Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makonda ajipalia makaa

SIKU moja baada ya Katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Paul Makonda kuongoza genge la wahuni kuvuruga mdahalo wa katiba...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Shibuda ajipalia makaa

KAULI ya Mbunge wa Maswa Mashariki, John Shibuda (CHADEMA), kwamba amekipa talaka chama hicho akikitaka kitafute wagombea wengine majimbo ya Maswa Mashariki na Magharibi, imeendelea kumponza. Safari hii, Mwenyekiti wa...

 

10 years ago

Habarileo

Askofu Gwajima ajipalia makaa

Josephat GwajimaHATUA ya mawakili wa Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, kutengeneza ubishi wa kisheria katika agizo la Polisi la kuwasilisha nyaraka za mali za Askofu huyo, imeelezwa kuwa ni ukaidi ambao hautamsaidia kisheria.

 

10 years ago

Mwananchi

Selasini ajipalia makaa sakata la wanawake Rombo

>Mbunge wa Rombo, Joseph Selasinim amejipalia makaa kwa kukanusha taarifa za wanaume wa jimbo hilo  kupoteza nguvu za kufanya tendo la ndoa kutokana na ulevi. Pia kauli ya kumtaka Waziri Mkuu, Mizengo Pinda atumie nafasi yake kuhalalisha biashara ya pombe haramu ya gongo kwa madai kuwa inawaingizia kipato watu wa hali ya chini imelaaniwa.

 

5 years ago

Michuzi

RC MAKONDA ATANGAZA DAWA KWA WAKANDARASI WANAOKIUKA TARATIBU ZA MIKATABA * RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo Na Leandra Gabriel, Michuzi TV MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya w

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari juu ya  kamati ya watu 13 kutoka Serikali na sekta binafsi ambao watapitia mikataba yote ya miradi mbalimbali iliyosainiwa mkoa wa Dar es salaam.(Picha na Emmanuel Massaka wa globu ya jamii)
* RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo
Na Leandra Gabriel, Michuzi TVMKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya watu 13 kutoka Serikali na sekta binafsi ambao...

 

10 years ago

Mwananchi

Makaa ya mawe kutumika kupikia

Gharama za maisha pamoja na uharibifu wa mazingira utapungua baada ya Mgodi wa Makaa ya Mawe wa Ngaka kubuni mpango wa kutumia makaa hayo kama nishati ya kupikia.

 

10 years ago

Mwananchi

RC: Makaa ya mawe fursa muhimu Njombe

Makaa ya mawe yaliyopo Mchuchuma mkoani hapayametajwa kama kivutio muhimu cha uwekezaji mara yatakapoanza kutumika kuzalisha umeme kwa shughuli mbalimbali za kiuchumi.

 

5 years ago

Michuzi

TANCOAL watekeleza ombi la waziri Biteko,wakabidhi tani 30 za makaa ya mawe


Na Amiri kilagalila,Njombe
Kampuni ya uchimbaji wa madini ya makaa ya mawe Tancoal imetekekeleza ombi la waziri wa madini Doto Biteko kwa kukabidhi tani 30 za makaa ya mawe,juu ya kumsaidia mzee Reuben Mtitu maarufu kwa jina la mzee Kisangani wa Kijiji cha Mkiu wilayani Ludewa Mkoani Njombe kutokana na changamoto ya upatikanaji wa makaa hayo kwa ajili ya kuyeyusha chuma ili kutengeneza bidhaa zake kama visu na nyundo.
Akizungumza wakati akikabidhi tani 30 za Lori la makaa yam awe,afisa...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI WA VIWANDA ATEMBELEA MACHIMBO YA CHUMA LIGANGA NA MAKAA YA MAWE MCHUCHUMA

 Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Abdallah Kiogoda (kushoto) akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Tanzania China International Mineral Resources Ltd, Erick Mwingira juu ya miradi hiyo ya makaa ya mawe, alipotembelea miradi ya Chuma cha Liganga na Makaa ya mawe ya Mchuchuma. Kulia ni  Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC), Mligi Mkucha.  Picha ya pamoja ya Mh. Waziri wa Viwanda na Biashara pamoja na watafiti na Viongozi wa serikali.

BOFYA HAPA KWA PICHA...

 

11 years ago

Michuzi

OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO YAKAGUA MRADI WA MAKAA YA MAWE NGAKA

Viongozi na maofisa kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango na wale wa NDC wakipata maelezo kuhusu mradi wa makaa ya mawe Ngaka kutoka kwa Mtaalam wa Kudhibiti Ubora (Quality Control Superintendent) Bw. Boscow R. Mabena.Timu kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango na NDC wakipata maelezo kutoka kwa Meneja wa Kikundi cha Wanawake cha Mbalawala, Bi. Joyce Haule juu ya matumizi ya makaa ya mawe majumbani. Makaa hayo hutumika majumbani kwa kutumia majiko maalum baada ya kubadilishwa kitaalam na kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani