Magufuli apenya ngome ya Ukawa
Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amefanikiwa kujiongezea wapigakura katika majimbo ya Mkoa wa Arusha na Manyara, ambayo ni moja ya ngome za upinzani kwa sasa kutokana na kucheza vyema karata zake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
MAGUFULI ASAMBARATISHA NGOME ZA UKAWA MOSHI
10 years ago
Mtanzania17 Apr
ACT yatikisa ngome ya Sitta, Ukawa
Na Bakari Kimwanga, Tabora
CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeviliza vyama vinavyoundwa na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na Chama Cha Mapinduzi (CCM), baada ya mamia ya wananchi wa Wilaya ya Urambo kutangaza kujiunga na chama hicho.
Wilaya ya Urambo ina jimbo moja la uchaguzi la Urambo Mashariki ambalo linaongozwa na Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta (CCM).
Nia hiyo ya wana-Urambo ilimfanya Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe kujikuta akibubujikwa na machozi ya furaha, huku kila mara...
10 years ago
Mtanzania16 Dec
Ni mtikisiko * Ukawa watesa miji mikubwa, ngome za CCM * Lowassa atamba
Na Waandishi Wetu, Dar na mikoani,
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetikiswa na vyama vinavyounda Umoja ya Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwenye matokeo ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji.
Katika uchaguzi huo uliofanyika nchini juzi, matokeo yanaonyesha kupanda kwa vyama vya upinzani hasa kwa kushinda maeneo yaliyokuwa yakiongozwa na CCM hali iliyokitikisa vilivyo chama hicho tawala.
Kutangazwa huko kwa matokeo hayo kunakuja baada ya kukamilika kwa uchaguzi huo katika baadhi ya...
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Lowassa aiteka ngome ya Magufuli Chato
10 years ago
GPLDK MAGUFULI, CHILOLO WAISAMBARATISHA NGOME YA TUNDU LISSU SINGIDA MASHARIKI
9 years ago
Habarileo16 Nov
Sitta akatwa, Ndugai apenya
KAMATI Kuu (CC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imemaliza kazi yake na sasa mgombea nafasi ya Spika kupitia chama hicho ni ama Job Ndugai, Abdullah Ali Mwinyi au Dk Tulia Ackson Mwansasu.
10 years ago
Michuzi
MAGUFULI ABOMOA NGOME ZA CHADEMA HANANG, MBULU NA KARATU. AMMWAGIA SIFA LUKUKI DKT. SLAA


10 years ago
Mwananchi13 Jul
Ukawa: Hatutishwi na Magufuli
10 years ago
Mzalendo Zanzibar19 Sep
UKAWA kumshitaki Magufuli
Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli Inakusudia kuchukua hatua kwa madai mgombea huyo wa urais wa CCM anaiga na kutumia nembo za Chadema kwenye mabango na hotuba zake za kampeni. Na Waandishi […]
The post UKAWA kumshitaki Magufuli appeared first on Mzalendo.net.