MAMA: WANAJITONGOZESHA KWA DIAMOND
![](http://api.ning.com:80/files/hlBnt738bkzCVetFlKXuECA8A4apLO-UXib2YOlHBoxtOtz27vPKNrDaxhwlQGS6A*wINpnNhm7WjiWdzuyaxLVisTfxkKo3/penny.jpg)
Stori: shani ramadhani  MAMA mzazi wa nyota wa muziki wa kizazi kipya, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Sanura Kassim ‘Bi Sandra’ amesema baadhi ya wasichana wanajitongozesha kwa mwanaye kwa kuwa ni mtu maarufu. Mama Diamond amesema wasichana wamekuwa na tabia ya kutumia hata namba yake ya simu na kutuma picha za utupu kwake na kwa mwanaye. Mama mzazi wa msanii nyota wa muziki, Nasibu Abdul...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-9GRF6qSFToU/VB6-Q0Rz4QI/AAAAAAAAcA0/jRXKaIf9wm8/s72-c/meninah.jpg)
Wema Sepetu Atoswa ! Vikao Vya Harusi Ya Diamond Na Meninah Vyaanza Nyumbani Kwa Mama Diamond.
![](http://3.bp.blogspot.com/-9GRF6qSFToU/VB6-Q0Rz4QI/AAAAAAAAcA0/jRXKaIf9wm8/s640/meninah.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8Kb*1kVFSTvOpcy9nx*k53zRGxnem5qulA7P0YFfk6rLO8i7YLbrzUIrDOkhMkbyRdww6vmGC-gRbiCk5pNDtypcerruejM-/Zari.jpg)
ZARI ALALA KWA MAMA DIAMOND
Stori: Mwandishi Wetu/ Amani
IMEFICHUKA! Mrembo wa Uganda ambaye kwa sasa ndiye ‘usingizi’ wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarinah Hassan ‘Zari’ hivi karibuni alitua Bongo na kulala nyumbani kwa mama wa Diamond, Sanura Kassim ‘Sandra’, Sinza-Mori jijini Dar. Mrembo wa Uganda, Zarinah Hassan ‘Zari’. Chanzo makini kilicho karibu na familia ya Diamond...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t3tIV4vY4JpfqTh2CgKFAKxnhYfMDdCdWkjNNbPD*9L5KLWcv0NkG1ObohNXgqYdtIjkTiTr4BckCSyCx3BL3KxiAYDDu1Qe/tuzo2.jpg?width=650)
MAMA DIAMOND AMFUNIKA ZARI KWA MBIZI
Imelda mtema
MAMA’KE Nasibu Abdul ‘Diamond’, Sanura Kassim ‘Sandra’ ameonesha umahiri mkubwa wa kuogelea kiasi cha kumfunika mkwe wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kwenye bwawa la kuogelea lililopo nyumbani kwa Diamond, Tegeta-Mivumoni jijini Dar.  ....Soma zaidi===>http://goo.gl/KqQxXf
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/hnK17ei5t7A/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*WZNj24es22uUMJXEHKzQXf9IoUuyxg2slZsnC*bPHNE88Mf8Ho8xtp4GfMtzL-oZOkGvsKWqOchvZ1NN6XTp*n/slim.jpg?width=650)
SLIM:MASTAA WA KIKE WANAJITONGOZESHA
Na Gladness Mallya
Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Slim Omar amefunguka kuwa mastaa wengi wa kike Bongo Movies wanajitongozesha wenyewe. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Slim Omar. Akifunguka kwa sharti la kutowataja majina wahusika, alisema anayo listi ndefu ya mifano ya wasanii ambao wanapenda kujitongozesha hivyo ni vyema wakaacha maana siyo tabia nzuri.… ...
9 years ago
Bongo504 Sep
Picha: Mama Diamond na mama Zari walipokutana kwenye ‘state house’ ya Platnmuz
Nyuso za wazazi wa mastaa wawili wa Afrika, Diamond na Zari zilionekana zenye furaha mbele ya mjukuu wao Lattifah Nasib a.k.a Tiffah katika picha waliyopiga nyumbani kwa Diamond ambapo mwenyewe anapaita ‘state house’. Zari amepost picha ya mama yake mzazi akiwa amembeba Tiffah na pembeni akiwa na mama yake Diamond, kwa pamoja wanaonekana wakizungumza jambo […]
10 years ago
CloudsFM17 Feb
Baada ya kuugua kwa miezi kadhaa,mama yake Diamond aendelea vizuri
Mwanafamilia huyo alisema kwamba, Diamond na mama yake walirejea nchini...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KBI*TiKs6pJE3SW*8zV3ubrwyaTIwbeOR4svrIERsHgP9t7O8R0JS0qF79S*Jr8AjllnPojxjDMTjw9dZ*aDbNMPJz0jDlUp/DIAMON.jpg?width=650)
DIAMOND WIMBO WAKE WA KWANZA ALIUREKODI KWA FEDHA ZA KUMTAPELI PETE MAMA YAKE
Mkali wao katika Bongo Fleva, 'Diamond Platinumz' akiwa na Bi. mkubwa wake. WIKI iliyopita tuliishia pale Diamond alipokuwa hana kazi ya kufanya nyumbani hivyo alianza kutafuta vibarua mbalimbali vya kumuwezesha kupata riziki ya siku.Miongoni mwa kazi hizo ni kuuza mitumba, kuweka mafuta kwenye magari (vituo vya mafuta), kupiga picha, kupigisha simu na kazi za kwenye viwanda.Endelea sasa… ACHEZA KAMARI
Wakati mwingine...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania