Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAREKANI WADAIWA KUWATUMIA KUVUMBUA TEKNOLOJIA MPYA - 3

Nakumbusha kuwa katika uumbaji Mungu, aliumba vitu vinavyoonekana na visivyoonekana. Wiki kadhaa niliona ni vyema tukajifunza vitu nje ya boksi. Ni juu ya uwepo wa viumbe wa ajabu waishio angani waitwao Aliens. Kwa muda mrefu viumbe hawa wamekuwa wakihusishwa na upotevu wa vitu na watu duniani. Wiki iliyopita tuliishia pale tulipokuwa tunaangalia ukweli juu ya madai ya kuwepo kwa uhusiano kati ya wanasayansi wa Kimarekani na hawa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

UZINDUZI WA UTARATIBU MPYA WA KUSAJILI NA KUHAKIKI NAMBA ZA SIMU ZA MKONONI KWA TEKNOLOJIA MPYA YA KYC KUPITIA SMARTPHONE LEO JIJINI DAR.

 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania Profesa John Nkoma akifungua mkutano na waandishi wa Habari na kuzungumzia umuhimu wa kusajili namba za simu za Mkononi na Mfumo mpya wa kusajili namba na kuhakiki kutumia Teknolojia mpya ya Kielekroniki. Mwenyekiti wa umoja wa makampuni ya mawasiliano Tanzania ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Bwana Rene Meeza akitamka Rasmi Uzinduzi wa usajili mpya wa simu za mikononi kwa kutumia Teknolojia mpya ya kutumia smart phone...

 

10 years ago

Vijimambo

TUME YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA YATEMBELEWA NA MWANADIASPORA KUTOKA NCHINI MAREKANI

Mwanadiaspora Walter akiwa katika picha ya pamoja na mkurugenzi mkuu wa Tume ya Sayansi na Tekinolojia - COSTECH (http://www.costech.or.tz) Dr. Hassan Mshinda. Mazungumzo ambayo yalilenga shughuli zinazofanywa na taasisi hiyo kwenye mambo ya tekinolojia na jinsi gani wana-diaspora wanavyoweza kuchangia katika kuleta maaendeleo ya tekinolojia nchini kwao.  Mwanadiaspora aliwaambia kwa jibu la haraka anachoweza kufanya kuwatafutia vitabu kutoka kwenye vyazo vyake mbali mbali kama universities,...

 

11 years ago

Mwananchi

Wachina waleta teknolojia mpya

Kampuni ya Tanzania Gypsum Limited ya jijini Dar es Salaam, imeanza kutengeneza gypsum za aina yake zisizoshika maji.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Serikali isaidie teknolojia mpya’

Arusha. Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali, wametakiwa kuziunga mkono teknolojia mpya zinazoibuliwa za nishati mbadala za umeme wa jua ili ziweze kuwafikia wananchi walio wengi hususan wa vijijini.

 

10 years ago

StarTV

Wahalifu wadaiwa kubuni mbinu mpya kila kukicha.

Na Zacharia Mtigandi,

Manyara.

 

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania Kanda ya Kaskazini imesema uhalifu unaosababishwa na mitandao unazidi kuongezeka kutokana na mbinu mbalimbali mpya zinazoibuliwa na wahalifu wanaotumia mitandao hiyo.

 

Uhalifu wa kimitandao unaoongezeka kwa kasi ni wa kuiba fedha na kusambaza picha chafu za utupu.

 

Utafiti kutoka TCRA Unaonyesha kuwa Upotevu wa fedha kwa njia ya mitandao ni kwa asilimia 16, kutuma ujumbe yaani sms sisizohitajika ni kwa asilimia 21 na watoa...

 

5 years ago

Michuzi

TAASISI ZATAKIWA KUBUNI TEKNOLOJIA MPYA

Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe akimsikiliza Mkuu wa Gereza la Kwitanga, SSP Dominic Christian aliyekuwa anatoa maelezo juu ya uzalishaji wa mbegu za Chikichi katika gereza hilo.Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe akizungumza jambo na Mkurugenzi wa kituo cha utafiti wa zao la chikichi  Kihinga Dkt.  Filson Kagimbo.Katibu Mkuu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe akiwa katika picha ya pamoja...

 

10 years ago

Habarileo

Wakulima 2,379 wanufaika na teknolojia mpya

WAKULIMA 2,379 kutoka wilaya tano hapa nchini wamenufaika na elimu ya teknolojia mpya ya matumizi ya mbegu mpya za mahindi na mbaazi pamoja na kulima kwa kutumia kilimo mseto na kilimo hifadhi.

 

10 years ago

Habarileo

Teknolojia mpya ujenzi wa ghorofa yaja

WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA) una mpango wa kutumia teknolojia mpya ya kujenga nyumba ya ghorofa kwa siku moja lengo likiwa ni kuisaidia Serikali katika kupunguza uhitaji wa nyumba pamoja na kupunguza gharama za ujenzi.

 

10 years ago

Habarileo

Teknolojia mpya 4G LTE yaingia Jijini

Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame MbarawaWAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa amesema Serikali inashirikiana na sekta binafsi, ikiwa ni pamoja na kampuni za simu za mkononi kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani