Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majambazi wavamia shule Nairobi, Kenya

Majambazi wamemuua mwanafunzi mmoja wa shule ya upili na kuwajeruhi wengine wengi katika uvamizi waliofanya dhidi ya shule Nairobi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Majambazi wavamia Wachina wanaojenga barabara, wajeruhi

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Katavi, Dhahiri KidavashariWATU wanane wanaosadikiwa kuwa majambazi wakiwa na silaha za jadi yakiwemo mapanga na marungu, wamevamia kambi ya Kampuni ya Wachina.

 

9 years ago

Habarileo

Majambazi wavamia duka la M-Pesa na kupora fedha

VIJANA wawili wakiwa na silaha wamevamia duka la M-Pesa mjini Tabora na kumteka mhudumu wa duka hilo kabla ya kumwamuru atoe fedha zote alizokuwa nazo pamoja na simu anazotumia.

 

10 years ago

CloudsFM

Majambazi wavamia kituo, waua polisi wawili

ASKARI wawili wa Jeshi la Polisi katika Kituo cha Ikwiriri wilayani Rufiji mkoani Pwani, wameuawa baada ya kushambuliwa kwa silaha na majambazi, waliovamia kituo hicho na kuiba silaha baada ya kufanikisha mauaji.
Kutokana na tukio hilo, Jeshi la Polisi liko katika msako mkali, huku Mkuu wa jeshi hilo, IGP, Ernest Mangu akitangaza donge nono la Sh milioni 20 kwa watakaofanikisha kukamatwa kwa wahusika wa tukio hilo na silaha.

Akizungumza na waandishi wa habari kwa njia ya simu kutoka eneo la...

 

9 years ago

Bongo5

Majambazi wavamia na kupora nyumbani kwa rapper Big Sean

big-sean

Nyumba ya rapper Big Sean wa Marekani ilivamiwa na majambazi wakati akiwa nje ya nchi.

big-sean

Kwa mujibu wa TMZ, wezi hao walivunja nyumba yake iliyopo jijini Los Angeles na kuvunja sehemu palipokuwa pamehifadhiwa vitu vya thamani. Walipora vidani vya madini vyenye thamani ya $150,000 pamoja na nyimbo ambazo bado hazijatoka.

Sean na wenzake wanaamini kuwa wizi huo umefanywa na watu wa karibu. Wezi hao walijua kuwa rapper huyo hakuwepo na walikuwa wanaijua vyema nyumba yake. Hadi sasa hakuna...

 

11 years ago

Michuzi

News Alert: Majambazi wavamia kituo cha Polisi Kimanzichana na kuua Askari

Mnamo tarehe 11/06/14 majira ya 0100hrs huko kituo kidogo cha Kimanzichana Pwani,watu wasiojulikana waliojifanya kuwa ni raia wema waliingia kituo kidogo cha Polisi Kimanzi Chana huku wakikimbia wakiwa na silaha za jadi kiasi cha askari wa zamu kuamini kuwa ni watu wanaohitaji msaada. 
Cha kushangaza watu hao walimvamia askari mwenye silaha ambaye amefahamika kwa jina la JOSEPH NGONYANI na kuanza kumkatakata mapanga na hatimaye kupora silaha aina ya SMG ikiwa na risasi 30.
Ndipo...

 

9 years ago

Vijimambo

KENYA-TANZANIA BUSINESS FORUM ON OCTOBER 6, 2015 IN NAIROBI, KENYA IN PICTURES

 Executive Director of Tanzania Investment Centre Ms. Juliet Kairuki welcomes the President of Republic of Kenya H.E. Uhuru Kenyatta to the Forum

 President of the Republic of Kenya  H.E. Uhuru Kenyatta arrives at the venue of the Kenya-Tanzania Business Forum. He is escorted by Kenyan Minister of Industrialization and Enterprise Development

 Kenyan Minister of Industrialization and Enterprise Development and Managing Director of Intercontinental Hotel, Nairobi welcome the President of the...

 

9 years ago

Michuzi

KENYA-TANZANIA BUSINESS FORUM ON OCTOBER 6, 2015 IN NAIROBI, KENYA.


 Ms Juliet Kairuki , CEO of Tanzania Investment Centre welcomes President of the United Republic of Tanzania HE. Dr Jakaya  Kikwete

 Their Excellencies Dr. Jakaya Kikwete and Uhuru Kenyatta enter the conference room.
 President Jakaya Kikwete delivers his keynote address during the forum. Senior members of the Tanzanian delegation at the forum.Mrs Juliet Kairuki addressing the audience.For more CLICK HERE




 

9 years ago

Michuzi

KEYNOTE ADDRESS BY HIS EXCELLENCY JAKAYA MRISHO KIKWETE, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, AT THE KENYA - TANZANIA BUSINESS FORUM IN NAIROBI, KENYA, 6TH OCTOBER 2015

KEYNOTE ADDRESS BY HIS EXCELLENCY JAKAYA MRISHO KIKWETE, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF

TANZANIA, AT THE KENYA - TANZANIA BUSINESS

FORUM IN NAIROBI, KENYA,

6THOCTOBER 2015


Ladies and Gentlemen;

I thank you President Uhuru Kenyatta for including this meeting in my itinerary and for what you have just said emphasizing the importance of promoting business relations between our two countries. I thank Mr. Kiprono Kittony the Chairman of the Kenya Chamber of Commerce and Industry for organising...

 

10 years ago

BBCSwahili

Majambazi 'wamsulubu' mwalimu Kenya

Mwalimu wa kanisa katoliki Magharibi mwa Kenya alitekwa nyara majambazi na kupigiwa msumari kwenye mti msituni

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani