifungua kikao.…...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA wamkamia Waziri Maghembe leo

SIKU moja baada ya mmoja kati mawaziri wanaotajwa kuwa mizigo, Christopher Chiza, kupata wakati mgumu kupitisha bajeti ya wizara yake ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni...

 

10 years ago

Michuzi

TAMASHA LA TIGO LAFANA BUKOBA LEO! WASANII WA ORIGINAL COMEDY WAFUNIKA MJINI BUKOBA!

Mpoki(kulia) akitamba!!Wasanii wa Original Comedy wakiwapa buradani wananchi waliohudhuria Tamasha hilo katika uwanja wa Kaitaba Bukoba Mjini leo Jumapili Novemba 9, 2014. Nani zaidi??Mwana-FA akiimba mbele ya umati wa wakazi wa Bukoba leo kwenye Tamasha la Tigo lililofanyika leo Jumapili jioni kwenye Uwanja wa Kaitaba.Kiingilio ilikuwa ni wewe kuvaa uhusika wa Tigo!!Mwana-FAKwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani