Makala:Steven Kanumba Aanza Kujifunza Kuigiza-2
Wiki iliyopita tuliona jinsi Kanumba alivyokutana na mrembo na kumtongoza kipindi alichokuwa kijijini Shinyanga.Binti huyo alimkatalia Kanumba kutokana na hali yake mbaya ya kiuchumi aliyokuwa nayo. Kwa kuwa Kanumba alikuwa na mapenzi ya dhati na binti huyo, aliendelea kumsisitiza kila wakati kuhakikisha ndoto ya kuwa mpenzi wake inatimia.
SASA ENDELEA...
Kanumba hakukata tamaa, alizidi kumsisitiza na kumpa matumaini binti huyo kwamba ipo siku Mungu atamuinua na kuwa juu lakini bahati...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uCeLa4uwiH83LSMytZ*wey3DBWVA9oHs1zwir4b0rqMKeYK9PNIbfH1kmbJGU0*hHYfLMI6tsLrgfiooWaEw3dkkLvrR54kr/StevenKanumba.jpg?width=650)
STEVEN KANUMBA AANZA KUJIFUNZA KUIGIZA - 2
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IlN0UevPKmYJFRC2aQZFw5KLjZV13DGLVU4hI-fslY3ihG6Ntvsstk*QP9wD8Jn3E2C*enlMscOBL7M5GjSqh-47BUPMQ7PS/kanumbaday.jpg)
WASANII WAMKUMBUKA STEVEN KANUMBA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-hfKYI7dZOjpO9vP6vaYUkvnXZxAJ8oDIjfHflbHcKxsgsEj4mnwyIWarINuwO5k2MWHTWvzarxQ5vOGLsAOlV9T/kanumba.jpg?width=650)
STEVEN KANUMBA ADAIWA KUIBA SIMU YA MSANII MAZOEZINI -3
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pHhBdYiNnuKmSC9PYS9Dx62DU2qCWR*Mx3vizkQsYty-qKzuLrwy-XrXvp*zq6*iB*C5PE5aB8*rMWTRYrUSsoggpjBY9-3y/stevekanumbanandoshotelurbanpulse.jpg?width=650)
STEVEN KANUMBA AREKODI SINEMA INAYOAKISI KIFO CHAKE - 8
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nBD8FQWarq8JaxeZNM6uxIh0w07EXCMUi84o1TtjHgD5HDzinRlAyQYvI7SXr3*LRY5bKrgRdnfKJwZ6T4XPuX0sqGRYF6gn/Kanumba3.gif)
STEVEN KANUMBA AMWAGANA NA WEMA, AANZISHA UHUSIANO NA NARGIS MOHAMED -5
10 years ago
GPLSTEVEN KANUMBA AACHANA NA NARGIS MOHAMED, AJITOSA KWA SYLVIA SHALLY - 6
10 years ago
Bongo Movies26 Jan
Mama Kanumba:Nimeanza Kuigiza Toka Nilipokuwa Sekondari!!
Akizungumzia kipaji chake cha uigizaji, Flora Mtegoa “Mama Kanumba” alisema hakufanya hivyo baada ya mwanaye kufariki, bali alikuwa akiigiza wakati alipokuwa kigori, hivyo ameamua kuendeleza kipaji chake.
“Nikiwa sekondari niliigiza, wakati huo mtoto wa kike kupelekwa shule mpaka vikao, zamani binti hakuruhusiwa kusoma, ilikuwa ngumu, kwa hiyo unacheza huku ukifikiria kwamba nyumbani wakijua nimeingia huku itakuwa tatizo, baadaye nikaacha,” alisema.
Alisema baada ya Kanumba kufariki,...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-07_VvBwvhNk/UvTla-H8mkI/AAAAAAAFLmg/FhphMw_rlxU/s72-c/images+(1).jpg)
news alert: msanii wa filamu elizabeth kimemeta a.k.a lulu kuanza kujibu mashtaka ya kumuua bila kukusudia steven kanumba Februari 17
![](http://4.bp.blogspot.com/-07_VvBwvhNk/UvTla-H8mkI/AAAAAAAFLmg/FhphMw_rlxU/s1600/images+(1).jpg)
10 years ago
Bongo Movies25 Jan
Mama Kanumba:Nitaendeleza ndoto za Kanumba kupitia "Kanumba Foundation"
Mama wa aliyekuwa nyota wa filamu nchini, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa amesema kuwa kupitia Kampuni ya Kanumba The Great Film inakamilisha uanzishaji wa taasisi itakayoitwa, Kanumba Foundation.
Pia, alikanusha uvumi kuwa kampuni ya Kanumba imekufa, akifafanua jambo hilo alisema kampuni hiyo inaendelea na shughuli zake. Alisema kutakuwapo Kanumba Foundation ili kusaidia jamii wakiwamo wasanii katika masuala mbalimbali.
Akizungumza na gazeti la Mwananchi, Flora alisema uamuzi...