MAGUFULI ASAMBARATISHA NGOME ZA UKAWA MOSHI
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/IMG_1587.jpg)
Mh. John Magufuli akizungumza na Halaiki ya watu mjini Moshi. Aliyekuwa katibu wa vijana Wilaya ya Hai Jubiliat Lema kushoto baada ya kurudisha kadi. Nchimbi akiwashauri Wanasiha kumchagua Magufuli na kuzieleza sifa zake.…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi10 Oct
Magufuli apenya ngome ya Ukawa
10 years ago
Mtanzania17 Apr
ACT yatikisa ngome ya Sitta, Ukawa
Na Bakari Kimwanga, Tabora
CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeviliza vyama vinavyoundwa na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na Chama Cha Mapinduzi (CCM), baada ya mamia ya wananchi wa Wilaya ya Urambo kutangaza kujiunga na chama hicho.
Wilaya ya Urambo ina jimbo moja la uchaguzi la Urambo Mashariki ambalo linaongozwa na Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta (CCM).
Nia hiyo ya wana-Urambo ilimfanya Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe kujikuta akibubujikwa na machozi ya furaha, huku kila mara...
10 years ago
Mtanzania16 Dec
Ni mtikisiko * Ukawa watesa miji mikubwa, ngome za CCM * Lowassa atamba
Na Waandishi Wetu, Dar na mikoani,
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetikiswa na vyama vinavyounda Umoja ya Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwenye matokeo ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji.
Katika uchaguzi huo uliofanyika nchini juzi, matokeo yanaonyesha kupanda kwa vyama vya upinzani hasa kwa kushinda maeneo yaliyokuwa yakiongozwa na CCM hali iliyokitikisa vilivyo chama hicho tawala.
Kutangazwa huko kwa matokeo hayo kunakuja baada ya kukamilika kwa uchaguzi huo katika baadhi ya...
9 years ago
Mwananchi16 Sep
Lowassa aiteka ngome ya Magufuli Chato
9 years ago
GPLDK MAGUFULI, CHILOLO WAISAMBARATISHA NGOME YA TUNDU LISSU SINGIDA MASHARIKI
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vSPZS0rCB1c/VhLA7g6WSXI/AAAAAAAH9No/kJGOkSH64d4/s72-c/_MG_3009.jpg)
MAGUFULI ABOMOA NGOME ZA CHADEMA HANANG, MBULU NA KARATU. AMMWAGIA SIFA LUKUKI DKT. SLAA
![](http://2.bp.blogspot.com/-vSPZS0rCB1c/VhLA7g6WSXI/AAAAAAAH9No/kJGOkSH64d4/s640/_MG_3009.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_MnwuJY44Dg/VhLA9AwcboI/AAAAAAAH9Nw/lFs4s6PVudA/s640/_MG_3023.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHS5fnHuLYl0VW2pmfttQYpoG5mNOgSkfP4P0bfA*p-4Id37JsRsCnth0MtIFQYD4kc6f*0E9BET9SRRI0ZtwJJKUg7Xir*3/1ukawa.jpg?width=650)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-CsYDpVBdT5k/VeQEwkmWqNI/AAAAAAAAUYs/pZ8JNOfFG2I/s72-c/DSCF0052%2B%25281280x960%2529.jpg)
MGOMBEA UBUNGE MOSHI MJINI KUPITIA CHADEMA NA UKAWA AZINDUA KAMPENI ZAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-CsYDpVBdT5k/VeQEwkmWqNI/AAAAAAAAUYs/pZ8JNOfFG2I/s640/DSCF0052%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TUQ0u2nKX9A/VeQExVZnpYI/AAAAAAAAUY0/dVFmmh08OBI/s640/G03A1798%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-m3lUYlSg5D0/VeQEyRPCs0I/AAAAAAAAUY8/KaJZ3hkAInU/s640/G03A1799%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zksRnq50PcE/VeQEzvfdXTI/AAAAAAAAUZE/RLAiOXAxLTA/s640/G03A1800%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5LSyyXYi2Bc/VeQE0mn0prI/AAAAAAAAUZU/qnLrGAsv2ns/s640/G03A1813%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SXUZbe3fQPs/VeQE2vjrBmI/AAAAAAAAUZc/eEkmL0JLQqs/s640/G03A1838%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vaq0CkQOOro/VeQE4T_hH_I/AAAAAAAAUZk/ig7U3dGoqF8/s640/G03A1845%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lKNqI2DVaLg/VeQE6iy7ejI/AAAAAAAAUZw/SDL-kfpaxMw/s640/G03A1856%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-V_DIjw8Frck/VeQE52i82rI/AAAAAAAAUZo/89QuLdcjWw4/s640/G03A1857%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qHNr8rv5dgE/VeQE8y4KAKI/AAAAAAAAUZ8/nBL2OQidMqI/s640/G03A1858%2B%25281280x853%2529.jpg)
9 years ago
Habarileo08 Oct
Magufuli aahidi makubwa Moshi
MGOMBEA urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli, jana aliuteka mji wa Moshi mkoa wa Kilimanjaro, baada ya kuvuta umati mkubwa wa watu aliowakuna kwa hotuba yake iliyosheheni ahadi nzito, zikiwamo za kuondoa kero zinazowakabili na pia kuahidi kupaisha uchumi wa mkoa kwa ujumla.