Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli aagiza matengenezo ya haraka Daraja la Mpiji

WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli ametaka watendaji wa Wakala wa Barabara (Tanroads), kuharakisha matengenezo ya barabara karibu na Daraja la Mpiji ili kurejesha mawasiliano kati ya Dar es Salaam na Pwani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Magufuli aagiza fidia daraja Kigamboni

Waziri wa Ujenzi, Dk John MagufuliWAZIRI wa Ujenzi Dk John Magufuli, amefanya ukaguzi wa ghafla katika ujenzi wa Daraja la Kigamboni jijini Dar es Salaam na kutoa siku mbili kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara (TANROADS) kufanya tathmini ya malipo ya fidia katika eneo la kilomita 1.2 na kukabidhi mkandarasi kipande hicho kwa ajili ya ujenzi wa barabara.

 

11 years ago

Dewji Blog

Makamu wa Rais afanya ziara ya kukagua athari za mafuriko Dar na maendeleo ya Ujenzi wa Daraja la Mpiji

01

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akionyeshwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Eng. Mussa Iombe, sehemu ya Daraja la Mpiji linalounganisha Bagamoyo na Dar es Salaam, lililokatika kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini, wakati Makamu alipofanya ziara hiyo ya kujionea maendeleo ya ujenzi wa daraja hilo leo Aprili 13, 2014. (Picha na OMR).

1

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana...

 

10 years ago

Habarileo

JK aagiza uhakiki mipaka uishe haraka

RAIS Jakaya Kikwete, ameagiza mamlaka zote za uhakiki wa mipaka na uwekaji mawe katika Mpaka wa Kimataifa wa Tanzania na Burundi na mipaka na nchi nyingine, kukamilisha kazi hiyo mapema iwezekanavyo.

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Bilal aagiza umeme wa upepo uzalishwe haraka

Makamu wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal amewaagiza watendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) na wawekezaji wa umeme wa upepo washirikiane kuhakikisha mradi wa kufua umeme kwa upepo unaanza haraka iwezekanavyo.     

 

11 years ago

Habarileo

Bunge lataka daraja Kigamboni haraka

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imelitaka Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kuharakisha kukamilisha ujenzi wa daraja la Kigamboni, ili kutoa nafasi kwa Rais Jakaya Kikwete kulifungua. Aidha NSSF na Wakala wa Barabara (Tanroads), wametakiwa kuungana kujadili namna ya kukabiliana na changamoto ya foleni katika barabara kadhaa baada ya kukamilika kwa daraja hilo.

 

10 years ago

Mwananchi

Kikwete: Matatizo daraja Kigamboni yatatuliwe haraka

 Rais Jakaya Kikwete ametembelea daraja la Kigamboni, Dar es Salaam jana na kuagiza changamoto zilizoanishwa zitatuliwe haraka kabla mradi haujakamilika.

 

10 years ago

Habarileo

JK aagiza changamoto daraja Kigamboni ziishe

RAIS Jakaya Kikwete ametembelea daraja la Kigamboni, Dar es Salaam, jana, na kuagiza changamoto zilizoainishwa zitatuliwe haraka kabla mradi haujamalizika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani