Malinzi afunga rasmi mjadala
 Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amesema kama klabu zinaona kuwa wachezaji saba wa kigeni hawatoshi, zinaweza kusubiri na kuendelea na mjadala huo na mwakani jambo hilo litaangaliwa upya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi01 Oct
MALINZI AFUNGA KOZI YA WAAMUZI WA FIFA
![](http://tff.or.tz/images/refereecoz.png)
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Kikwete afunga mjadala wa gesi
9 years ago
Habarileo14 Aug
Membe afunga mjadala kugombea kwake urais
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amefunga mjadala kuhusu masuala ya kisiasa, na kubainisha kuwa timu yake aliyokuwa akicheza pamoja na kufanya vizuri katika kuwania nafasi ya Urais kupitia CCM, imeshindwa katika kinyang’anyiro hicho.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bBzRTpprnzI/VgBJfaADfNI/AAAAAAAH6rg/pAUuFdBrS7A/s72-c/arsfinal.png)
RAIS WA TFF JAMAL MALINZI LEO AFUNGA FAINALI ZA MICHUANO YA KOMBE LA AIRTEL RISING STARS
![](http://4.bp.blogspot.com/-bBzRTpprnzI/VgBJfaADfNI/AAAAAAAH6rg/pAUuFdBrS7A/s640/arsfinal.png)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-MxTtU2TR6YM/VgFVyO8V6MI/AAAAAAABIT4/ZByST_qwwsM/s72-c/MALINZI.jpg)
MALINZI AFUNGA KOZI YA MAKOCHA LESENI C’ATOA ANGALIZO KWA WAHITIMU KUYATUMIA MAFUNZO KWA VITENDO
![](http://4.bp.blogspot.com/-MxTtU2TR6YM/VgFVyO8V6MI/AAAAAAABIT4/ZByST_qwwsM/s640/MALINZI.jpg)
RAIS wa Shirikisho la soka nchini (TFF), Jamal Malinzi, amefunga kozi ya wiki mbili ya makocha lesseni C inayotambuliwa na Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) na kuwataka wahitimu hao kufanyia kazi mafunzo waliyoyapata.
Akizungumza kwenye hafla fupi ya kufunga mafunzo hayo, Malinzi amesema kuwa anasikitika kuona makocha wanapata mafunzo kama hayo lakini wanaenda kuweka vyeti vyao ‘makabatini’ na kuacha kufanyia kazi walichojifunza.
“Hiki mlichokipata kwenye mafunzo haya mnatakiwa...
10 years ago
CloudsFM23 Dec
ELTON JOHN AFUNGA NDOA RASMI, DAVID BECKHAM AHUDHULIA
GWIJI wa muziki wa Rock Uingereza, Sir Elton John amefunga ndoa na mpenzi wake David Furnish ikiwa ni miaka tisa tangu Desemba 21, 2005 walipoingia katika uhusiano huo wa watu wenye jinsia moja.
Walifunga ndoa mbele ya wanafamilia, marafiki na wageni wachache walioalikwa huko Windsor nchini England.
Waalikwa wengi wao walikuwa watu maarufu wakiwemo: Familia ya David na Victoria Beckham, David Walliams na mkewe Lara Stone, Liz Hurley na mwanaye Damian, waliowasili kwa usafiri wa gari katika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ESy03VwS5ZkVVSUoZYnJunKn-22J7e*k4lfh1-a5AQq2uiuPdcYhHvgO1xasidUtojPwcLvVEY42TBwQxOU*T0k5pXCcwR-W/unnamed12.jpg?width=650)
WAZIRI WA UJENZI AFUNGA RASMI MAADHIMISHO YA SIKU YA WAHANDISI TANZANIA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-u8RERewagbM/VAo4BQB7hgI/AAAAAAAGfZA/UFS2WwzlusU/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
WAZIRI WA UJENZI AFUNGA RASMI MAADHIMISHO YA SIKU YA WAHANDISI TANZANIA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-u8RERewagbM/VAo4BQB7hgI/AAAAAAAGfZA/UFS2WwzlusU/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Wvpy9MqoWpU/VAo4Bn8pFwI/AAAAAAAGfY4/pFi2cwaC6yY/s1600/unnamed%2B(14).jpg)
10 years ago
VijimamboKAIMU KATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE AFUNGA RASMI MAFUNZO YA SOFREMCO