Manji aingia vitani rasmi, asajili kiungo, straika
![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRmMJOXkRZA5iDMBlNzaeHDOoSJFuPfXMT3re3uF0PV1ptPpDJezk2SDBd4-7gSjOw8JX0fM1X4cLh4*-wtyvdOZ/2.jpg?width=650)
Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji. Na Wilbert Molandi IMEFAHAMIKA kuwa Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji ameandaa kitita cha kutosha kuhakikisha timu yao inampata mshambuliaji na kiungo wote wa kimataifa kwa ajili ya kukiimarisha kikosi chao. Manji hivi karibuni katika kikao cha marekebisho ya katiba kilichofanyika kwenye Ukumbi wa Police Oficer’s Mess, Masaki jijini Dar es Salaam alitangaza kuongeza wachezaji watano...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-WgwPQ2X7zUw/Vflsjz5WabI/AAAAAAAAJ0w/0POXGVqHuco/s72-c/FB_IMG_1442407043775.jpg)
LUCY KIWIA AINGIA RASMI KATIKA TIMU YA WANANDOA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t3tIV4vY4Jo7owSqWvAMzJbUngmu2ewcyIcdaQDGJAKL8B7R55tP32xz-IPrHrVWHnm9redkXHuREYI96gs5gPFwN44bQXGj/jknalowassa.jpg?width=650)
KAMPENI ZA URAIS… JK, LOWASSA SASA VITANI RASMI
10 years ago
Michuzi21 Feb
KUSHEHEREKEA MIAKA 38 YA KUZALIWA KWA CCM MGENI RASMI RIDHIWANI KIKWETE AINGIA NEW YORK
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpH-b8Zi9Jz9bx-Tp0yh4qrLZ1JkpLH7mdB0zRkvItBqVSS-AHGaG5NMeBgFQJt3xKbP82rFt2lRR9HlqiM81lBg/LOGA.gif?width=600)
Loga asajili wachezaji 25 Simba SC
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YWMj-J29SNyPmUSD7JGRldqJ1l17MgHrhgVCw-Y*4y3w95kaBffVgLoGk2Vg-VfeISkUGef3SxUU-MGPcnqjg9sI2aZH-Iur/LOGA.jpg?width=650)
Loga asajili watano wa timu za taifa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oTw*v75BEJGgEpiY9qzATJ03CUGxF7DK0JMhRoxEt**1C5pTxT8C*96UcYP6Zf5qdQlK9M1axc7w9F3qgPgexgUyWDE1gOqN/1p.jpg?width=650)
Straika Force
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVn5nVQLGVLM9rjKxygtjZEcG*2oOTTRq7L0SwuRShyXMzudHcx88n4Hs3g2FPtu3NLJBM5zcLDfJk77dcTkx1K9/JB.jpg)
JB AJITAPA KUWA STRAIKA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Tkccsb*3vm6cZNaczGRjPeG2SmMZ3ufoT6mEHz*w8PiAq4n6TiR4VhUwTVpgBvTNDcLBmTmEl3DwTPWz44AQPfIhf4TwMYvo/tp.jpg?width=650)
TP Mazembe yaipa Simba straika
11 years ago
Mtanzania27 Jul
Straika wa Chelsea atua Yanga
![Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Seleman Abdallah Mbaruku, akiwa katika mazoezi ya timu ya Yanga jana kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari ya Loyola, Dar es Salaam. Picha na John Dande](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Mbaruku.jpg)
Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Seleman Abdallah Mbaruku, akiwa katika mazoezi ya timu ya Yanga jana kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari ya Loyola, Dar es Salaam. Picha na John Dande
Na Abducado Emmanuel, Dar es Salaam
MSHAMBULIAJI wa zamani wa timu ya Chelsea ya England, Seleman Abdallah Mbaruku, ametua jana ndani ya kikosi cha Yanga kufanya majaribio ili kusajiliwa na timu hiyo.
Mbaruku amewahi kuichezea timu ya watoto ya Chelsea alipokuwa na umri wa miaka saba na nane, kabla ya kuhamia...