Kombani aagwa Dar
MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal jana aliongoza mamia ya Watanzania waliojitokeza kuuaga mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLSYLVESTRE MARSH AAGWA JIJINI DAR
Padre akiongoza ibada ya kuaga mwili wa aliyekuwa kocha msaidizi wa timu ya Taifa, Taifa Stars, Sylvestre Marsh. Waombolezaji wakifuatilia ibada ya kumuaga Marsh katika Hospitali ya Taifa Muhimbili. Mhariri Kiongozi wa Magazeti ya Michezo ya Championi, Saleh Ally akiaga mwili wa kocha Marsh.…
10 years ago
GPL
KIKWETE AAGWA NA WAHANDISI JIJINI DAR
Dkt. Jakaya Kikwete akiingiza ufunguo wa trekta aliyozawadiwa na Bodi ya Wahandisi kama ishara ya kumtakia maisha mema anapoelekea kupumzika. Dkt. Kikwete akishuka katika trekta aliyopewa mara baada ya kukabidhiwa kwenye hafla hiyo.…
10 years ago
Mwananchi16 Mar
Marsh aagwa Dar kuzikwa Mwanza
Aliyekuwa kocha msaidizi wa Taifa Stars, Silvester Marsh ameelezwa kujitabiria kifo chake saa chache kabla ya kutokea juzi asubuhi kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili.
10 years ago
Mwananchi28 Sep
Mwili wa Kombani kuagwa Dar leo
Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani utaagwa leo jijini Dar es Salaam kabla ya kusafirishwa Morogoro kwa maziko.
10 years ago
GPL
CELINA KOMBANI KUAGWA LEO DAR
Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Mbunge wa Ulanga Mashariki (CCM), Bi. Celina Kombani. Mwili wa Marehemu Kombani ulivyoshushwa Uwanja wa Ndege wa Mwl. Nyerere kutoka India, juzi. Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Mbunge wa Ulanga Mashariki (CCM), Bi. Celina Kombani utaagwa rasmi leo Jumatatu, kuanzia majira ya saa nne asubuhi katika Viwanja...
10 years ago
GPL
MWILI WA WAZIRI KOMBANI WAWASILI DAR
Aliyekuwa Mbunge wa Ulanga Mashariki kwa tiketi ya CCM na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bi. Celina Kombani. Mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Ulanga Mashariki kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bi. Celina Kombani umewasili muda huu katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwl. Julius Kambarage Nyerere jijini Dar es Salaam. Mwili...
10 years ago
Habarileo26 Sep
Mwili wa Kombani kuwasili Dar leo
MWILI wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani, unatarajiwa kuwasili jijini Dar es Salaam leo saa 9 alasiri kutoka nchini India, alikofariki wakati akipatiwa matibabu ya saratani.
11 years ago
GPLMPIGAPICHA WA MLIMANI TV AAGWA, AZIKWA MAKABURI YA KINONDONI DAR
Picha ya marehemu Bw. Maximilian Ngobe, enzi za uhai wake. Mke wa marehemu (mwenye kilemba cheupe) akimuaga mumewe, Maximilian Ngobe. Ndugu na jamaa wa karibu wakimfariji…
11 years ago
Michuzi
MAREHEMU GEORGE TYSON AAGWA LEO JIJINI DAR

Sehemu ya Wacheza Filamu nchini waliokuwa wamebeba Jeneza lenye Mwili wa Marehemu George Otieno Okomu (George Tyson) wakijipanga tayari kwa akili ya kuongoza shughuli ya Kuga mwili iliyofanyika kwenye viwanja vya Leaders Club,Kinondoni jijini Dar es Salaam leo.Mwili huo umesafirishwa kupelekwa nchini Kenya ambako ni nyumbani kwao na Marehemu kwa ajili ya mazishi yatakayofanyika Jumamosi ijayo baada ya kukamiliza kwa mipango yote.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Mh. Said Meck Saddick...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania