Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Manji aingia vitani rasmi, asajili kiungo, straika

Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji. Na Wilbert Molandi
IMEFAHAMIKA kuwa Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji ameandaa kitita cha kutosha kuhakikisha timu yao inampata mshambuliaji na kiungo wote wa kimataifa kwa ajili ya kukiimarisha kikosi chao. Manji hivi karibuni katika kikao cha marekebisho ya katiba kilichofanyika kwenye Ukumbi wa Police Oficer’s Mess, Masaki jijini Dar es Salaam alitangaza kuongeza wachezaji watano...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

LUCY KIWIA AINGIA RASMI KATIKA TIMU YA WANANDOA

Jumapili ya tarehe 13/9/2015 ilikuwa siku ya furaha kwa bi Lucy Kiwia na familia nzima baada ya yeye Lucy kufunga pingu za maisha na bwana Asanteeli. Harusi hiyo iliyojaa mashamsham na furaha tele ilifanyika huko Baltimore Maryland. Kipekee kabisa harusi hiyo ilifanyika ndani ya Spirit of Baltimore-Cruise Ship ndogo ambayo wakati wote wa shughuli hizo ilikuwa ikirandaranda ndani ya bahari ya Atlantic na baadae ilisafiri kutoka Baltimore hadi Washington DC na kurudi tena Baltimore kupitia mto...

 

9 years ago

GPL

KAMPENI ZA URAIS… JK, LOWASSA SASA VITANI RASMI

Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Edward Lowassa wakati akiwa CCM. Na Neophitius Kyaruzi WAKATI kampeni za uchaguzi mkuu zinatarajiwa kuanza kesho kwa mujibu wa ratiba ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Mgombea urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Ngoyai Lowassa na Rais Jakaya Kikwete wapo katika vita kali ya kisiasa. Vita hiyo ambayo kwa sasa ipo dhahiri imetokana uhusiano mbaya kati yao tangu...

 

10 years ago

Michuzi

KUSHEHEREKEA MIAKA 38 YA KUZALIWA KWA CCM MGENI RASMI RIDHIWANI KIKWETE AINGIA NEW YORK

TICKETS ON SALE NOW FOR $40 *** THEY WILL BE MORE AT THE DOOR $50SEATED 3 -COURSE DINNERFIRST CLASS SERVICERED CARPET PAPARAZZI DRESS READY FOR ACTIONHIGH LEVEL SECURITY @RICH RICH PALACE11019 ATLANTIC AVENUE RICHMOND HILL NY 11418**********************************************************PESA UNAYONUNULIA TICKET UNAPATA CHAKULA NA SOFT DRINKS KAZI KWAKO WAHI TICKET YAKO MAPEMA KWA $40 KWANI MLANGONI SIKU YA SHEREHE NI $ 50.MH. Ridhiwani Kikwete akiwa na wenyeji wake viongozi wa Tawi la CCM...

 

11 years ago

GPL

Loga asajili wachezaji 25 Simba SC

Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic. Na Khadija Mngwai
KOCHA Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, ameutaka uongozi wa Wekundu hao wa Msimbazi kusajili wachezaji 25 tu msimu ujao wa ligi kuu ambapo amependekeza kuwa na makipa watatu.
Loga amekabidhi ripoti yake hivi karibuni kabla ya kwenda nchini kwao Croatia kwenye mapumziko huku akisubiri majibu iwapo ataitwa kuendelea na timu hiyo au la ambapo mkataba wake unaisha Juni,...

 

11 years ago

GPL

Loga asajili watano wa timu za taifa

Kocha Zdravko Logarusic. Na Martha Mboma
KOCHA Zdravko Logarusic amesema anataka Simba kusajili wachezaji watano wa kimataifa ambao watakuwa wanacheza kwenye timu za taifa na si vinginevyo. Akizungumza kutokea katika mji ulio kilomita 400 kutoka Jiji la Zagreb, Croatia, Loga aliliambia Championi Ijumaa kuwa, wachezaji watano wa kulipwa wa Simba, kila mmoja anapaswa kuwa katika kikosi cha timu yake ya taifa. “Lengo la...

 

10 years ago

GPL

Straika Force

Waandishi Wetu,
Dar es Salaam UNAWEZA kusema ni ‘straika force’ yaani nguvu ya mashambulizi kwa tafsiri inayoshabihiana na mazingira ya soka la Bongo, kwani Simba na Yanga zote zimeonekana kujiimarisha katika safu za ushambuliaji. Amissi Tambwe na Simon Msuva wakishangilia kwa pamoja. Msimu uliopita, Yanga ilitwaa ubingwa huku ikionekana kuwa na safu nzuri ya ushambuliaji kwani ilifunga mabao 52 katika Ligi Kuu...

 

11 years ago

GPL

JB AJITAPA KUWA STRAIKA

Stori: Maria Halimoja TAMBO! Bonge la Bwana, Jacob Steven ‘JB’ amejitapa kuwa licha ya mwili wake kutoonekana wa mazoezi lakini yeye ni bonge la straika. Bonge la Bwana, Jacob Steven ‘JB’. Akistorisha na paparazi wetu, JB ambaye anatamba na filamu ya Shikamoo Mzee, alisema mpira alianza kucheza kitambo tangu alipokuwa akiichezea timu ya JKT Mgambo na Mutukula ya Mwananyamala Dar hadi sasa kwenye Klabu...

 

11 years ago

GPL

TP Mazembe yaipa Simba straika

Mshambuliaji nyota wa timu ya taifa ya Botswana, Jerome Ramatlhakwane. Na Mwandishi Wetu
SIMBA iko katika hatua za mwisho kumtwaa mshambuliaji nyota wa timu ya taifa ya Botswana, Jerome Ramatlhakwane ambaye ni mali ya TP Mazembe ya DR Congo. TP Mazembe imekubali kumtoa Ramatlhakwane, maarufu kama Rama kwa Simba kwa mkopo katika kipindi cha msimu mmoja… ...

 

11 years ago

Mtanzania

Straika wa Chelsea atua Yanga

Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Seleman Abdallah Mbaruku, akiwa katika mazoezi ya timu ya Yanga jana kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari ya Loyola, Dar es Salaam. Picha na John Dande

Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Seleman Abdallah Mbaruku, akiwa katika mazoezi ya timu ya Yanga jana kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari ya Loyola, Dar es Salaam. Picha na John Dande

Na Abducado Emmanuel, Dar es Salaam

MSHAMBULIAJI wa zamani wa timu ya Chelsea ya England, Seleman Abdallah Mbaruku, ametua jana ndani ya kikosi cha Yanga kufanya majaribio ili kusajiliwa na timu hiyo.

Mbaruku amewahi kuichezea timu ya watoto ya Chelsea alipokuwa na umri wa miaka saba na nane, kabla ya kuhamia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani