Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahiza awaonya wafugaji kuibiana

MKUU wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza amewaonya wafugaji mkoani hapa kuwapatia vijana wao ng’ombe wawapeleke malishoni kutokana na kuwepo kwa  wimbi la kuibiana mifugo. Mahiza alitoa wito huo juzi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Mahiza awaonya watendaji Mkuranga

MKUU wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza, amewaonya madiwani na watendaji wa Wilaya ya Mkuranga ambao watashindwa kutekeleza miradi ya maendeleo kwa wakati, hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yao ikiwa...

 

11 years ago

Habarileo

RC awaonya wafugaji

SERIKALI mkoani hapa imeazimia kuchukua hatua za kisheria kwa mtu yeyote atakayekiuka utaratibu wa kisheria wa kutaka kuhamia katika maeneo ya Mkoa wa Mbeya kwa ajili ya ufugaji. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro alitoa msisitizo huo alipokuwa kwenye ziara ya kikazi wilayani Chunya, ambapo aliitaja wilaya hiyo kuwa miongoni mwa wilaya zilizokithiri kwa maeneo yake kuvamiwa na wafugaji wanaohamia bila kufuata utaratibu.

 

10 years ago

GPL

WANAWAKE WASUTANA KISA KUIBIANA BWANA

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro
Makubwa! Wakati Wizara ya Nishati na Madini ikiwa kwenye msukosuko wa fedha zilizochotwa ‘kihuni’ kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow, mwanaume mmoja, mtumishi wa wizara hiyo mkoani hapa almaarufu Kigogo wa Escrow, amesababisha wanawake wawili kusutana kwa matarumbeta na kukabana wakidaiwa kumgombea kwani ana fedha ‘chafu’. Wakina mama, Tabu Mohamed na Mwajuma...

 

10 years ago

Dewji Blog

Majaji waendesha mahakama ya wazi kusikiliza na kupokea malalamiko ya wakulima walionyang’anywa Ardhi,Wafugaji na Migogoro ya wakulima na wafugaji

IMG_0113   Jaji Mh. Richard Mziray akitoa hukumu katika Mahakama ya wazi  katika Kesi zote Mbili ya Kiteto na Kilosa ,ambapo katika Kesi ya Wilaya ya Kiteto alitoa Maamuzi kwamba kulikuwa na umuhimu wa utekelezeji wa Amri ya Mahakama na kuheshimu Amri za Mahakama kuwa Mahakama ilisha tamka kuwa ile ni Hifadhi hivyo inatakiwa kulindwa na kuheshimiwa na ameongeza kuwa kama kungekuwa na kuzingatiwa kwa Sera za Ardhi basi kusingekuwa na Migogoro yote hiyo ametolea mfano pia maeneo ambayo yanatakiwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mahiza kuwachongea Ma DC

MKUU wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza, amesema endapo wakuu wa wilaya za mkoa huo hawataleta mpango mkakati kuhusiana na ujenzi wa maabara kwenye shule za sekondari hadi ifikapo Februari...

 

11 years ago

Tanzania Daima

RC Mahiza aiangukia TCRA

MKUU wa Mkoa (RC) wa Pwani, Mwantumu Mahiza, ameiomba Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuwasiliana na wamiliki wa vyombo vya habari, hasa luninga, ili kuweka mkalimani wa lugha ya alama...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mahiza azishukia asasi za ukimwi

MKUU wa Mkoa wa Pwani, Mwantum Mahiza, amesema anashangazwa na uwepo wa asasi nyingi zinazotoa elimu namna ya kuepuka maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi huku takwimu za maambukizi zikiendelea...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mahiza: Nitazishughulikia asasi za mifukoni

“OLE wao watakaogundulika wanatumia asasi zisizo za kiserikali kama sehemu ya kujipatia mitaji na kutumia fedha kinyume cha malengo ya maombi,” hiyo ni kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakazi Tondoroni wamkana Mahiza

HALI ya sintofahamu imetawala kwa wakazi wa Kijiji cha Tondoroni, Wilaya ya Kisarawe, mkoani Pwani kutokana na mgogoro wa muda mrefu kati yao na kambi ya jeshi iliyopo Kiluvya huku...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani