Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAMBO YA UBUNGO DAR

Daraja la juu likiwa katika hatua za mwisho katika makutano ya Barabara ya Morogoro na Mandela, Ubungo Dar es Salaam. Itakapokamilika itapunguza kwa kiasi kikubwa msongamano wa magari na vyombo vingine vya moto. Daraja hilo lina ghorofa mbili.

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

mambo yazidi kunoga stendi ndogo ya mabasi Ubungo jijini Dar

Wafanyabiashara ndogondogo (MACHINGA), wakiendelea kufanya biashara zao kama walivyokutwa na mpiga picha wetu kwenye kituo cha daladala ubungo na pembezoni mwa barabara jijini ya Morogoro jijini Dar es Salaam, hivyo kusababisha kero kwa watumiaji wa barabara hiyo,eneo hilo lilipigwa marufuku kwa shughuli za aina yoyote na Mansipaa ya Kinondoni lakini jamaa kama wamekaidi amri ile halali kabisa.Picha na Philemon Solomon,Globu ya Jamii.

 

10 years ago

Michuzi

MDAHALO WA KUJADILI UMUHIMU WA KUZINGATIA MAMBO YA MSINGI KATIKA KATIBA INAYOPENDEKEZWA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA UTAKAOFANYIKA KWENYE HOTELI YA BLUE PEARL, UBUNGO PLAZA DAR ES SALAAM JUMAPILI TAREHE 2 NOVEMBA 2014 KUANZIA SAA 9.00 MCHANA MPAKA

      Taasisi ya Mwalimu Nyerere inapenda kutoa taarifa kwamba imeandaa mdahalo wa Pili wenye lengo la kujadili umuhimu  wa kuielewa kwa kina Katiba inayopendekezwa kama ilivyopitishwa na Bunge Maalum la Katiba. Mambo ya msingi  yaliyomo katika Katiba hiyo yataainishwa  na kujadiliwa na washiriki wa Mdahalo.  Taasisi ya Mwalimu Nyerere inapenda kusisitiza kuwa lengo la mdahalo si malumbano au makatazo:
 Lengo ni kutoa fursa kwa washiriki wa mdahalo na wananchi kwa ujumla kujielimisha kuhusu...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Ubungo, Kigamboni ni wilaya mpya Dar

RAIS Jakaya Kikwete, akitanguliwa na Waziri Mkuu wake, Mizengo Pinda, kwa nyakati tofauti bungeni wametaja kuanzishwa kwa mkoa mpya wa Songwe na wilaya nyingine mpya sita, huku Jiji la Dar es Salaam likipata wilaya mpya mbili.

Viongozi hao walitoa maelezo hayo jana mjini Dodoma, aliyeanza akiwa Waziri Mkuu Pinda ambaye alifanya hivyo kupitia hotuba yake ya kuahirisha Bunge la 10 huku Rais Kikwete akifanya hivyo kupitia hotuba yake ya kulivunja Bunge hilo kabla ya tangazo rasmi kutolewa...

 

11 years ago

Mwananchi

Jiji Dar lajitetea ushuru Ubungo

 Uongozi wa Halmashauri ya Dar es Salaam umetoa ufafanuazi juu ya hatua za kuendelea na ukusanyaji ushuru Kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo (UBT), ukisema ushuru huo ni kwa matumizi ya ulinzi, usafi na huduma mbalimbali za jamii.

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

Taswira ya Ubungo jijini Dar es Salaam leo.

 Taswira ya kituo cha Simu 2000 Ubungo jijini Dar es Salaam leo baada ya mgomo wa madereva wa mabasi ya abiria.Picha zote na Avila Kakingo,Globu ya Jamii. Barabara ya Sam Nujoma eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam leo. Licha ya mgomo wa madareva Miundombinu ya maji machafu hakuna katika kituo cha Mabasi Yaendayo mikoani cha Ubungo jijini Dar es Salaam.Hakuna kukanyaga maji ni kuruka mawe tuu. Mabasi yakiwa yameegeshwa katika Stendi kuu ya Mabasi yaendayo mikoani-Ubungo jijini Dar es Salaam...

 

10 years ago

Michuzi

MGOMO WA MADEREVA UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM.

 Katibu Mkuu wa Chama cha Madereva Tanzania (CHAMAMATA),Rashid Salehe akizungumza na madereva (hawapo pichani) katika Kituo kikuu cha Mabasi yaendayo Mikoani Ubungo jijini Dar es Salaam, kuhusiana na mgomo wa mabasi yaendayo mikoani.Makamu Mwenyekiti wa chama cha Madereva Tanzania (CHAMAMATA),akizungumza na Madereva wa mabasi yanayosafirisha abiri (hawapo hewani),waliogoma kusafirisha abiri kwa madai yao ya Mikataba ya kazi pamoja na Ajira za kudumu.  Madereva wakiwa wameshika mabango katika...

 

10 years ago

Michuzi

HALI ILIVYOKUWA UBUNGO JIJINI DAR LEO

 Baadhi ya Madereva na Makondakta wa Mabasi wanaondelea na Mgomo, wakiwa wamekaa juu ya Kontena zilizopo kwenye Kituo kikuu cha Mabadi, Ubungo jijini Dar es salaam kusubiria mustakabali wao, huku ulinzi Mkali wa Jeshi la Polisi ukiwa umetawala eneo hilo. Ghafla likazuka tukio la kurushwa mawe kutoka kwa watu wasiojulikana waliokuwa nje ya Stendi hiyo na kupeleke watu wote waliokuwa kwenye eneo hilo kukusanyika sehemu moja ili kujinusuru. Hali ilikuwa tete pale mawe yalipokuwa yakirushwa, na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani