Madiwani wakutana kwa mkopo
MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, wamesema halmashauri hiyo inakabiliwa na uhaba mkubwa wa fedha unaosababisha vikao vyao kuendeshwa kwa mkopo na kuhatarisha miradi ya maendeleo. Walisema hali hiyo inatokana na fedha zote za ushuru kupelekwa kwanza Hazina.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo26 Aug
Azam yatoa wanane kwa mkopo
TIMU ya Azam FC imesema inatarajia kuwapeleka wachezaji wanane kwa mkopo katika baadhi ya timu mbalimbali zinazocheza Ligi Kuu Tanzania Bara.
10 years ago
BBCSwahili30 Sep
Wolves yamsajili Sagbo kwa mkopo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YTFvh9JoYPEJEtMnuh8okF-zZi*181Q-2CCEO9RqiPW9ABgVptAxlDgt1ShvGrlqs7GY7NLqa0jES4b4uX56EjAi9mUkeKu3/2A333E3B000005783148483imagea15_1435928898885.jpg)
FALCAO ATUA CHELSEA KWA MKOPO
10 years ago
Tanzania Daima15 Nov
Mucoba kunufaisha wakulima kwa mkopo nafuu
WAKULIMA wa Mkoa wa Iringa, wanatarajia kunufaika na ruzuku za pembejeo kupitia Benki ya wananchi Mufindi (Mucoba) kwa kupatiwa mikopo kwa kila kikundi cha wakulima itakayokuwa na riba nafuu. Akizungumza...
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Pluijm awapa onyo waliopo kwa mkopo
10 years ago
Habarileo22 May
HESLB walipa fedha za mkopo kwa vyuo 16
BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imesema inaendelea kulipa fedha za mkopo kwa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini na tayari wanafunzi wa vyuo 16 wameshalipwa.
9 years ago
Habarileo18 Aug
Charles atua JKT Ruvu kwa mkopo
MCHEZAJI wa mabingwa wa soka Tanzania Bara yanga, Edward Charles ametua kwa mkopo katika kikosi cha Ruvu JKT kilichopiga kambi mjini Morogoro kuendelea na mazoezi kwenye uwanja wa shule ya sekondari Morogoro.
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Nidhamu mbaya mkopo ni sumu kwa wakopaji
LICHA ya mkopo kuwa msaada mkubwa kwa wananchi, wakiwemo wafanyabiashara lakini hugeuka shubiri kwa baadhi ya wakopaji ambao wamekuwa hawana nidhamu ya mkopo. Ukweli ni kwamba hata kwenye maeneo tunamoishi...
9 years ago
Dewji Blog07 Jan
Januzaj arejea Man United akitokea Dortmund kwa mkopo
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Manchester United inaripotiwa kumrudisha Adnan Januzaj (pichani) aliyekuwa akichezea Borussia Dortmund ya Ujerumani kwa mkopo.
Man United imefikia uamuzi wa kumrudisha mchezaji huyo raia Ubelgiji baada ya wachezaji wanaowatumia kama mawinga wa kikosi hicho kuonekana kushuka kiwango na hivyo kumrudisha Janujaz ili aongeze nguvu katika kikosi hicho.
Mmoja wa wachezaji wa United ambae anaonekana kushuka kiwango ni Mephis Depay ambaye awali wakati anasajiliwa...