Makamba, Filikunjombe, Jenista warejeshewa wapinzani
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetangaza kuwarejesha wapinzani kwenye majimbo manne kati ya matano yaliyoripotiwa wagombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kupita bila kupingwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi07 Oct
Jenista: Majibu ya wapinzani Oktoba 25
9 years ago
Habarileo02 Sep
Washindani wa Makamba, Filikunjombe warejeshwa
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imekubali rufani 13 zilizokatwa na wagombea ubunge katika majimbo mbalimbali nchini, huku majimbo 10 ambayo wagombea wake walipita bila kupingwa, imewarejesha.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gEvEsX4FLfU/VdsZ6xxfzlI/AAAAAAAHzo4/xIWnkz_1cF4/s72-c/DSC_0153.jpg)
FILIKUNJOMBE NJIA NYEUPE UBUNGE WAPINZANI WAKE WAINGIA MITINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-gEvEsX4FLfU/VdsZ6xxfzlI/AAAAAAAHzo4/xIWnkz_1cF4/s640/DSC_0153.jpg)
Na matukiodaimaBlog Ludewa ALIYEKUWA mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe (CCM) amepita bila kupingwa baada ya mgombea wa chama cha Demokrasia na maendeleo (chadema) Barthomew Mkinga kushindwa kutimiza Masharti na Taratibu za Ujazaji wa Fomu.
Msimamizi wa Uchaguzi Wilaya ya Ludewa Bw Wiliam Waziri alisema jana kuwa Mgombea wa Chadema ameshindwa kutimiza taratibu za ujazaji wa fomu hizo hivyo kukosa sifa ya kuwa Mgombea wa Ubunge...
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Filikunjombe apita bila kupingwa, wapinzani wake waingia mitini na fomu
![](http://lh3.googleusercontent.com/-j_awmLdlqTQ/VdsZpAdIRAI/AAAAAAACAEY/Buc04cooQOE/s640/blogger-image--1635206624.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-4RDuPCMDd1E/VdsVXTvQwbI/AAAAAAACAEM/JlChphoiar4/s640/blogger-image--816864011.jpg)
![blogger-image-737464366](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/blogger-image-737464366.jpg)
Mzee Kada wa Chadema akimpongeza mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe baada ya kupewa barua ya kupita bila kupingwa.
![](http://lh3.googleusercontent.com/-ha9uY3b3FRo/VdsTx91s_8I/AAAAAAACADo/OqlD12You68/s640/blogger-image-2045842457.jpg)
![blogger-image--1715103721](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/blogger-image-1715103721.jpg)
Filikunjombe akionyesha barua ya kupita bila kupingwa.
![](http://lh3.googleusercontent.com/-TUU_ukM5QV8/VdsT2STiLSI/AAAAAAACADw/chGpXPraTPM/s640/blogger-image--1568280623.jpg)
11 years ago
BBCSwahili15 Apr
Ufalme wa Buganda warejeshewa mali
9 years ago
BBCSwahili19 Aug
Albino 5 Tz warejeshewa viungo Marekani
10 years ago
IPPmedia19 Oct
Deputy Education Minister, Jenista Mhagama
IPPmedia
IPPmedia
Form one registration is here again as parents and guardians strive to secure the best private secondary schools for their children by booking for an entrance examination through a registration form that costs between Sh10,000 and Sh20,000. This follows the ...
9 years ago
Mwananchi16 Dec
Jenista atoa siku 14 kukagua mikataba ya ajira
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Jenista: Kukitokea maafa El Nino, kamati kuwajibishwa
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10