Magufuli aagwa kwao
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli amewaaga rasmi wananchi jimboni kwake Chato, mkoani Geita kwa kuwashukuru na kueleza namna alivyofikia uamuzi wa kugombea nafasi hiyo ya juu, huku akisema hata akiwa Rais wa Tanzania, kamwe hatabadilika.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania03 Oct
Magufuli amnanga Lissu kwao
*Amwita mtukanaji na mkwamishaji miradi ya maendeleo
*Diana Chilolo amgeuka Lowassa, asema hana washauri
Na Bakari Kimwanga, Ikungi
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, jana aliwasili Jimbo la Singida Mashariki ambalo mwakilishi wake bungeni aliyemaliza muda ni Tundu Lissu (Chadema) na kuwataka wapiga kura wa jimbo hilo kutomchagua tena kwa sababu ana lugha chafu.
Dk. Magufuli, ambaye alifanya mkutano wake wa kwanza Wilaya ya Ikungi mkoani Singida...
9 years ago
Dewji Blog21 Sep
Kampeni za Dk. Magufuli kwao Chato ni zaidi ya Tsunami
Mgombea urais wa Tbanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akiwapungia mkono wananchi wakati wa mkutano wa kampeni za urais, ubunge na udiwani kwenye Uwanja wa Michezo mjini Chato, mkoani Geita, jimbo alilokuwa Mbunge. Pia alitumia fursa hiyo kuwaaga wapiga kura wake.Mkutano huo wa kampeni ulijaza watu kupita kiasi jambo ambalo wenyeji wa wilaya hiyo pamoja na mgombea amesema haijawahi kutokea.PICHA ZOTE NA RICHARD BMWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Mbuzi huyu aliyechorwa maandishi hayo...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-pihtLkzYk90/VhGiZUANexI/AAAAAAAD__0/_ZbZtsc1GXA/s72-c/FullSizeRender_1.jpg)
MDAU WA VIJIMAMBO AKIWA KIJIJI KWAO MKATAA KWAO MTUMWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-pihtLkzYk90/VhGiZUANexI/AAAAAAAD__0/_ZbZtsc1GXA/s640/FullSizeRender_1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-G9zPTFn7vBM/VhGiZkaa0lI/AAAAAAAD__4/KcoSS-_deYU/s640/FullSizeRender_2.jpg)
9 years ago
Habarileo29 Sep
Kombani aagwa Dar
MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal jana aliongoza mamia ya Watanzania waliojitokeza kuuaga mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani.
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Askari aliyeuawa aagwa na jeshi
11 years ago
Mwananchi27 Jun
Mtawa aagwa, dereva asimulia
10 years ago
Habarileo09 Jun
Kikwete aagwa kifalme Uholanzi
RAIS Jakaya Kikwete jana aliagwa kifalme katika ziara yake ya kikazi nchini Uholanzi, huku akielezea kwa kiasi kikubwa mafanikio ya utawala wake katika miaka kumi aliyokaa madarakani.
11 years ago
Habarileo16 Feb
IGP wa zamani aagwa rasmi
MKUU wa Jeshi la Polisi mstaafu (IGP), Said Mwema ameagwa rasmi jana jijini Dar es Salaam, huku akiwataka wananchi kumpa ushirikiano Mkuu mpya wa Polisi, Ernest Mangu katika kukabiliana na uhalifu mpya.
10 years ago
VijimamboMUASISI WA TANU AAGWA MONDULI