Magufuli: Nitashughulikia bei ya kahawa
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli ameahidi kwamba akichaguliwa, atashughulikia bei ya kahawa na kujenga viwanda mbalimbali, ikiwemo vya kahawa, samaki, chai na sukari. Magufuli amewataka wananchi wamchague na wampe miezi mitano pekee, wathibitishe uwezo wake wa kutatua kero.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziRC MALIMA ATAKA WAKULIMA WAUZE KAHAWA YAO KWA BEI NZURI AUNGA MKONO WANUNUZI BINAFSI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fD1Q0-yA0lQ/Xn-X59mDQTI/AAAAAAALlbA/zbtepXsP8_wmNbqarHMtOiBbUzY5cTUSgCLcBGAsYHQ/s72-c/01%2BJPM%2BAKINYWA%2BKAHAWA%2BCHATO.jpg)
RAIS MAGUFULI AKUTANA NA WANANCHI WA CHATO KATIKA KIJIWE CHA KAHAWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-fD1Q0-yA0lQ/Xn-X59mDQTI/AAAAAAALlbA/zbtepXsP8_wmNbqarHMtOiBbUzY5cTUSgCLcBGAsYHQ/s640/01%2BJPM%2BAKINYWA%2BKAHAWA%2BCHATO.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ambaye leo tarehe 28 Machi, 2020 amewasili nyumbani kwake Chato Mkoani Geita akitokea Mkoani Dodoma amekutana na wananchi wenzake wa Chato katika kijiwe cha Kahawa na soko la maboga na kuwapongeza kwa juhudi za kujitafutia kipato.
![](https://1.bp.blogspot.com/-9dkgZrsmSDw/Xn-X5-hqzOI/AAAAAAALla8/F8KYvCDAWqktKNyddJB54JBt8gVD3ADfgCLcBGAsYHQ/s640/JPM%2BAKINYWA%2BKAHAWA%2BCHATO%2B2.jpg)
Mhe. Rais Magufuli ameonekana akifurahia kukutana na wananchi wenzake huku wakinywa kahawa pamoja na amewatembelea akina Mama wanaouza maboga na kununua maboga hayo kwa ajili ya chakula chake cha...
10 years ago
MichuziBODI YA KAHAWA NCHINI(TCB) YAZINDUA MTAALA ENDELEVU WA KITAIFA JUU YA ZAO LA KAHAWA NCHINI
10 years ago
MichuziMONDAY, DECEMBER 1, 2014 BODI YA KAHAWA NCHINI(TCB) YAZINDUA MTAALA ENDELEVU WA KITAIFA JUU YA ZAO LA KAHAWA NCHINI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z89Y9YawKqM/Xt_30dGwUQI/AAAAAAALtQI/wjmtAOw5s_ARTseOS7laiw2yzPTpLgkowCLcBGAsYHQ/s72-c/T2.jpg)
TADB yamwaga billion 7.7 kwa vyama vya ushirika vya wakulima wa kahawa (KCU na KDCU) Kagera katika msimu wa kahawa 2020/21.
![](https://1.bp.blogspot.com/-z89Y9YawKqM/Xt_30dGwUQI/AAAAAAALtQI/wjmtAOw5s_ARTseOS7laiw2yzPTpLgkowCLcBGAsYHQ/s1600/T2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-IRKB-fosws8/Xt_30S47bGI/AAAAAAALtQM/CMSotMtAZTUIRI2kmC8WZcJEC5WtJ51DQCLcBGAsYHQ/s1600/T1.jpg)
Mapema leo (9 Juni 2020), TADB kwa kuongozwa na Mkurgenzi Mtendaji, Japhet Justine, wameshiriki katika ufunguzi wa msimu mpya wa kahawa 2020/21 uliofunguliwa na RC Kagera Mh. Brig. Gaguti wilayani Kyerwa....
9 years ago
Mtanzania02 Sep
Magufuli: Nitashusha bei ya saruji, mabati
NA BAKARI KIMWANGA, TUNDURU
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema endapo atachaguliwa kuongoza Serikali ya awamu ya tano, atahakikisha anashusha bei ya saruji na mabati ili kila Mtanzania aweze kufurahia
maisha kwa kujenga nyumba bora na nzuri.
Amesema hatakuwa tayari kuona bei ya vifaa vya ujenzi ikipaa hali ya kuwa viwanda vipya vitaanza uzalishaji.
Kauli hiyo aliitoa jana katika mikutano yake ya kampeni za kuomba kuchaguliwa kuwa rais katika wilaya za...
9 years ago
Mwananchi02 Sep
Magufuli kupunguza bei ya saruji, mabati
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-MFTpxPPmcJM/Veb5wqruY0I/AAAAAAAH17E/14yyWwYvJNs/s72-c/_MG_1288.jpg)
MAGUFULI AFUNGA KAZI MKOANI MTWARA,AHIDI KUSHUSHA BEI YA VIFAA VYA UJENZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-MFTpxPPmcJM/Veb5wqruY0I/AAAAAAAH17E/14yyWwYvJNs/s640/_MG_1288.jpg)
Dkt John Magufuli amesema kuwa iwapo atachaguliwa kuwa Rais katika uchaguzi mkuu mwaka huu ,Serikali yake itashusha bei ya vifaa vya ujenzi hasa bati na saruji,amesema kuwa serikali yake inataka kurahisisha maisha ya watanzania wote na hivyo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ae-xW-DsD7I/XqFoRJTv4pI/AAAAAAALn94/BNO2KjfGVyosaWQ0rrVgNcF-ImPzq5HjgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-23%2Bat%2B12.52.05%2BPM.jpeg)
BEI YA SUKARI YATANGAZWA, SERIKALI YAONYA WAFANYABIASHARA WANAOPANDISHA BEI KIHOLELA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ae-xW-DsD7I/XqFoRJTv4pI/AAAAAAALn94/BNO2KjfGVyosaWQ0rrVgNcF-ImPzq5HjgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-23%2Bat%2B12.52.05%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-T7j7LFV7AUw/XqFoRLlHXfI/AAAAAAALn98/niTepAN1TG0nOdSvHSY5EHxbBafM3qn1wCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-23%2Bat%2B12.53.14%2BPM.jpeg)
Charles James, Michuzi TVSERIKALI...