Magufuli: Nitachukua mashamba yasiyotumika
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli ameahidi kunyang’any’a mashamba ambayo yamehodhiwa na watu bila kutumiwa kwa ufugaji wala kilimo, na kuyagawa kwa wakulima na wafugaji wasio na maeneo ya kilimo. Alisema hayo alipozungumza na wananchi wa wilaya za Ulanga na Kilombero mkoani Morogoro jana.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Magufuli: Wananchi wagawiwe mashamba
9 years ago
Habarileo28 Sep
Magufuli aahidi kurejesha mashamba Kapunga
MGOMBEA Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli ameahidi atakapochaguliwa kuwa rais, atarudisha sehemu ya mashamba ya Kapunga ya wilayani Mbarali katika mkoa wa Mbeya kwa wananchi.
9 years ago
Mwananchi09 Dec
Rais Magufuli sasa aombwa kutaifisha mashamba Kibaha
10 years ago
Mtanzania14 Mar
Zitto: Nitachukua uamuzi mgumu
Na Freddy Azzah, Kigoma
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, ametua jimboni kwake na kuomba kuungwa mkono kwa hatua yoyote atakayochukua kuanzia sasa.
Kauli hiyo aliitoa mjini hapa jana, alipokuwa katika kikao cha ndani na viongozi wa jimbo hilo.
Ingawa hakuweka wazi ni hatua gani atakayochukua, lakini wachambuzi wa siasa wanasema pengine atachukua uamuzi mgumu kutokana na matukio kadhaa yaliyomtokea katika maisha yake ya kisiasa.
Katika kikao hicho kilichohudhuriwa na takriban watu 250,...
10 years ago
Mwananchi26 May
Wakati ukifika nitachukua fomu - Membe
10 years ago
Vijimambo01 Nov
Waziri Nyalandu: Nitachukua uamuzi mgumu
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2507196/highRes/864936/-/maxw/600/-/t02tnq/-/nyalandu.jpg)
11 years ago
BBCSwahili11 Jun
Migogoro ya mashamba TZ
11 years ago
Habarileo28 Mar
JK aridhia mashamba 8 kugawiwa wananchi
RAIS Jakaya Kikwete ameridhia mashamba manane kati ya 11 ya mkonge wilayani Muheza yaliyotelekezwa, kugawanywa upya kwa wananchi wenye matatizo ya ardhi wilayani humo.
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
Mashamba ya bangi yateketezwa Moro
OPERESHENI maalumu ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro kutokomeza mashamba ya bangi imefanyika na kufanikiwa kuwakamata watu wanne wamiliki wa mashamba hayo katika Wilaya za Kilosa, Mvomero na Morogoro....