Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mandela aacha mwangwi kwenye michezo

Mandela alikuwa mtu mwenye ushawishi mkubwa maishani mwake. Ni shujaa wangu.’Leon Bahati na Mashirika ya Kimataifa, Mwananchi

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Timu ya Tanzania kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola yakaribishwa rasmi leo katika kijiji maalum cha michezo hiyo Glasgow

Waogeleaji wa Tanzania Mariam Foum, Hilal Hemed na Ammaar Ghadiyali wakiwa tayari kwa michuano jijini Glasgow. Timu ya Tanzania kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola imekaribishwa rasmi leo katika kijiji maalum cha michezo hiyo Glasgow,  Uskochi.Timu ya Tanzania kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola imekaribishwa rasmi leo kayika kijiji maalum cha michezo hiyo Glasgow,  Uskochi.

 

9 years ago

Michuzi

JUST IN: KITUO CHA MICHEZO CHAENDELEA KUJIZATITI Aliyekuwa Kocha kwenye Ligi Kuu ya Uingereza aja Tanzania kuongoza kituo cha vijana cha michezo

Ndugu Ray Power, ambaye amewahi kuwa Kocha wa Chama Cha Soka na mkuu wa kitengo cha mpira wa miguu katika chuo kiitwacho Central College Nottingham; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Ufundi katika Kituo cha Vijana cha Michezo kilichopo Kidongo Chekundu jijini Dar es Salaam (pichani). Katika nafasi yake mpya, Ndugu Power atasimamia mafunzo na Uongozi wa kituo kipya ambacho kinategemewa kufunguliwa tarehe 19 ya Mwezi huu. Ndugu Power anachukua nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa Mkurugenzi wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kauli za maaskofu zina mwangwi uchaguzi mkuu ujao

RAIS wa Jamhuri ya Muungano, Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein juzi walipokea Katiba pendekezwa iliyopitishwa na Bunge Maalum kwenye sherehe kubwa zilizofanyika kwenye uwanja wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Yanayojiri kwenye misa ya wafu ya Mandela

Haya ni matokeo kama yanavyojiri nchini Afrika Kusini misa ya wafu ya Mandela ikiendelea

 

11 years ago

GPL

MWILI WA MANDELA WAPELEKWA KWENYE OFISI ZA SERIKALI

Wanajeshi  wameubeba mwili wa hayati Mandela kuelekea ofisi za serikali jijini Pretoria. Mwanamitindo wa Uingereza, Naomi Campbell mbele ya jeneza la mwili wa Mandela.…

 

11 years ago

GPL

PICHA YA MANDELA AKIWA KWENYE JENEZA YAWA DILI

Na Mwandishi Wetu
HATIMAYE historia imeandikwa, Mzee Nelson Mandela, rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini amezikwa jana katika shughuli kubwa iliyoshuhudiwa na mamilioni ya watu duniani kote kupitia runinga huku picha ya mwili wake ukiwa ndani ya jeneza ikiwa ndiyo dili kubwa. Mazishi ya Mzee Madiba aliyefariki dunia Desemba 5, 2013 yalifanyika katika kijiji alichokulia, Qunu, Mkoa wa Mthatha katika Jimbo la Eastern Cape...

 

11 years ago

BBCSwahili

Karibu Sochi kwenye michezo ya barafu

Mashindano yaliyo gharimu Kitita kikubwa zaidi katika historia ya Olimpiki yatafunguliwa Urusi leo huku medali 98 ziking'ang'aniwa katika siku kumi na sita.

 

11 years ago

Mwananchi

Tujipange vyema kwenye michezo 2014

>Mwaka 2013 unamalizika kesho na kuingia Mwaka Mpya 2014 unaoanza Jumatano ukitukumbusha majukumu katika maendeleo ya michezo nchini. 2013 unamalizika tukiwa hatuna chochote cha maana ambacho tunaweza kujivunia katika medani ya michezo kimataifa kwa hiyo mwaka mpya unaanza tukiwa na majukumu makubwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Tunauaga 2013 bila mafanikio kwenye michezo

>Zimebaki siku nne kabla ya kuuga mwaka 2013. Jumamosi hii ya leo inatukumbusha nini tulifanya mwaka huu kabla ya kuanza mwaka 2014.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani