Mafunzo ya IPSAS kuondoa hoja za Wakaguzi – CPA Kolola

Kaimu Mkurugenzi wa Fedha na Biashara wa Mamlaka yaViwanja vya Ndege Tanzania (TAA), CPA Josephine Kolola leo akizungumza na Wahasibu na Wakaguzi wa Ndani wa Mamlaka hiyo, wanaoshiriki mafunzo ya uandaaji na uwakilishwaji wa vitabu vya Hesabu za fedha kwa kuzingatia viwango vya Kimataifa vya Uhasibu kwa Taasisi za serikali (IPSAS accrual), yanayofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Jengo la Pili la Abiria la Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA_TB2)....
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog19 May
Majaliwa afungua mafunzo ya haki za binadamu kwa walimu, wakaguzi na wakufunzi wa vyuo vya ualimu
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (OWM) – TAMISEMI (Elimu), Mhe. Kassim Majaliwa (MB) akifungua warsha ya mafunzo ya haki za binadamu kwa walimu wa shule za Sekondari, wakaguzi wa shule na wakufunzi wa vyuo vya ualimu katika hoteli ya Royal Village, mjini Dodoma jana. Mafunzo hayo yameandaliwa na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) kwa ushirikiano na Wizara ya Elimu chini ya Mradi wa utekelezaji wa Mpango Kazi wa Kitaifa wa Haki za Binadamu na kufadhiliwa na UNDP....
10 years ago
Mwananchi06 Jul
HOJA YA MWAKA: Uchaguzi wa wabunge wa Finland na mafunzo kwa watanzania
11 years ago
Michuzi
MAKUMBUSHO YA TAIFA KUENDELEA KUTOA MAFUNZO YA HISTORIA YA MUUNGANO ILI KUONDOA SINTO FAHAMU ILOYOPO

.png)
.png)
10 years ago
Michuzi
KAMISHNA KOVA AWATAKA ASKARI WALIOMALIZA MAFUNZO YA UONGOZI MDOGO WA JESHI LA POLISI KUTUMIA UJUZI NA MAARIFA WALIYOYAPATA KUONDOA KERO NA KUDUMISHA AMANI KATIKA MITAA YOTE YA JIJI LA DAR



9 years ago
MichuziSSRA emerged the First winner in the National Board of Accountants and Auditors (NBAA) - Best presented Financial Statements Competitionusing IPSAS
THE Social Security Regulatory Authority (SSRA) has emerged the First winner in the National Board of Accountants and Auditors (NBAA) Best presented financial statements competition. SSRA competed in the International Public Sector Accounting Standards (IPSAS) category with other public entities using IPSAS.
It’s the fourth year consecutively since SSRA started participating in the competition and throughout the period the Authority became number one for the all four years. It’s the...
11 years ago
Uhuru Newspaper22 Jul
CPA kuwa ya kimataifa?
Na Mwandishi Wetu, Arusha
KAMATI ya wawakilishi wa mabunge wanachama wa Jumuia ya Madola Kanda ya Afrika (CPA) inatarajia kuwasilisha ripoti yenye mapendekezo ya kutaka Bunge hilo liwe na mwonekano wa kimataifa.
Ripoti hiyo itawasilishwa katika mkutano mkuu wa 45 unaofanyika mjini Arusha.
Uamuzi wa kuwasilishwa kwa ripoti hiyo ulifikiwa jana na kamati ya wawakilishi wa mabunge wanachama wa umoja huo, iliyoketi katika ukumbi wa mikutano kwenye hoteli ya Ngurdoto.
Akizungumza katika kikao cha...
11 years ago
Tanzania Daima20 Jul
CPA kufunguliwa na Kikwete
RAIS Jakaya Kikwete, anatazamiwa kufungua mkutano wa 45 wa Umoja wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola (CPA) Kanda ya Afrika unaojumuisha wajumbe 500 kutoka nchi 17 wanachama. Miongoni mwa mambo...
11 years ago
Tanzania Daima12 Feb
Bunge la Katiba lijadili nguvu ya hoja si hoja za nguvu
BUNGE la kujadili katiba mpya limepangwa kuanza rasmi Februari 18 mwaka huu, pale Makao Makuu ya Tanzania, mjini Dodoma. Mijadala itaendeshwa kwa siku 70. Ikibidi zitaongezwa tena siku nyingine 20...
11 years ago
Mwananchi03 Jul
Ufaulu ngazi ya CPA waongezeka