Mashabiki watakiwa kuheshimu waamuzi Unguja
VIONGOZI wa klabu za soka wilaya ya Magharibi Unguja wametakiwa kuwadhibiti wachezaji wao na mashabiki, ili kuacha kuwakebehi waamuzi wanapokuwa uwanjani.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Madereva watakiwa kuheshimu sheria
MADEREVA wametakiwa kuheshimu sheria na kanuni za usalama barabarani hususani katika suala la matumizi ya alama zinazoakisi mwanga pindi magari yao yanapoharibika au kupatwa na dharura. Akizungumza jijini Dar es...
11 years ago
Habarileo31 Aug
Wahitimu uuguzi watakiwa kuheshimu viapo vyao
WAHITIMU wa mafunzo ya ukunga na uuguzi nchini wametakiwa kuepukana na vitendo vya kuwanyanyasa wagonjwa vinavyolalamikiwa kufanywa na baadhi ya watumishi hao.
11 years ago
MichuziWamiliki wa Vyombo vya habari watakiwa kuheshimu taaluma ya habari
10 years ago
BBCSwahili22 Jan
Ebola:Mashabiki watakiwa kuwa na subra
10 years ago
StarTV04 Nov
Wananchi waombwa kuheshimu sheria
Watanzania wameombwa kuitunza amani na utulivu vilivyopo nchini ili kuifanya Tanzania kuendelea kuwa kisiwa cha amani.
Maombi hayo yamekuja mara baada ya kuibuka taarifa za kuwepo kikundi cha watu wanaotishia kufanya maandamano bila ya kibali kwa lengo la kupinga kuapishwa kwa Rais mteule wa Tanzania, Dk John Pombe Magufuli.
Kadhi Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abdallah Bin Yunusi Ally Mnyasi amesema ni muhimu wananchi wakaheshimu vyombo vya dola na mamlaka iliyowekwa kisheria ili kuondoa uvunjifu...
10 years ago
Habarileo11 Sep
Polisi wataka vyama kuheshimu maadili
KAMISHNA wa Jeshi la Polisi Zanzibar, Omar Hamdani amewataka viongozi wa vyama vya siasa, kuheshimu maadili na kuzingatia sheria za uchaguzi ili kulinda amani na utulivu.
10 years ago
Habarileo26 Oct
Shein, Seif waahidi kuheshimu matokeo
MAMIA ya wananchi wa Zanzibar wamejitokeza kwa wingi kupigakura katika uchaguzi mkuu huku wagombea wa nafasi ya urais wa Zanzibar kupitia vyama vinavyopewa nafasi kubwa ya kushinda Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Wananchi(CUF) wakiahidi kuheshimu matokeo ya uchaguzi.
10 years ago
Habarileo25 Jun
Membe awataka wenzake kuheshimu matokeo
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amewataka wenzake wanaowania kuteuliwa na CCM kugombea urais wa Tanzania kuwa tayari kuyaheshimu matokeo yatakayoamuliwa na Kamati Kuu, Halmashauri Kuu ya Taifa na Mkutano Mkuu wa CCM katika mchakato wa kumpata mgombea bora wa chama hicho baadaye mwezi ujao.
9 years ago
Michuzi
TFF YAVITAKA VILABU KUHESHIMU TARATIBU

TFF inachukua fursa hii kuwakumbusha viongozi wote wa vilabu kuhusu kalenda ya mwaka ya usajili ambayo ina vipindi viwili,
(i) Dirisha Kubwa la Usajili (Juni 15 – Agosti 20)
(ii) Dirisha Dogo la Usajili (Novemba 15 –...