Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashine ya kuvunia nafaka tofauti (COMBINE HARVESTER) inauzwa

Mashine hiinIpo imara sana na inafaa sana kwa mazingira ya hapa kwetu Tanzania na inaweza kuishi muda mrefu na ni rahisi  sana kuifanyia matengenezo pindi inapo haribika... Tumeileta kutoka Denmark na haijatumika hapa Tanzania bei ni rahisi  na ya faida kwani ukivuna msimu moja tu kwa kiasi cha ekari 350 utakua umerejesha hiyo hela,,. Kama ni mkulima ikikupita hii utakuja kuikumbuka kwani ni moja ya zana chache hapa nyumbani.. Mashine hii  ipo MBWENI DaresalaamBEI NI MIL..34...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Mashine ya kuprint picha inauzwa


Ni Used Noritsu 3501. Ina uwezo wa kuprint size zifuatazo: 
4×6,5×7, 6×8, 8×10 and 8×12
Kwa mawasiliano piga no 0684472115 

 

10 years ago

Mwananchi

Wakulima watakiwa kutumia zana za kuvunia

Wakulima wa mpunga, ngano, chai na mazao mengine wametakiwa kutumia zana za kisasa wakati wa uvunaji badala ya mikono, ili kulinda ubora wa mazao na kuepuka kuyaharibu.

 

10 years ago

Dewji Blog

AUDIO: Jaji Lubuva akanusha vikali taarifa ya gazeti ‘Mkandarasi wa mashine za BVR amegoma kuleta mashine nchini’

jaji-lubuva

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damiani Lubuva akitoa kanusho kuhusiana na Mkandarasi wa BVR kugoma kuleta vifaa, achachamaa kutokana na habari iliyoandikwa na gazeti la Tanzania Daima.

 

5 years ago

StarTV

Bei ya nafaka yapanda Mbeya.

BEI ya mazao aina ya nafaka katika baadhi ya masoko jijini Mbeya imepanda ikilinganishwa na bei za mazao hayo katika kipindi cha miezi miwili iliyopita. Nafaka zilizopanda bei ni pamoja na zile zinazo Ltumiwa na wananchi walio wengi katika maisha ya kila siku yakiwemo Maharagwe, Mahindi na Mchele ambazo kwa mujibu wa wafanyabiashara, bidhaa hizo …

 

11 years ago

Habarileo

'Tanzania ina nafaka za kutosha'

TANZANIA ina hifadhi ya kutosha ya chakula cha mazao ya nafaka, kinachofikia tani 244,830. Chakula hicho kilichohifadhiwa katika Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula nchini (NFRA).

 

5 years ago

SB Nation

Tristan Wirfs, Mekhi Becton broke offensive lineman NFL Combine records

Tristan Wirfs, Mekhi Becton broke offensive lineman NFL Combine records  SB NationTristan Wirfs Breaks NFL Combine Offensive Line Records in Vertical, Broad Jumps  Bleacher ReportEdwardsville High School alum A.J. Epenesa talks ahead of 2020 NFL Combine  KSDK NewsNFL Draft: Iowa's Tristan Wirfs motivated to put on a show at the Combine  DesMoinesRegister.comBroncos have met with some top offensive linemen at Combine  Predominantly OrangeView Full coverage on Google...

 

11 years ago

Habarileo

NFRA yaongeza uwezo wa kuhifadhi nafaka

WAKALA wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) wameongeza uwezo wa kuhifadhi nafaka kutoka tani 241,000 za sasa hadi tani 400,000 mwaka 2016.

 

10 years ago

Habarileo

Mradi kuhifadhi nafaka kisasa wazinduliwa

MRADI wa Sh milioni 900 utakaowezesha wakulima wadogo wa Nyanda za Juu Kusini na Kaskazini wa kuhifadhi nafaka kwa kutumia teknolojia bunifu ulizinduliwa katika kijiji Cha Ibumula wilayani Wanging’ombe mkoani Njombe, juzi.

 

10 years ago

Habarileo

Wafurahishwa na matokeo ya majaribio ya kuhifadhi nafaka

Mkuu wa Programu na mratibu wa P4P wa Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), Marina NegroponteMAJARIBIO ya kuhifadhi nafaka kwa teknolojia isiyotumia kemikali iliyofanywa na Wakala wa Taifa wa hifadhi ya chakula (NFRA) mjini Dodoma yameonesha mafanikio makubwa na kutoa mwanya wa kuendelezwa kwa matumizi ya teknolojia hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani