Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahakama imeafiki marufuku ya Suarez.

Mahakama ya rufaa ya michezo imeafiki marufuku ya miezi 4 dhidi ya mshambulizi wa Barcelona Luis Suarez.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

FIFA:Suarez akabiliwa na marufuku

Mshambuliaji wa timu ya soka ya Uruguay Luis Suarez anakabiliwa na marufuku ya mda mrefu itakayomlazimu kukosa mechi zilizosalia

 

11 years ago

BBCSwahili

Huenda marufuku ya Suarez itapunguzwa

Wakili wa Luiz Suarez anamatumaini FIFA itapunguza marufuku ya miezi minne aliyopewa kwa kumngata mchezaji .

 

10 years ago

GPL

MAHAKAMA YAMPUNGUZIA ADHABU SUAREZ

Mchezaji wa Barcelona, Luis Suarez. Mahakama ya Soka ya Kimataifa CAS, imekubali kupunguza adhabu ya kumfungia miezi minne Luis Suarez wa Barcelona baada ya kumuuma Giorgio Chiellini wa Italia wakati wa Kombe la Dunia. CAS imetoa nafuu kwa Suarez na sasa Barcelona rasmi itamtambulisha Jumatatu na atapewa ruksa ya kufanya mazoezi na wenzake.
Mambo ambayo yamepunguzwa na yale yanayobaki kuwa adhabu ni kama yafuatayo. Suarez...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mahakama za mwanzo marufuku

SERIKALI, imezipiga marufuku Mahakama za Mwanzo kuamua mashauri ya kesi za ardhi kwani jukumu hilo ni la Mabaraza ya Ardhi ya Wilaya. Onyo hilo lilitolewa jana bungeni mjini hapa na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahakama yazuia marufuku ya pombe India

Mahakama ya rufaa nchini India imezuia mpango wa jimbo la Kerala Kusini mwa nchi hiyo kupiga marufuku pombe.

 

11 years ago

Habarileo

Vimini, mgongo wazi marufuku Mahakama ya Kinondoni

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Dar es Salaam imetoa amri ya kuzuai watu wenye mavazi yasiyo na staha kuingia makahamani hapo.

 

11 years ago

CloudsFM

WANAOVAA VIMINI, MAVAZI YANAYOBANA MARUFUKU MAHAKAMA YA KINONDONI

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Dar es Salaam imeweka kibano kwa watu wenye mavazi yasiyo na staha kuingia makahamani hapo kwa kuwazuia mlangoni.
Miongoni mwa mavazi ambayo akivaa mtu anazuiwa kuingia si tu ndani ya vyumba vya Mahakama, bali pia kwenye viwanja vyake, ni yanayobana, yanayoacha mgongo wazi, fupi na mashati au blauzi za mikono mifupi.

Hatua hiyo ilianza kutekelezwa takribani wiki tatu zilizopita. Kibano hicho kinamuhusu mtu yeyote mwenye shughuli mahakamani hapo wakiwemo...

 

5 years ago

Michuzi

MAHAKAMA KUU KANDA DARESALAAM YATOA HUKUMU KWA MAHAKAMA MTANDAO

Na Innocent Kansha- Mahakama  Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam jana ilitoa hukumu tatu kwa  njia ya Mahakama Mtandao maarufu kama “Video Conference” kwa kushirikiana na Magereza ya Keko na Segerea Jijini Dar es salaam, huku ikiahirisha mashauri mawili. Mashauri matano ya mauaji yalisikilizwa mbele ya Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam, Mhe. Lameck Mlacha kwa kutumika njia hiyo. Kati ya mashauri hayo matatu yalisikilizwa na kutolewa hukumu,  kwa...

 

5 years ago

Michuzi

MTENDAJI MKUU WA MAHAKAMA YA TANZANIA AKIKAGUA UJENZI WA MAHAKAMA JUMUISHI

 Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Bw. Mathias Kabunduguru ( aliyenyoosha mkono) akikagua  leo ujenzi wa  jengo la Mahakama Jumuishi  la Utoaji Haki (IJC) lililopo eneo la Kihonda Wilaya ya Morogoro. Jengo hilo linajumuisha Mahakama Kuu,  Mahakama ya Hakimu Mkazi na Mahakama ya Wilaya zikiwemo ofisi za wadau wote wa Mahakama. Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Bw. Mathias Kabunduguru (wa pili kulia) akizungumza leo na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Loatha Sanare kuhusu ziara ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani