Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MANDELA, GRACE WALIKUWA NA MAPENZI YA NJIWA

Makala: Sifael Paul na Mitandao
NI jabali wa Afrika. Baba wa Taifa la Afrika Kusini. Alikuwa kipenzi cha wengi, Nelson Rolihlahla Madiba Mandela ‘Mzee Madiba’ (95). Alifariki dunia Desemba 5, mwaka huu na kuzikwa jana kijijini kwake, Qunu huko Eastern Cape, Afrika Kusini. Huwezi kuacha kumzungumzia. Ana vitu vingi hasa juu ya maisha yake. Makala hii inalenga kuangalia maisha yake ya kifamilia hasa kipengele cha...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAPENZI YA CHUCHU HANS, RAY NI YA NJIWA

Stori: Imelda Mtema
MAMBO hadharani! Penzi ‘hoti’ la mastaa mahiri wa filamu za Kibongo, Chuchu Hans na Vincent Kigosi ‘Ray’ kwa sasa limekuwa kama la njiwa kwani mara nyingi kila sehemu wapo pamoja na hakuna kificho tena. Ray na Chuchu wakijiachia. Chanzo chetu makini kilieleza kuwa mastaa hao wamekuwa wakionekana pamoja mara nyingi na hivi sasa inadaiwa kuwa wanaishi pamoja huku wakiwa na mtoto wa...

 

11 years ago

GPL

NJIWA MWENYE HIRIZI ATIKISA MUHIMBILI

Na makongoro Oging’
USHIRIKINA! Hofu kubwa ilitanda katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jumatatu ya wiki iliyopita, baada ya Njiwa mweusi, mwenye miguu myekundu akiwa na hirizi iliyofungwa katika mojawapo ya mabawa yake, kutua katika miguu ya mgonjwa aliyekuwa amelazwa wodi namba tatu, jengo la Mwaisela. Njiwa aliyetua kwenye kitanda cha mgonjwa na baada ya muda mgonjwa akafariki. Taarifa zilizopatikana kutoka kwa...

 

10 years ago

GPL

NJIWA MWENYE HIRIZI AZUSHA TAFRANI BAA

Na Haruni Sanchawa
Timbwili la aina yake lilizuka mwishoni mwa wiki iliyopita baada njiwa aliyekuwa amefungwa hirizi na barua iliyokuwa imeandikwa kwa Lugha ya Kiarabu kuzunguka katika baa zipatazo 26 zilizopo Banana, wilayani Ilala, Dar es Salaam. Njiwa akitolewa hirizi. Kwa mujibu wa chanzo chetu kutoka eneo hilo, njiwa huyo alizunguka katika kila baa iliyopo eneo hilo na mwisho alitua jirani ya baa moja (jina...

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi walikuwa wapi vurugu za Bariadi?

Wiki iliyopita, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe alitoa tamko kuhusu hatua ambazo Serikali itazichukua dhidi ya taasisi za kidini na nyingine zilizosajiliwa na wizara yake ambazo zinaendesha shughuli zake kinyume na malengo yake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Urusi walikuwa Ukraine kimakosa

Maafisa wa Serikali ya Urusi wamesema kuwa wanajeshi wao walikuwa wamevuka mpaka wa Ukraine kimakosa

 

10 years ago

Bongo Movies

Huu Ndiyo Mtazamo wa Shamsa Juu ya ‘Mapenzi ni Kupetipeti au Mapenzi ni Pesa’

Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford amabaye hivi sasa anatoka na Staa wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego baada ya kuachana na mumeo, ameweka wazi kuwa kwenye mapenzi yeye anahitaji kupetipetiwa na pesa pia vinginevyo atakusaliti.

Akiwa anaipa promo nyimbo mpya ‘Mapenzi au Pesa’ ya Nay wa Mitego na Diamond Platinum itakayotoka hivi karibuni,  Shamsa amefunguka hayo na kuwataka mashabiki wake watoe mitazamo yao ikiwa

“Eti mapenzi ni kupetipeti au mapenzi ni pesa..?? Kwa upande wangu vyote...

 

10 years ago

GPL

MATAJIRI WALIKUWA MASKINI, UNACHOSHINDWA WEWE NI KIPI?

Bill Gate. Ndugu zangu, hakuna anayeweza kuupinga ukweli kwamba, maisha ya sasa ni magumu, ugumu ambao kama mtu atabweteka na kushindwa kutimiza wajibu wake ipasavyo upo uwezekano mkubwa wa kujikuta anaingia katika mfumo wa maisha yasiyokuwa na mbele wala nyuma na ugumu huo wa maisha kuwa mara mbili yake. Lakini licha ya ukweli huo, bado nafasi zipo wazi kwa watu kuingia katika ulimwengu wa mafanikio. Hii itatokea tu kama mtu...

 

9 years ago

Global Publishers

Walikuwa maskini kama wewe, sasa ni matajiri wa kutupwa

Oprah-Winfrey3OPRAH WINFREY.

Hakuna anayezaliwa na fedha, binadamu wote wamekuja duniani wakiwa mikono mitupu kabisa, tena bila nguo. Watu wanapokua, wengi wanakuwa hawana vitu hivyo na hata kula yao wakati mwingine ni ya shida mno.

Wanapofanikiwa, huwa hawakai kimya, wanatamani na wengine wafanikiwe ndiyo maana wengine wamekuwa wazi na kusema: “Kuzaliwa maskini si kosa lako, ila kufa maskini, hilo ni kosa lako.”

Hawa hapa chini ni matajiri wakubwa kwa sasa, ila kabla ya hapo, walikuwa maskini kama wewe...

 

10 years ago

GPL

KHADIJA KOPA MARAFIKI ZAKE WALIKUWA WAVULANA SHULENI

Khadija Kopa ameanza kuyasimulia maisha yake, amekwenda kuanza shule huku moyo wake ukiwa na hofu kwa kuona kwamba sasa ni wakati wa kuchapwa fimbo kama walivyokuwa wengine.
Anaishi na bibi yake, bi Biubwa lakini mara kwa mara mama yake amekuwa akifika hapo kwa ajili ya kumsalimia. Malkia wa mipasho tanzania , Khadija Kopa Maisha ya bibi yake yakaanza kumfanya kudeka sana kwani hakuwa akichapwa wala kufokewa kitu… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani