Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Malinzi, wadau kumlipa Kim

>Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi jana alitangaza rasmi kuondolewa kwa kocha Kim Poulsen, lakini akashindwa kueleza sababu za kuachana na mwalimu huyo kutoka Denmark.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Malinzi amwengua Kim uteuzi Stars

Siku za kocha wa Taifa Stars, Kim Poulsen zimeanza kuhesabika baada ya jana Shirikisho Soka Tanzania (TFF), kutangaza mikakati ya kusaka vipaji vya wachezaji bila ya kuhusisha Mdenmark huyo katika zoezi hilo.

 

11 years ago

Michuzi

RAIS WA TFF JAMAL MALINZI AANDAA FUTARI KWA WADAU

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi ameandaa futari kesho (Julai 17 mwaka huu) kwa wadau mbalimbali wa mpira wa miguu.
Shughuli hiyo itafanyika Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume, Dar es Salaam ambapo waalikwa wataanza kuwasili saa 11.30 jioni.
Waalikwa katika futari hiyo wametoka katika makundi mbalimbali. Makundi hayo ni wadhamini, klabu za Ligi Kuu na Daraja la Kwanza za Dar es Salaam ambazo zitawakilishwa na watu wawili wawili.
Viongozi wa zamani wa TFF, Said El...

 

5 years ago

BBCSwahili

Kim Jong-un: Ni nani anayeweza kuiongoza Korea Kaskazini bila Kim?

Dada wa ajabu na mpelelezi mkuu ni washindani , huku tetesi zikishamiri juu ya afya ya Kim Jong-un.

 

10 years ago

Mtanzania

Simba kumlipa Kwizera

PIERRE KWIZERANA SAADA SALIM, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa klabu ya Simba umeamua kumlipa aliyekuwa mchezaji wake, Pierre Kwizera, Sh 8,880,000 (sawa na Dola 4800 za Marekani) kati ya Sh 17,760,000 inazodaiwa.
Kwizera alisajiliwa na Rayon Sport ya Rwanda baada ya Simba kuvunja mkataba wake huku nafasi yake ikichukuliwa na Mganda, Simon Sserunkuma.
Kiungo huyo ameliambia MTANZANIA kuwa amefanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hanspope na tayari amelipwa nusu ya fedha ambazo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Kim Yo-jong: Mwanamke mwenye uwezo mkubwa anayeonekana kuwa mrithi wa Kim Jong-un Korea Kaskazini

Uhusiano wa karibu na nduguye na majukumu yake makubwa katika ngazi za kisiasa yamemfanya kuangaziwa tena mwezi Aprili 2020 katika kipindi ambapo Kim Jong un alitoweka katika hafla za umma

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal kumlipa Wilshere £100,000

Arsenal itapuuzilia mbali hamu ya Manchester City ya kutaka kumsajili kiungo wake wa kati Jack Wilshere kwa kumpatia mkataba mwengine wa miaka mitano pamoja na kuongeza mshahara wake mara mbili ya anavyopata.

 

10 years ago

Vijimambo

SIMBA WATAKIWA KUMLIPA CHANONGO MIL 11

Klabu ya Simba SC inatakiwa kumlipa mchezaji Haruni Chanongo sh. 11,400,000,  kufikia Aprili 30, 2015 vinginevyo Sekretarieti ya TFF itaanza kukata mapato ya Simba ili kumlipa mchezaji huyo. Iwapo Simba itakuwa na vielelezo vingine katika kikao kinachofuata cha Kamati kitakachofanyika Mei 3, 2015 itafanywa hesabu na Simba kurejeshewa fedha itakayokuwa imezidi.
Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya TFF imeagiza kwa klabu ya Simba na klabu nyingine zote kuwa kwa wachezaji wa mkopo, maslahi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Kajala Atamani Kumlipa Wema Mil.13 Zake

Staa  mrembo  wa Bongo Movies, Kajala Masanja  kwa mara ya kwanza  ameibuka  na kutoa ya moyoni kuwa anatamani kulipa shilingi milioni 13 alizolipiwa na staa mwenzake  Wema Sepetu kama faini ili asiende jela miaka saba.

Akizungumza na gazeti la Amani, Kajala  alisema  kuwa huwa anaumia sana kila anapokumbuka kuwa alipewa kiasi hicho chapesa ingawa uwezo wa kulipa anao.

“Huwa  nateseka  sana kila ninapokumbuka kuwa nilitolewa 13 japokuwa naaamini alitoka kwa mmoja,kinachoniuma muhusika...

 

5 years ago

BBCSwahili

Chan kumlipa mgunduzi wa kinga ya corona wakati Idadi ya vifo ikifikia 1000

Wakati China ikiendelea kupambana ili kutokomeza ugonjwa wa corona mwigizaji maarufu duniani anaahidi kutoa fedha kwa watakao fanikisha kupatikana kwa kinga ya ugojwa huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani