Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais Magufuli sasa aombwa kutaifisha mashamba Kibaha

Wakazi wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha mkoani Pwani wamemuomba Rais John Magufuli kutaifisha mashamba yaliyotelekezwa na kugeuka mapori ili ayarudishe serikalini kwa ajili ya shughuli za kiuchumi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Rais Magufuli aombwa kuteua Mbunge atakayewakilisha wafanyabiashara wadogowadogo

Wamachinga mkoani Mbeya wamuomba Rais John Magufuli kutenga nafasi moja kati ya viti kumi vya wabunge wa kuteuliwa vilivyo chini ya mamlaka yake kwa ajili ya mwakilishi mmoja wa kundi la vijana wanaofanya biashara ndogondogo kote nchini.

Wamachinga hao wamemuomba Rais Magufuli kumteua Mbunge wa kundi hilo maalum nchini ili kuwapa fursa ya kufikisha kero na mapendekezo yao serikalini kwa lengo la kuondoa changamoto zinazowakabili katika shughuli zao na misuguano iliyopo baina yao na...

 

9 years ago

StarTV

Rais Magufuli aombwa kuwachukulia hatua majangili wa meno ya tembo

Kamati ya Okoa Tembo Tanzania imemuandikia barua Rais John Magufuli ya kumuomba kuwachukulia hatua majangili na wafanyabiashara haramu ya Meno ya Tembo Tanzania ili kupunguza mauaji ya Tembo nchini.

Mwaka 2009 Tanzania ilikuwa na idadi ya Tembo 109,00 lakini hadi kufikia mwaka 2014 idadi ilipungua kwa asilimia 60 mpaka kufikia Tembo 43, 000 ambapo jitihada za ziada zinahitajika ili kuwanusuru Tembo waliobaki.

 Kutokana na tatizo hilo kamati Hiyo ya Okoa Tembo wa Tanzania imemtaka Rais...

 

9 years ago

Michuzi

Magufuli afanya mikutano ya kampeni katika jimbo la Kibamba,Kawe,Chalinze,Kibaha vijijini na Kibaha mjini jijini Dar leo.

Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akimnadi Mgombea Ubunge wa jimbo la Chalinze,Ndugu Ridhiwani Kikwete.Dkt Magufuli amefanya mikutano ya kampeni katika jimbo la Kawe,Chalinze,Kibaha vijijini,Kibamba na Kibaha mjini.Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akimkabidhi kitabu cha Ilani ya ccm kwa Mgombea Ubunge wa jimbo la Kibaha vijini .Nduggu Hamoud Abuu Jumaa.Mmoja wa wafuasi wa CHADEMA alipojichanganya kwenye mkutano wa CCM,maara baada ya kuvutiwa na sera za Mgombea Urais...

 

9 years ago

StarTV

Magufuli aombwa kutolipiza kisasi

Baadhi ya Vijana wa Manispaa ya Songea wamemwomba Rais Mteule Dokta John Magufuli kutofuata itikadi za vyama au kulipiza kisasi bali afuate kanuni, taratibu na sheria katika kuwaletea Watanzania maendeleo.

Vijana hao wamesema Dokta Magufuli ndiye aliyeteuliwa na Mwenyezi Mungu hivyo vyama vyote havina budi kuacha malumbano bali sasa vimuunge mkono katika kufanya kazi.

Vijana hao wakiongozwa na Kijana Makunde Richad  na Diwani wa Tanga kupitia chama cha Demokrasia na maendeleo  CHADEMA Mussa...

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli aombwa kujenga tuta mto Kilombero

MGOMBEA ubunge wa Kilombero kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abubakari Asenga amemwomba mgombea urais wa chama hicho, Dk John Magufuli awajengee tuta pembeni ya mto Kilombero kuzuia mafuriko.

 

11 years ago

Habarileo

Kilimo sasa kujikita kwenye mashamba ya mpunga, miwa

Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Sophia KadumaWIZARA ya Kilimo, Chakula na Ushirika imetangaza maeneo ya kipaumbele katika utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa, miongoni mwake ikiwa ni kuendeleza mashamba makubwa ya kibiashara kwa mazao ya miwa na mpunga.

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AOMBWA KUMWAJIBISHA RC GAMA

Na Georgina Misama, MAELEZO-Dodoma
Rais Jakaya Mrisho Kikwete ameombwa kumwajibisha mara moja Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Bwn. Leonidas Gama kwa kutumia vibaya madaraka yake na kujiingiza kwenye biashara chafu ya kupora na kuwapa wawekezaji wageni ardhi ya wananchi mkoani humo. Ombi hilo limetolewa leo na Mbunge wa Rombo, Mkoani Kilimanjaro Mhe. Joseph Selasini alipokutana na waandishi wa habari katika ukumbi wa habari wa Bunge, Mjini Dodoma.
Aidha, Mhe. Selasini ameitaka taasisi ya...

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli: Nitachukua mashamba yasiyotumika

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli ameahidi kunyang’any’a mashamba ambayo yamehodhiwa na watu bila kutumiwa kwa ufugaji wala kilimo, na kuyagawa kwa wakulima na wafugaji wasio na maeneo ya kilimo. Alisema hayo alipozungumza na wananchi wa wilaya za Ulanga na Kilombero mkoani Morogoro jana.

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli: Wananchi wagawiwe mashamba

Igunga/Babati. Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amewataka viongozi wa Mkoa wa Manyara, kuwagawia wananchi mashamba yaliyorudishwa serikalini baada ya wawezaji kushindwa kuyaendeleza kabla hajaingia madarakani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani