Magereza yawashukuru Wafanyakazi wanawake TAA
Katika kuhitimisha mwezi wa siku ya wanawake duniani Jeshi la Magereza Tanzania limewashukuru wanawake wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania kwa moyo wa upendo walioonyesha kwa kutoa msaada wa vitu mbalimbali kwajili ya wafungwa wanawake katika gereza la Segerea.
Shukrani hizo zimetolewa wakati wa makabidhiano ya vifaa mbalimbali ambavyo ni simenti mifuko 20, sabuni ya unga mifuko mikubwa miwili, ndoo za maji ya kunywa 10, sabuni za miche katoni 2, Dawa za meno mabox 2, miswaki mabox 2,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z7_HK1vWa2Q/Xru4NbkP49I/AAAAAAAEG_E/99LZNtfppHgnjsdOOdsueLdKi38M_b30wCLcBGAsYHQ/s72-c/001.jpg)
Serikali ya Mtaa yawashukuru wasaidizi wa kisheria kwa kuwawezesha wanawake kiuchumi
Hayo yamesemwa na Afisa Maendeleo ya Jamii Zena Kapama wakati akizungumzia umuhimu wa na kazi za wasaidizi wa kisheria pamoja na kazi zao za kuzaidia jamii na hasa kwenye kupata haki zao za kisheria.
‘Wasaidizi wa kisheria ni watu muhimu sana kwenye jamii yetu. Wanawezesha wananchi wetu kujua haki zao za kisheria na sana sana kwa wanawake ambao mara...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UrVdGqw1Ek4/UxzJ8SRwarI/AAAAAAAFSfE/3Xx0ZZQEMSI/s72-c/unnamed+(56).jpg)
Wanawake wafanyakazi wa NBC wawakumbuka wanawake wenzao wenye matatizo
![](http://2.bp.blogspot.com/-UrVdGqw1Ek4/UxzJ8SRwarI/AAAAAAAFSfE/3Xx0ZZQEMSI/s1600/unnamed+(56).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-GPBFvIL2vpk/UxzKAwi1AoI/AAAAAAAFSfM/s1kW1vbneMo/s1600/unnamed+(52).jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Z0h0pqw5kCM/Xp2P0NvasWI/AAAAAAALnhM/asDGLaPP6JwnaOpX3n0ZbCSK9fPMhzPUgCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_5479.jpg)
BODI YA USHAURI TAA YAIANGUKIA SERIKALI ISAIDIE TAA KATIKA KIPINDI HIKI CHA JANGA LA COVID 19
Na Bahati Mollel,TAA
BODI ya Ushauri (MAB) ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), imeiangukia serikali iisaidie TAA kuigharama huduma mbalimbali za uendeshaji kwenye viwanja vya ndege kutokana na kuathiriwa kwa asilimia 100 na ugonjwa wa homa kali ya mapafu (COVID19), inayoambukizwa na virusi vya corona.
Mwenyekiti wa MAB, Dkt. Masatu Chiguma, ametoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki kwenye kikao cha dharura cha Bodi hiyo, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Jengo la Watu Mashuhuri...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Z0h0pqw5kCM/Xp2P0NvasWI/AAAAAAALnhM/asDGLaPP6JwnaOpX3n0ZbCSK9fPMhzPUgCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_5479.jpg)
BODI YA USHAURI TAA YAIANGUKIA SERIKALI ISAIDIE TAA KATIKA KIPINDI HIKI CHA JANGA LA COVID 19
Na Bahati Mollel,TAA
BODI ya Ushauri (MAB) ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), imeiangukia serikali iisaidie TAA kuigharama huduma mbalimbali za uendeshaji kwenye viwanja vya ndege kutokana na kuathiriwa kwa asilimia 100 na ugonjwa wa homa kali ya mapafu (COVID19), inayoambukizwa na virusi vya corona.
Mwenyekiti wa MAB, Dkt. Masatu Chiguma, ametoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki kwenye kikao cha dharura cha Bodi hiyo, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Jengo la Watu...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mJT3I5FP5JA/VRJMez6ennI/AAAAAAAHNBk/lesA9AI-RfY/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
Wafanyakazi Wanawake wa Tanga Cement Walivyosherehekea Siku ya Wanawake Duniani mjini Tanga
![](http://4.bp.blogspot.com/-mJT3I5FP5JA/VRJMez6ennI/AAAAAAAHNBk/lesA9AI-RfY/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RWpCpAJwU6Y/VRJMgOF2ALI/AAAAAAAHNB0/DLcJWobAVMY/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_fb0ohBDGvU/Xq_39J1iJVI/AAAAAAALpBo/lbkuGvYHPrIVQfhIzt-m35H_kaxA7A--ACLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1AA-768x529.jpg)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA, SULEIMAN MZEE AWAFUNDA WAKUU WA MAGEREZA ALIOWATEUA HIVI KARIBUNI KUHAKIKISHA WANASIMAMIA AGENDA YA MABADILIKO NDANI YA JESHI LA MAGEREZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-_fb0ohBDGvU/Xq_39J1iJVI/AAAAAAALpBo/lbkuGvYHPrIVQfhIzt-m35H_kaxA7A--ACLcBGAsYHQ/s640/PIX-1AA-768x529.jpg)
Kamishna Jenerali wa Magereza, Suleiman Mzee akitoa maelekezo maalum leo Mei 04, 2020 katika kikao kazi cha Maafisa wa Jeshi la Magereza walioteuliwa hivi karibuni kushika nyadhifa mbalimbali katika Jeshi hilo wakiwemo wakuu wa magereza, Boharia Mkuu wa Jeshi ambapo Jenerali Mzee amewataka kuhakikisha kuwa wanasimamia ipasavyo Agenda ya mabadiliko ndani ya Jeshi la Magereza.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PIX-2AA-1024x506.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CjhkoxQtdwM/XvGMSKphE9I/AAAAAAALvAw/hkWRIMl9X2cm7AvakInSSJomQA8FpIRPQCLcBGAsYHQ/s72-c/105275251_10158442040819722_4304338084191711700_n.jpg)
MAFUNZO YA UHAMASISHAJI NA WAELIMISHAJI WA MTANDAO WA WANAWAKE KATIKA JESHI LA MAGEREZA NCHINI YAFANYIKA MKOANI MOROGORO
Na Sajini Taji, Shani Mhando, Morogoro
Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Jinsia katika Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Wazee na Watoto Bi.Mboni Mgaza amepongeza kuanzishwa kwa mtandao wa wanawake katika Jeshi la Magereza nchini.
Akizungumza katika ufunguzi wa mafunzo ya mtandao wa wanawake katika Jeshi la Magereza jana Mkoani Morogoro, Bi Mboni amesema, hii ni hatua nzuri sana yakupongezwa kwa Jeshi hilo kwani itahakikisha wanawake katika nyanja zote wanatumia fursa...
10 years ago
GPLWAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-oFuljr4cuTg/XuY3AUJHAsI/AAAAAAALtyw/3xfJntAMfRMtG2WCkQHSTNLGc2NLBMVuACLcBGAsYHQ/s72-c/7026f8f2-8a89-416b-8e35-a013b2ff903e.jpg)
Muhimbili yawashukuru wachangiaji Damu
![](https://1.bp.blogspot.com/-oFuljr4cuTg/XuY3AUJHAsI/AAAAAAALtyw/3xfJntAMfRMtG2WCkQHSTNLGc2NLBMVuACLcBGAsYHQ/s640/7026f8f2-8a89-416b-8e35-a013b2ff903e.jpg)
Kaimu Mkurugenzi wa Tiba Shirikishi Hospitali ya Taifa Muhimbili -Mloganzila Dkt. Lulu Sakafu akizungumza wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya uchangiaji damu duniani yenye kauli mbiu isemayo “damu salama, kwa wote” inayoadhimishwa Juni 14 kila mwaka
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/8c0d2427-ebab-462d-b28a-137876273317.jpg)