Maendeleo Endelevu 17 ya Dunia yazinduliwa Tanzania
Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa UNDP Bw. Alvaro Rodriguez (kulia) na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la UN Women nchini Tanzania, Anna Collins-Falk (katikati) wakipata picha ya kumbukumbu sambamba na mmoja wa wadau wa maendeleo. (Picha na Zainul Mzige wa Modewjiblog).
Na Mwandishi wetu
UMOJA wa Mataifa kwa kushirikiana na Serikali ya Tanzania wamezindua rasmi malengo ya Maendeleo Endelevu 17 ( SDGs).
Malengo hayo ambayo pia yanajulikana kama...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog08 Oct
Tanzania yajipanga kutekeleza Mpango mpya wa Maendeleo Endelevu (SDGs)
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akizungumza leo jijini Dar es salaam katika mkutano wa wadau wa takwimu uliondaliwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) wenye lengo la kujadili na kukubaliana jinsi ya kutekeleza mpango wa Maendeleo Endelevu (SDGs).
Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Dkt. Albina Chuwa akizungumza katika mkutano wa wadau wa takwimu uliondaliwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) wenye lengo la kujadili na kukubaliana jinsi ya kutekeleza mpango wa Maendeleo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-p7IW5tuthFk/VS0r_buka9I/AAAAAAAHRIY/jGBdqe8X9zU/s72-c/unnamed.jpg)
TANZANIA KUSHIRIKI MKUTANO WA TATU WA MAENDELEO ENDELEVU YA MIJI NA MAKAZI DUNIANI NCHINI KENYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-p7IW5tuthFk/VS0r_buka9I/AAAAAAAHRIY/jGBdqe8X9zU/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
MichuziHAKUNA MAENDELEO BILA NISHATI ENDELEVU - KITWANGA
10 years ago
VijimamboHAKUNA MAENDELEO BILA NISHATI ENDELEVU-MHE KITWANGA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-l8OxnkeTWjk/VQKKZMbvnFI/AAAAAAAHJ_E/D0kjx7GGl50/s72-c/Untitled.png)
UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA BENKI YA DUNIA KUHUSU STADI NA MAENDELEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-l8OxnkeTWjk/VQKKZMbvnFI/AAAAAAAHJ_E/D0kjx7GGl50/s1600/Untitled.png)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7N9ELH5rsMI/Vefi1FIP0OI/AAAAAAAH1_k/Q_GaX0RAn-E/s72-c/unnamed%2B%252851%2529.jpg)
MABUNGE YATAKIWA KUSIMAMIA UTEKELEZAJI WA MALENGO MAPYA YA MAENDELEO ENDELEVU
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XowB0waWHC4/U8jHAO4stvI/AAAAAAAF3OM/9uP6VGGpasg/s72-c/unnamed+(30).jpg)
ILIKUWA NA MAENDELEO ENDELEVU AFRIKA INAHITAJI UWEKEZAJI ZAIDI- BAN KI MOON
![](http://4.bp.blogspot.com/-XowB0waWHC4/U8jHAO4stvI/AAAAAAAF3OM/9uP6VGGpasg/s1600/unnamed+(30).jpg)
11 years ago
Dewji Blog27 May
MO ataka madhebebu dini kushirikiana na serikali ili kuleta maendeleo endelevu
Mbunge wa jimbo la Singida Mjini, Mh. Mohammed Dewji (MO), akizungumza na waumini wa Msikiti wa kijiji cha Mtamaa wakati wa ziara yake ya siku tatu jimbo kwake.
Na Nathaniel Limu, Singida
MBUNGE wa Jimbo la Singida mjini, Mohammed Gulam Dewji amewahimiza waumini wa madhahebu mbalimbali ya dini kuendelea kushirikiana na serikali ili kurahisisha upatikanaji wa maendeleo endelevu.
Mbunge Dewji maarufu kwa jina la MO,ametoa wito huo hivi karibuni kwa nyakati tofauti wakati akikagua ujenzi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sQxxAP8wwec/Va-_PL9s-VI/AAAAAAAHrHQ/MpyICZFBv6A/s72-c/unnamed%2B%252864%2529.jpg)
Mkutano wa Kimataifa wa siku mbili wa amani na Maendeleo endelevu wafanyika zanzibar