Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAFURIKO DAR YALIVYOACHA VILIO

Stori: Haruni Sanchawa na Makongoro Oging’
Mvua kubwa iliyonyesha ambayo haijawahi kunyesha ndani ya Jiji la Dar es Salaam kwa kipindi cha miaka kumi,  imeacha vilio na umaskini mkubwa kwa wakazi  wake, imebainika. Mwili ukiwa kwenye gari la polisi. Timu ya Uwazi kipindi chote cha mvua ilikuwa mitaani na kubaini kuwa hadi juzi watu zaidi ya kumi walipoteza maisha kutokana na mvua hiyo na baadhi ya miili...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Mafuriko ni vilio Dar

Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam

WATU wanane wamefariki dunia kutokana na mafuriko ya mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam.

Akitoa taarifa ya vifo hivyo Dar es Salaam jana, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, alisema watu watano wametambuliwa na wengine watatu bado hawajatambulika na miili yao imehifadhiwa katika ya Hospitali ya Mwananyamala.
Alisema Mei 6 mwaka huu, saa moja usiku maeneo ya Magomeni wilayani Kinondoni, mkazi wa Manzese, Shabani Idd...

 

9 years ago

Mtanzania

Vilio, vurugu Dar

1bWananchi wapambana na polisi bomoabomoa

Ruth Mnkeni, Dar es Salaam

VILIO na vurugu vimetawala jijini Dar es Salaam jana wakati wa uwekaji wa alama za X katika nyumba zilizojengwa katika maeneo ya Bonde la Mto Msimbazi ambapo wananchi walipambana na Jeshi la Polisi.

Askari polisi walilazimika kutumia risasi za moto, mabomu ya machozi pamoja na magari ya maji ya kuwasha ili kutawanya wananchi waliokuwa wakipinga kuwekewa alama  hizo katika nyumba zao.

Vurugu hizo zilitokea katika maeneo ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Simanzi, vilio vyatawala Dar

DSC_0691

Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
SIMANZI na vilio vimetawala jana eneo la Kipunguni Ukonga jijini Dar es Salaam nyumbani kwa mhandisi mstaafu wa ndege, marehemu Luteni David Mpira (68), ambaye alifariki pamoja na familia yake ya watu watano baada ya nyumba yao kuungua na moto usiku wa kuamkia Jumamosi iliyopita.
Mpira ambaye enzi za uhai wake alikuwa mwanajeshi, alikutwa na umauti huo saa tisa usiku pamoja na mke wake Celina Mpira (62), mtoto wake Lucas Mpira (37), shemeji yake Samuel Yegera...

 

9 years ago

Mwananchi

Bomoabomoa yaacha vilio, simanzi Dar

Manispaa ya Kinondoni jana ilisababisha vilio kwa wakazi wa maeneo wa wilaya hiyo ilipoanza ubomoaji wa nyumba zilizojengwa maeneo ya wazi na hifadhi kinyume cha sheria. Juzi, Kamishna wa Ardhi wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Moses Kusirika alitangaza operesheni ya kubomoa nyumba hizo kuanzia jana na kuwa baada ya Kinondoni watahamia wilaya nyingine na mikoani pia.

 

10 years ago

Mwananchi

Ni simanzi na vilio mazishi ya wanafamilia sita Dar

>Huzuni, simanzi na majonzi jana vilitawala maeneo ya Kipunguni A na baadaye kwenye Makaburi ya Airwing Ukonga, Ilala wakati miili ya watu sita waliofariki dunia kwa kuungua moto Jumamosi alfajiri ilipozikwa.

 

10 years ago

GPL

MAFURIKO JIJINI DAR

MVUA kubwa iliyonyesha leo imesababisha mafuriko katika mitaa mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam na kuleta usumbufu kwa wakazi wa jiji hilo kama inavyoonekana pichani…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mafuriko yatikisa Dar

MVUA zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam zimesababisha uharibufu wa miundombinu ya barabara, nguzo za umeme na mingine kuharibika, hali iliyokwamisha shughuli nyingi jana. Mvua hizo zilizonyesha usiku mzima wa...

 

10 years ago

Mtanzania

Dar yazingirwa na mafuriko

Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
MVUA zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam zimesababisha watu waliopoteza maisha kwa kufariki dunia kufikia saba, huku nyumba zaidi ya 200 zikiwa zimezingirwa na maji katika maeneo mbalimbali ya jiji hilo.
Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili umebaini kuwa katika maeneo ya Buguruni Kwa Mnyamani baadhi ya nyumba bado zimengirwa na maji na kusababisha wananchi wanaoishi kwenye maeneo hayo kuhama kwa muda.
Akizungumza na MTANZANIA jana, mkazi wa Buguruni...

 

11 years ago

Habarileo

Mafuriko Dar yaua 41

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck SadikiMAFURIKO yaliyotokea Jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki yamesababisha vifo vya watu 41.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani