Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Man Utd waondolewa Ligi ya Mabingwa Ulaya

Manchester United wameondolewa kutoka kwenye Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya baada ya kushindwa na klabu ya Wolfsburg kutoka Ujerumani Jumanne usiku.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Man City wapewa Barca 16 bora Ligi ya Mabingwa Ulaya

Nyon, Uswisi. Droo ya hatua ya mtoano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya imepangwa jana huku Manchester City wakikutana na Barcelona.

 

10 years ago

Mwananchi

Man City, Liverpool zaingia vitani Ligi ya Mabingwa Ulaya

Klabu za Ligi Kuu England zina kibarua kigumu cha kufuzu kucheza hatua ya mtoano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya leo na kesho.

 

5 years ago

BBCSwahili

Real Madrid v Man City: Kwanini Pep Guardiola huenda akafanya maaajabu katika Ligi ya Mabingwa Ulaya

Marufuku ya kucheza kwa miaka miwili ligi hiyo kuanzia msimu ujao - inastahili kuwapa motisha City.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ni kivumbi ligi ya mabingwa Ulaya

Michuano ya Klabu Bingwa barani Ulaya itaendelea jumanne.

 

9 years ago

GPL

MAKUNDI YA LIGI YA MABINGWA ULAYA

Kundi A
1. Paris St-Germain
2. Real Madrid
3. Shakhtar Donetsk
4. Malmö FF
Kundi B
1. PSV Eindhoven
2. Manchester United
3. CSKA Moscow
4. Wolfsburg Kundi C
1. Benfica
2. Atlético Madrid
3. Galatasaray
4. Astana Kundi D
1. Juventus
2. Manchester City
3. Sevilla
4. B.Mö’gladbach Kundi E
1. Barcelona
2. Bayer Leverkusen
3. Roma
4. BATE Borisov
Kundi F
1. Bayern Munich
...

 

9 years ago

Bongo5

Matokeo ya ligi ya mabingwa Ulaya, November 3

1446586392283_lc_galleryImage_Football_Manchester_Unite

Mechi za ligi ya mabingwa wa Ulaya ziliendelea tena usiku wa November 3. Kulikuwa na mechi katika viwanja vinane tofauti kwa michezo ya Kundi A, B, C na D kupigwa.

MATOKEO YA MECHI HIZO;

Shakhtar Donetsk 4-0 Malmo FF
B. Monchengladbach 1-1 Juventus
Benfica 2-1 Galatasaray
Real Madrid 1-0 Paris Saint-Germain
Sevilla 1-3 Manchester City
PSV 2-0 VfL Wolfsburg
Manchester United 1-0 CSKA Moscow
FC Astana 0-0 Atletico de Madrid

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,...

 

11 years ago

Mwananchi

Miamba minne vitani Ligi ya Mabingwa Ulaya

Nyon, Uswisi. Mechi za kwanza za hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya zitachezwa kesho na keshokutwa kabla ya kuchezwa mechi za marudiano Aprili 29 na 30 Aprili 2014.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani