Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makamba, Filikunjombe, Jenista warejeshewa wapinzani

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetangaza kuwarejesha wapinzani kwenye majimbo manne kati ya matano yaliyoripotiwa wagombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kupita bila kupingwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Jenista: Majibu ya wapinzani Oktoba 25

Kada wa CCM anayetetea ubunge wa Peramiho, Jenista Mhagama amewataka wapiga kura wake kupuuza sera za wapinzani  wanaopita jimboni humo na kuwaporomoshea matusi wagombea wa chama hicho.

 

9 years ago

Habarileo

Washindani wa Makamba, Filikunjombe warejeshwa

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imekubali rufani 13 zilizokatwa na wagombea ubunge katika majimbo mbalimbali nchini, huku majimbo 10 ambayo wagombea wake walipita bila kupingwa, imewarejesha.

 

9 years ago

Michuzi

FILIKUNJOMBE NJIA NYEUPE UBUNGE WAPINZANI WAKE WAINGIA MITINI

Deo  Filikunjombe (CCM)
Na  matukiodaimaBlog Ludewa ALIYEKUWA  mbunge   wa  jimbo la  Ludewa  Deo  Filikunjombe (CCM)  amepita  bila kupingwa  baada ya  mgombea  wa chama  cha Demokrasia na maendeleo (chadema) Barthomew Mkinga  kushindwa  kutimiza Masharti na Taratibu za Ujazaji wa Fomu.
Msimamizi wa Uchaguzi Wilaya ya Ludewa Bw  Wiliam Waziri alisema  jana   kuwa Mgombea wa Chadema ameshindwa kutimiza taratibu za ujazaji wa fomu hizo hivyo kukosa sifa ya kuwa Mgombea wa Ubunge...

 

9 years ago

Dewji Blog

Filikunjombe apita bila kupingwa, wapinzani wake waingia mitini na fomu

Fomu ya mgombea wa  Chadema ubunge Ludewa zikiwa hazijatimia baada ya tomu ya tamko kukosekana. Fomu ya  mgombea  wa Chadema  ikiwa haijazwa senemu ya  tarehe ,mwezi na mwaka. blogger-image-737464366

Mzee  Kada  wa Chadema  akimpongeza  mbunge wa  Ludewa, Deo Filikunjombe baada ya kupewa  barua ya kupita bila kupingwa.

Mbunge  wa  Ludewa, Deo  Filikunjombe akizungumza na  wanachama  wa CCM na  wananchi wa Ludewa baada ya  kupita  bila  kupingwa. blogger-image--1715103721

Filikunjombe akionyesha barua ya  kupita bila kupingwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ufalme wa Buganda warejeshewa mali

Rais wa Uganda Yoweri Museveni,amemkabidhi mfalme wa Buganda mali ambayo ufalme huo ulipokonywa mnamo miaka ya sitini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Albino 5 Tz warejeshewa viungo Marekani

Watoto 5 wa Tanzania wenye ulemavu wa ngozi waliokuwa wamekatwa viungo vya miili yao wamewekewa viungo bandia Marekani.

 

10 years ago

IPPmedia

Deputy Education Minister, Jenista Mhagama


IPPmedia
Deputy Education Minister, Jenista Mhagama
IPPmedia
Form one registration is here again as parents and guardians strive to secure the best private secondary schools for their children by booking for an entrance examination through a registration form that costs between Sh10,000 and Sh20,000. This follows the ...

 

9 years ago

Mwananchi

Jenista atoa siku 14 kukagua mikataba ya ajira

Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Uratibu na Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu, Jenista Mhagama ametoa siku 14 kwa maofisa kazi wote nchini, kukagua mikataba ya ajira kama inaendana na kanuni na sheria za ajira nchini.     

 

9 years ago

Mwananchi

Jenista: Kukitokea maafa El Nino, kamati kuwajibishwa

Serikali imesema itawawajibisha wajumbe wa kamati za maafa watakaoshindwa kuchukua hadhari dhidi ya maafa yatakayosababishwa mabadiliko ya tabia ya nchi na mvua za El Nino kwenye maeneo yao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani