Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madiwani wakutana kwa mkopo

MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, wamesema halmashauri hiyo inakabiliwa na uhaba mkubwa wa fedha unaosababisha vikao vyao kuendeshwa kwa mkopo na kuhatarisha miradi ya maendeleo. Walisema hali hiyo inatokana na fedha zote za ushuru kupelekwa kwanza Hazina.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Azam yatoa wanane kwa mkopo

TIMU ya Azam FC imesema inatarajia kuwapeleka wachezaji wanane kwa mkopo katika baadhi ya timu mbalimbali zinazocheza Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wolves yamsajili Sagbo kwa mkopo

Klabu ya Wolves imemsajili mchezaji wa kimataifa wa Ivory Coast,Yannick Sagbo kwa mkopo kwa kipindi cha miezi mitatu kutoka Hull

 

10 years ago

GPL

FALCAO ATUA CHELSEA KWA MKOPO

Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Colombia aliyetua Chelsea, Radamel Falcao. Falcao akiwa Klabu ya Manchester United. MSHAMBULIAJI wa timu ya Taifa ya Colombia, Radamel Falcao ametua rasmi katika Klabu ya Chelsea kwa mkopo wa ada ya pauni…

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mucoba kunufaisha wakulima kwa mkopo nafuu

WAKULIMA wa Mkoa wa Iringa, wanatarajia kunufaika na ruzuku za pembejeo kupitia Benki ya wananchi Mufindi (Mucoba) kwa kupatiwa mikopo kwa kila kikundi cha wakulima itakayokuwa na riba nafuu. Akizungumza...

 

9 years ago

Mwananchi

Pluijm awapa onyo waliopo kwa mkopo

Kocha wa Yanga, Hans Pluijm amewapiga mkwara wachezaji wote wa timu hiyo waliopelekwa kwa mkopo timu nyingine kuwa wanatakiwa kujituma katika timu zao kwani anawafuatilia.

 

10 years ago

Habarileo

HESLB walipa fedha za mkopo kwa vyuo 16

Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba.BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imesema inaendelea kulipa fedha za mkopo kwa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini na tayari wanafunzi wa vyuo 16 wameshalipwa.

 

9 years ago

Habarileo

Charles atua JKT Ruvu kwa mkopo

MCHEZAJI wa mabingwa wa soka Tanzania Bara yanga, Edward Charles ametua kwa mkopo katika kikosi cha Ruvu JKT kilichopiga kambi mjini Morogoro kuendelea na mazoezi kwenye uwanja wa shule ya sekondari Morogoro.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nidhamu mbaya mkopo ni sumu kwa wakopaji

LICHA ya  mkopo kuwa msaada mkubwa kwa wananchi, wakiwemo wafanyabiashara lakini hugeuka shubiri kwa baadhi ya wakopaji ambao wamekuwa hawana nidhamu ya mkopo. Ukweli ni kwamba hata kwenye maeneo tunamoishi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Januzaj arejea Man United akitokea Dortmund kwa mkopo

JS44142810

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Manchester United inaripotiwa kumrudisha Adnan Januzaj (pichani) aliyekuwa akichezea Borussia Dortmund ya Ujerumani kwa mkopo.

Man United imefikia uamuzi wa kumrudisha mchezaji huyo raia Ubelgiji baada ya wachezaji wanaowatumia kama mawinga wa kikosi hicho kuonekana kushuka kiwango na hivyo kumrudisha Janujaz ili aongeze nguvu katika kikosi hicho.

Mmoja wa wachezaji wa United ambae anaonekana kushuka kiwango ni Mephis Depay ambaye awali wakati anasajiliwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani