NJIWA MWENYE HIRIZI AZUSHA TAFRANI BAA
![](http://api.ning.com:80/files/tei6Zvghx23yLsW2Cd76Lpqb8EvVn7zzy0Hr8-FJlavnt0jIK3S4*oR4WPTCX8-CvC3ryl5wiPiVoZrEgdu91eZtAGcG1gEO/Njiwa.jpg)
Na Haruni Sanchawa Timbwili la aina yake lilizuka mwishoni mwa wiki iliyopita baada njiwa aliyekuwa amefungwa hirizi na barua iliyokuwa imeandikwa kwa Lugha ya Kiarabu kuzunguka katika baa zipatazo 26 zilizopo Banana, wilayani Ilala, Dar es Salaam. Njiwa akitolewa hirizi. Kwa mujibu wa chanzo chetu kutoka eneo hilo, njiwa huyo alizunguka katika kila baa iliyopo eneo hilo na mwisho alitua jirani ya baa moja (jina...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBInCn39K-LIm-kIVbe7aKrdiCLw-3PtH5Zp0ZhLlriKvFa8FhuRR00KjKL766UKF9mkh-CydVSZj37HXF7-w6JJO/njiwa.jpg)
NJIWA MWENYE HIRIZI ATIKISA MUHIMBILI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79xb1yI4El*IEdiCAtpevnsLNl1yPSsOZRST6-myh0wTVpPVQLkHszpfYM*pDeIdsuxekBGuTiPRZAOEvRcYknbAbDmGiV39/wpidlulu1.jpg)
AUNTY LULU AZUA TAFRANI BAA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5Y36hMbSNo*lW94JWgS3g-IUZLmIcsQxpdpLAep2p8dtKd4O36cfKeW2784Q-CdFymbAQqEpuD6XkdL6gWh8MJLx7m649oq4/chuchu.jpg?width=650)
MAPENZI YA CHUCHU HANS, RAY NI YA NJIWA
11 years ago
GPLMANDELA, GRACE WALIKUWA NA MAPENZI YA NJIWA
10 years ago
Vijimambo23 Jan
Mjue Dr. Slaa, msomi, mpole, mkarimu, mwenye busara na mwenye tabasamu la kudumu
![](http://accents.international.uiowa.edu/wp-content/uploads/2011/03/slaa-cropped.jpg)
Dr. Slaa si mtu mwenye maneno mengi, ni mtulivu na mkimya kiasi chake, mwenye tabasamu la kudumu, lakini akipanda jukwaani na kuanza kulishambulia huku na kule huwezi kuamini kinachotoka ubongoni mwake. Kimya kingi kina mshindo.
Wengi hawamfahamu Dr. Slaa vilivyo, wengi wanamwona sasa baada ya kuingia bungeni na sasa katika majukwaa ya siasa, ukweli ni mtu mbunifu, mpenda maendeleo na mwenye kujitoa kwa ajili ya wengine bila kujibakiza. Ufahamu wangu wa huyu Dr. Slaa ni wa...
10 years ago
Mwananchi27 Jul
Mtikisiko wa Hirizi
10 years ago
Mwananchi24 Jul
Mtikisiko wa Hirizi (2)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXtsp3NA2aaliFOSFDKEhGz3jMOPbcpVCb*hybnm8dMBFDQWpY1qou0b-QTQL9f4b*e4nKc8I8gOxco6XArhq0J7/hirizi.jpg?width=650)
HIRIZI ZATUMIKA MAKANISANI
9 years ago
Vijimambo30 Oct
ZARI AMVUA ‘HIRIZI’ TIFFAH
![](http://api.ning.com/files/ITtoOH4FEliZg1kMGVBqFxobUcCMhsCHe6i138Tav-gRIrkcCmSCTUMCJdIDdv2WCBsgIbCNFJd4hlXWuqXVdQzvHeSnSs3P/FrontIjumaa.jpg?width=650)
Na Hamida Hassan
DIAMOND upoo! Zarinah Hassan a.k.a Mama Tiffah amechukua uamuzi mgumu wa kumvua mwanaye Tiffah ile dawa aliyokuwa amefungwa mkononi ‘hirizi’, hali iliyowafanya watu wengi wabaki na vingi viulizo.
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/12132803_1635458573371970_728412592_n1.jpg?width=650)
Mtoto wa staa wa muziki wa Bongo fleva Diamond Platinumz, Tiffah.
Awali, Tiffah alivishwa hirizi hiyo siku chache baada ya kuzaliwa na Diamond akaizungumzia kuwa, ni utamaduni wa kawaida ambao kwa mila za Kibongo siyo tatizo.
Hata hivyo, wakati Diamond akitoa ufafanuzi huo baada ya watu...