Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jenista: Majibu ya wapinzani Oktoba 25

Kada wa CCM anayetetea ubunge wa Peramiho, Jenista Mhagama amewataka wapiga kura wake kupuuza sera za wapinzani  wanaopita jimboni humo na kuwaporomoshea matusi wagombea wa chama hicho.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Makamba, Filikunjombe, Jenista warejeshewa wapinzani

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetangaza kuwarejesha wapinzani kwenye majimbo manne kati ya matano yaliyoripotiwa wagombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kupita bila kupingwa.

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa: Majibu ya utafiti Oktoba 25

Matokeo ya utafiti wa Twaweza kuhusu Uchaguzi Mkuu yamepingwa na wasomi, wanaharakati na wanasiasa, akiwamo mgombea urais wa Chadema na Ukawa, Edward Lowassa ambaye ameuponda na kueleza kuwa matokeo halisi yatapatikana Oktoba 25.

 

10 years ago

Mwananchi

DK Shein: Nitawashinda wapinzani Zanzibar Oktoba

Zanzibar. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Ali Mohamed Shein jana alichukua fomu ya kuomba ridhaa ya chama chake kuteua tena kugombea urais wa Zanzibar huku akitamba kuwa ataendeleza wimbi la ushindi dhidi ya wapinzani katika Uchaguzi Mkuu ujao.

 

10 years ago

IPPmedia

Deputy Education Minister, Jenista Mhagama


IPPmedia
Deputy Education Minister, Jenista Mhagama
IPPmedia
Form one registration is here again as parents and guardians strive to secure the best private secondary schools for their children by booking for an entrance examination through a registration form that costs between Sh10,000 and Sh20,000. This follows the ...

 

9 years ago

Mwananchi

Jenista atoa siku 14 kukagua mikataba ya ajira

Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Uratibu na Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu, Jenista Mhagama ametoa siku 14 kwa maofisa kazi wote nchini, kukagua mikataba ya ajira kama inaendana na kanuni na sheria za ajira nchini.     

 

9 years ago

Mwananchi

Jenista: Kukitokea maafa El Nino, kamati kuwajibishwa

Serikali imesema itawawajibisha wajumbe wa kamati za maafa watakaoshindwa kuchukua hadhari dhidi ya maafa yatakayosababishwa mabadiliko ya tabia ya nchi na mvua za El Nino kwenye maeneo yao.

 

9 years ago

Dewji Blog

Majaliwa ampokea Waziri Jenista na Naibu Mawaziri Mavunde na Possi

IMGS5294

 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama akipokea maua kutoka kwa mtumishi wa ofisi ya Waziri Mkuu, Numpe mwadumbya (kushoto) baada ya kuwasili ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam kuanza kazi Desemba 14, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu). IMGS5299 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama (wa pili kushoto)  akishuhudia wakati Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Anthony Mavunde (wa pili kulia ) na Dkt. Abdallah Possi(kulia) wakipokea maua kutoka kwa...

 

10 years ago

Michuzi

Mhe Jenista Mhagama afanya Ziara ya Kiserikali katika Bunge la Zambia

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge, Mhe Jenista Mhagama tarehe 21 April 2015 alifanya Ziara ya Kiserikali katika Bunge la Zambia. Dhumuni ya ziara hiyo ilikuwa ni    kujifunza taratibu na mambo mbali mbali yanayohusiana na Bunge la Zambia. Katika ziara hiyo Mhe Waziri aliongozana na Balozi wa Tanzania nchini Zambia Mhe. Balozi Grace J. Mujuma.Mhe. Jenista Mhagama na Mhe Balozi Grace Mujuma wakipewa maelezo na Spika wa Bunge la Zambia Jaji, Dkt. Patrick...

 

11 years ago

Michuzi

MH. JENISTA MHAGAMA AFUNGA MAFUNZO YA VIONGOZI WA CCM WILAYA YA LUDEWA JIJINI DAR

3wNaibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akimkabidhi cheti cha kuhudhuria mafunzo hayo Eliud Shemauya Katibu wa CCM wilaya ya Ludewa. 4wNaibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akimkabidhi cheti cha kuhudhuria mafunzo hayoHonolatus Pilimini Mgaya Katibu Mwenezi wa CCM wilaya ya Ludewa. 5wNaibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani