Maradona amtuhumu mkewe kumuibia fedha
Nguli wa soka Duniani ,Diego Maradona amemtuhumu mke wake wa zamani Claudia Villafañe kwamba kumuibia kiasi cha fedha zipatazo dola milioni tisa, katika akaunti yake ya benki.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili20 Feb
Polisi wa usalama barabarani aachwa mdomo wazi baada ya mwizi kumuibia fedha za rushwa Kenya
11 years ago
Habarileo31 May
Ajinyonga baada ya kudaiwa fedha ya matumizi na mkewe
WATU wawili wamekufa katika matukio tofauti, akiwemo mkazi wa kijiji cha Kasitu wilayani Kalambo mkoa wa Rukwa, Nestory Kamchape (48) amejiua kwa kujinyonga baada ya kudaiwa fedha za matumizi na mkewe.
11 years ago
TheCitizen08 Jul
Higuain, the Valdano to Messi’s Maradona?
11 years ago
Mwananchi23 Jun
BRAZIL 2014: Maradona awajia juu Fifa
10 years ago
Bongo509 Dec
Rapper amuua mkewe na kujiua, mkewe alimsaliti na Trey Songz, Mayweather ashuhudia tukio zima la mauaji!
9 years ago
Bongo519 Aug
Audio: Rich Mavoko na mama mdogo wa girlfriend wake wazusha ugomvi mzito, amtuhumu kumtafutia wanaume, wafanyiana fujo bar
5 years ago
Bongo514 Feb
Mama aishutumu hospitali ya Temeke kumuibia mtoto
Utata umeibuka baada ya mkazi wa Mbande jijini Dar es Salaam, kuishutumu Hospitali ya Wilaya ya Temeke kumuimbia mtoto mmoja, baada ya kujifungua pacha.
Wakazi wa Kata ya Chamazi mtaa wa Pande, Asma Juma na Mumewe, Amir Pazi wakimfurahia mmoja wa mtoto wao wanayedai alizaliwa mapacha katika Hospitali ya Rufaa ya Temeke Dar es Salaam, mwezi uliyopita na mmoja kupotea katika mazingira yasiyofahamika.
Mwanamke huyo, Asma Juma alisema kabla ya kwenda kupewa rufaa ya kujifungua katika hospitali...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ujcza9N5GbI6pYfludNAM6mjtreK8opqgMj9AcT80n8klOYpsheqZ3jLEQjn1hfSho6rqRmMDd7IBB*YtuCIHBBmSsEc*cyV/wema1.jpg?width=650)
WEMA ANASA USHAHIDI KAJALA KUMUIBIA BWANA