Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makocha mikono watakiwa kuuendeleza mchezo nchini

MAKOCHA 27 wa mpira wa mikono juzi walihitimu mafunzo ya ufundishaji wa mchezo huo yaliyofanyika Mkuza Kibaha mkoani Pwani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Makocha watakiwa kufundisha soka

RAIS wa Shirikisho la Soka nchini (TFF), Jamal Malinzi, amefunga kozi ya makocha lesseni C inayotambuliwa na Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) na kuwataka wahitimu hao kufanyia kazi mafunzo waliyoyapata.

 

5 years ago

Michuzi

WATENGENEZAJI VITAKASA MIKONO JIJINI TANGA WATAKIWA KUZINGATIA MAHITAJI HALISI YA UTENGENEZAJI WA BIDHAA HIZO KUKABILIANA NA CORONA

Na Mashaka Mhando, Tanga .

WATENGENEZAJI wa vitakasa mikono Jijini Tanga, wametakiwa kuzingatia mahitaji halisi ya utengenezaji wa bidhaa hizo ili ziweze kukabiliana na virusi vya Covid 19.

Akitoa maelekezo hayo kwenye semina iliyoandaliwa na shirika la msaada wa kisheria mkoani hapa la (TAWOREC), Mfamasia wa Jiji Ali Hamza alisema ni lazima vitakasa mikono viwe na vilevi (alcohol) kuanzia wastani wa asilimia 70 ili viweze kuuwa virusi hivyo katika mikono.

"Tunawasihi watengenezaji wa Sanitizer...

 

10 years ago

Mwananchi

Makocha waeleza kinachokwamisha maendeleo ya michezo nchini

Makocha wengi nchini wanataka Serikali iingilie kati kuinususuru sekta ya michezo ambayo hivi sasa haifanyi vizuri.

 

11 years ago

Michuzi

makocha wa Timu ya Barcelona kutoa mafunzo ya makocha wa Tanzania

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi Juliana Yassoda (Katikati) akiongea na Wanahabari (Hawapo pichani) kuhusu makocha wa Timu ya Barcelona kutoka nchini Hispania ambao wako nchini kwa ajili ya mafunzo ya makocha wa Tanzania yatakayofanyika kwa muda wa siku mbili.Wengine picha toka kulia ni Balozi wa Spain nchini Mh. Luis Manuel Ceuesta Civis, Mkurugenzi wa Masoko wa TBL,Kushila Thomas,Kocha Isaac Oriol Guerrero...

 

10 years ago

Michuzi

VIONGOZI NCHINI WATAKIWA KUSHIRIKI MKUTANO MABADILIKO YA TABIA YA NCHI NCHINI ETHIOPIA

 Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii
VIONGOZI nchini wametakiwa kushiriki katika mkutano wa mabadiliko ya tabia ya nchi utakaofanyika Julai 13 na 16 Addis Ababa Ethiopia.


Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam,Mratibu wa Mtandao wa Mabadiliko ya Tabia ya Nchi (CAN),Sixsbaty Mwanga amesema mkutano huo ni muhimu kutokana hali iliyopo sasa katika mabadiliko ya tabia ya nchi kwa kuongezeka ukame ,njaa pamoja na mafuriko, hivyo viongozi wanaweza kushawishi mkutano katika kuongeza...

 

10 years ago

GPL

E-FM YAPANIA KUKUZA MCHEZO WA NDONDI NCHINI

Dennis Ssebo akipanga mikakati kati ya EFM Redio na Raisi wa WBF Bwana Howard Goldberg pamoja na Francios Botha.
Bondia Wang Xian Hua akiwa na mkalimani wake ndani ya studio za EFMN redio.…

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Wizara ya afya nchini Vietnam imetengeneza wimbo kuhusu usafi wa mikono

Wimbo unaosisitiza masuala ya usafi ni kampeni ya kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona.

 

10 years ago

Michuzi

Refarii wa mchezo wa masumbwi nchini Ally Bakari Champion afunga ndoa

Refarii wa mchezo wa masumbwi nchini Ally Bakari Champion  akiwa na mke wake Aisha Chilumba  baada ya kuowa hivi karibuni maeneo ya Vingunguti Dar es salaam
Ally Bakari Champion akiozeshwa
Refarii wa mchezo wa masumbwi nchni kushoto akiwa na mke wake Aisha Chilumba  baada ya kuowa hivi karibuni maeneo ya Vingunguti Dar es salaam

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani