Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maradona amtuhumu mkewe kumuibia fedha

Nguli wa soka Duniani ,Diego Maradona amemtuhumu mke wake wa zamani Claudia Villafañe kwamba kumuibia kiasi cha fedha zipatazo dola milioni tisa, katika akaunti yake ya benki.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Polisi wa usalama barabarani aachwa mdomo wazi baada ya mwizi kumuibia fedha za rushwa Kenya

Kwa mujibu wa habari zilizochapishwa kwenye mtandao wa gazeti la Nation, mwizi huyo alizuka gahfla kutoka msituni, akanyakua kifurushi kilichokuwa na pesa kando mwa barabara na kisha kuchanja mbuga kwa kasi!

 

11 years ago

Habarileo

Ajinyonga baada ya kudaiwa fedha ya matumizi na mkewe

Kamanda wa Poliosi Mkoa wa Rukwa, Jacob MwaruandaWATU wawili wamekufa katika matukio tofauti, akiwemo mkazi wa kijiji cha Kasitu wilayani Kalambo mkoa wa Rukwa, Nestory Kamchape (48) amejiua kwa kujinyonga baada ya kudaiwa fedha za matumizi na mkewe.

 

11 years ago

TheCitizen

Higuain, the Valdano to Messi’s Maradona?

With a single swish of the right boot in his side’s World Cup quarter-final against Belgium, Gonzalo Higuain finally showed there may be more to Argentina than Lionel Messi after all.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Maradona awajia juu Fifa

>Diego Maradona ameibwatukia Fifa (Shirikisho la Soka la Kimataifa Duniani), baada ya wachezaji saba wa Costa Rica kutakiwa kupimwa damu kama wanatumia dawa za kulevya kutokana na ushindi wao wa kushtukiza dhidi ya Italia.

 

10 years ago

Bongo5

Rapper amuua mkewe na kujiua, mkewe alimsaliti na Trey Songz, Mayweather ashuhudia tukio zima la mauaji!

Rapper wa Marekani, Earl Hayes amemuua mke wake Stephanie Moseley aliyekuwa staa kwenye kipindi cha “Hit the Floor” cha VH1 kwa risasi na yeye kujiua kutokana na wivu wa mapenzi. Stephanie Moseley Hayes alikuwa ameumizwa na uhusiano wa kimapenzi aliokuwa nao mke wake na Trey Songz. Stephanie Moseley aliuawa nyumbani kwao na mume wake huyo […]

 

9 years ago

Bongo5

Audio: Rich Mavoko na mama mdogo wa girlfriend wake wazusha ugomvi mzito, amtuhumu kumtafutia wanaume, wafanyiana fujo bar

Rich Mavoko amejikuta akiingia kwenye ugomvi mzito na mwanamke anayeaminika kuwa ni mama yake mdogo na girlfriend wake baada ya kumtuhumu kuwa amekuwa akimtafutia wanaume. Tukio hilo linadaiwa kutokea Jumanne hii huko Tabata Bima jijini Dar es Salaam ambapo mwandishi wa blog ya Tizneez alifanikiwa kurekodi sauti ya tukio zima. Mavoko alienda kwenye bar moja […]

 

5 years ago

Bongo5

Mama aishutumu hospitali ya Temeke kumuibia mtoto

Utata umeibuka baada ya mkazi wa Mbande jijini Dar es Salaam, kuishutumu Hospitali ya Wilaya ya Temeke kumuimbia mtoto mmoja, baada ya kujifungua pacha.

Wakazi wa Kata ya Chamazi mtaa wa Pande, Asma Juma na Mumewe, Amir Pazi wakimfurahia mmoja wa mtoto wao wanayedai alizaliwa mapacha katika Hospitali ya Rufaa ya Temeke Dar es Salaam, mwezi uliyopita na mmoja kupotea katika mazingira yasiyofahamika.

Mwanamke huyo, Asma Juma alisema kabla ya kwenda kupewa rufaa ya kujifungua katika hospitali...

 

11 years ago

GPL

WEMA ANASA USHAHIDI KAJALA KUMUIBIA BWANA

Stori: IMELDA MTEMA
Unaweza ukaficha siri na ukaamini hakuna atakayejua bila kukumbuka kuwa hakuna siri ya watu wawili! Hatimaye Wema Isaac Sepetu amenasa ushahidi wa aliyekuwa rafikiye kipenzi, Kajala Masanja wa kumwibia aliyekuwa bwana’ke, Clement au CK, yule kigogo wa ikulu. Wema Sepetu. MIL. 13 KISINGIZIO TU
Habari za mjini kwa wiki nzima ni kusambaa kwa ujumbe mfupi (SMS) za kimapenzi za Kajala na CK ambazo sasa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani