Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mapato yawapa hofu wajumbe

Wajumbe wa Baraza la Halmashauri ya Mji wa Handeni wameitaka halmashauri hiyo na wilaya kuangalia upya mikataba ya makusanyo ya fedha kwenye minada yao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge lawatia hofu wajumbe

BAADHI ya wajumbe wa Bunge la Katiba, wameonyesha wasiwasi wao namna mijadala itakavyoendeshwa na upatikanaji wa Katiba Mpya.  Akizungumza na Tanzania Daima, Job Ndugai, alisema idadi ya wajumbe 629 ni...

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge kusuasua kwawatia hofu wajumbe

>Wajumbe wengi wa Bunge Maalumu la Katiba, wameonyesha wasiwasi wao kwa bunge hilo kumaliza shughuli zake ndani ya siku 70 kutokana na namna lilivyoanza kwa kusuasua.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wajumbe wapata hofu kamati za bunge

BAADHI ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wameanza kuwa na hofu kwa madai kuwa kamati zilizoundwa na Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta,  zinalenga kutoa nafasi kwa wenyekiti wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Serikali za Mitaa zaongeza mapato kupitia mfumo wa ukusanyaji Mapato kwa njia ya Kielektroniki

01

Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI Bi. Rebecca Kwandu akifurahia jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani)leo jijini Dar es Salaam wakati akiwaeleza mafanikio ya mfumo wa ukusanyaji mapato kwa njia ya kielektroniki katika mamlaka za Serikali za Mitaa (LGRCIS). Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya TEHAMA wa ofisi hiyo Bw. Mtani Yangwe na kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa.

02

 Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wajumbe Kundi la 201 watoa tamko dhidi ya wanaolichafua Bunge Maalum la Katiba na Wajumbe wa kundi hilo

PIX 1

Askofu Amos Muhagachi akitoa tamko juu ya tuhuma mbalimbali dhidi ya kundi la 201 la wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba jana 03 Septemba, 2014 katika Ukumbi wa Spika, Mjini Dodoma.

Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.

WAWAKILISHI wa Taasisi za dini wa Bunge Maalum la Katiba toka wajumbe 201 wametoa tamko lao dhidi ya tuhuma mbalimbali zinazoendelea katika kulichafua Bunge hilo ikiwemo baadhi ya wajumbe wa kundi hilo wakituhumiwa kudaiwa kupewa rushwa.

Tamko hilo limetolewa jana 03 Septemba,...

 

11 years ago

GPL

GLOBAL YAWAPA SHAVU CHIPUKIZI

Mchekeshaji Shafii Omari 'Dk Mfuyuzi' (kushoto) akiwa na  Oscar Petro 'Oscar Nyerere' (kulia) katika mahojiano na Global TV Online. Wachekeshaji, Oscar Nyerere na Dk Mfuyuzi, wakiwa na Mhariri Msaidizi wa Gazeti la Risasi Jumatano, Joseph Shaluwa (mwenye shati jekundu).…

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania yawapa uraia wakimbizi

Wakimbizi wa Burundi walioishi Tanzania kwa miongo kadha wamepewa uraia wa nchi hiyo.

 

11 years ago

Habarileo

TMA yawapa somo vijana

VIJANA wametakiwa kubadilika na kuchukua hatua za kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa kwa kuhakikisha wanashiriki kuokoa dunia kutoka kwenye majanga yaletwayo na mabadiliko hayo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Fawopa yawapa somo wanafunzi

MWENYEKITI wa Shirika lisilo la kiserikali la Faidika Wote Pamoja (Fawopa-Tanzania) la mkoani Mtwara, Saidi Nassoro, amewataka wanafunzi kusoma kwa bidii, ili kuweza kufikia malengo yao waliojiwekea. Nassoro alitoa kauli...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani