‘Makame alikuwa bingwa wa sheria’
JAJI Mkuu wa Zanzibar, Omar Othman Makungu amemtaja Mwenyekiti wa zamani wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Lewis Makame kuwa alikuwa bingwa katika masuala ya sheria na mambo ya mahakama Afrika Mashariki na Kati.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo20 Aug
‘Jaji Makame alikuwa mwanasheria mahiri’
JAJI Mkuu mstaafu, Augustine Ramadhani, amesema Taifa limempoteza Jaji mahiri katika tasnia ya Sheria nchini, ambaye alisifika kwa mambo mengi, ikiwemo kuandika kwa ufasaha hukumu zake, kutokana na umahiri wake wa lugha ya Kiingereza.
9 years ago
Bongo513 Oct
Izzo Bizness: Mangwair alikuwa ‘genius’, alikuwa na uwezo wa kuandika na kumaliza kurekodi album nzima siku moja
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lRXOY8TlRVY/VeTNKwVJ5LI/AAAAAAAH1a4/ZxoSpmwSA3M/s72-c/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
HOTUBA YA MHESHIMIWA PROF. MAKAME M. MBARAWA (MB), WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA KWA WAANDISHI WA HABARI YA KUTANGAZA RASMI KUANZA KUTUMIKA KWA SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO NA YA MIAMALA YA KIELEKTRONIKI ZA MWAKA 2015 KWENYE UKUMBI WA MIKUTA
Mabibi na Mabwana,Napenda nichukue fursa hii kuwashukuru nyote hasa waandishi wa habari kwa kutenga muda wenu na kujumuika nasi kwa lengo la kutangaza rasmi kuanza kutumika kwa Sheria ya Makosa ya Mtandao, 2015 ambayo ilitangazwa kwenye gazeti la Serikali la tarehe 14/08/2015 na kupewa Na. 328. Pia Sheria ya Miamala ya Kielektroniki, 2015 ambayo ilitangazwa kwenye Gazeti la Serikali la tarehe hiyo hiyo na kupewa Na.329.
Ndugu Wananchi,Teknolojia ya Habari na...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JWe3dXBN65E/VhLd6bFjPHI/AAAAAAADAVk/PV432man6d0/s72-c/121.jpg)
IDARA YA UHAMIAJI YAWA BINGWA MICHUANO YA MPIRA WA PETE KLABU BINGWA TANZANIA
10 years ago
End Of An Icon19 Aug
Judge Lewis Makame
AllAfrica.com
THE roar of the 'lion' that was Judge Lewis Makame, a High Court Judge whom the nation later trusted with the noble and unenviable task of supervising Tanzania's electoral process as Chairman of the National Electoral Commission (NEC) was silenced ...
Judge Lewis Makame is deadDaily News
all 3
10 years ago
Mtanzania19 Aug
Jaji Makame afariki dunia
![Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Lewis Makame.](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Jaji-Lewis-Makame.jpg)
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Lewis Makame.
NA WAANDISHI WETU
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Lewis Makame, amefariki dunia.
Taarifa ambazo MTANZANIA ilizipata zinaeleza Jaji Makame alifariki dunia jana katika Hospitali ya AMI Trauma Center, iliyopo Masaki jijini Dar es Salaam alipokuwa akitibiwa.
Baada ya kupatikana kwa taarifa hizo, MTANZANIA lilifika nyumbani kwa marehemu Masaki ambako mmoja wa watoto wa...
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
JK, CHADEMA wamlilia Jaji Makame
RAIS Jakaya Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kufuatia kifo cha mwenyekiti mstaafu wa tume hiyo, Jaji Lewis Makame. Taarifa iliyotolewa jana...
10 years ago
Daily News20 Aug
Kikwete mourns Judge Makame
Daily News
Daily News
PRESIDENT Jakaya Kikwete has paid tribute to the former Chairman of the National Electoral Commission (NEC), Retired Judge Lewis Makame, who died on Monday afternoon at the AMI Trauma Centre at Masaki in Dar es Salaam. The president said in a ...
Judge Lewis Makame - End of an Icon - End of an EraAllAfrica.com
all 6
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Waziri Makame amjibu Jussa
SIKU moja baada ya Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Ismail Jussa kuwashambulia mawaziri watatu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa kudai ni wanafiki, waziri mmoja ameibuka na kujibu hoja....