MASTAA WANUSA KIFO AJALI YA NDEGE!
![](http://api.ning.com:80/files/u-nuBgwJg3xYaP9ukUJbncz9eiDSR9DSbvwWmiIDPcsS64hmYW*qwAxCZz27ciBXeX5LHPgXPDo0GFd*HKLoS15DipzhPrYA/BACKJUMAMOSI92.jpg?width=650)
Mastaa kutoka tasnia ya uigizaji Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’, Lucas Mhuvile ‘Joti’, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’, Isaya Mwakilasa ‘Wakuvwanga’, Alex Chalamila ‘Mac Regan’, Sekioni David ‘Seki’ na abiria kibao wamenusurika kufa katika ajali ya ndege. Abiria wakiingia ndani ya ndege. Kwa mujibu wa shuhuda wetu ndani ya Uwanja wa Ndege wa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
IPPmedia26 Jan
Waziri anusurika kifo ajali ya ndege
Waziri wa Katiba na Sheria Zanzibar, Abubakari Khamis Bakari, pamoja na abiria 17 wamenusurika kifo, baada ya ndege ya shirika la ndege la 'Zan air' waliyokuwa wanasafiria kupata matatizo ya breki na kusererekea vichakani.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
LOWASSA ANUSURIKA KIFO AJALI YA NDEGE
Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli, Mhe. Edward Lowassa. ABIRIA kadhaa akiwemo Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli, Mhe. Edward Lowassa wamenusurika kifo, baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kupasuka matairi yote manne ya nyuma wakati ilipokuwa ikitua katika uwanja wa ndege wa Arusha mchana mchana huu. Ndege hiyo ya shirika la ndege la Precision aina ya ATR ilipata ajali hiyo wakati ikitua. Matairi yote manne ya...
10 years ago
GPLBODABODA WANUSA KIFO KWA KUKWAPUA MKOBA
Mmoja kati ya vibaka hao akiwa hoi baada ya kupata kichapo kikali. Mayasa mariwata na denis mtima
Vijana wawili wa bodaboda ambao majina yao hayakuweza kupatikana mara moja, hivi karibuni walikoswakoswa kuuawa baada ya kupora mkoba uliokuwa na simu ya mwanamke aliyekuwa akipita njia. Tukio hilo lilijiri Jumanne iliyopita, saa 1.30 usiku maeneo ya Sinza Afrikasana, pembeni mwa Baa ya Hongera ambapo inadaiwa ni eneo hatari kwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-bfbyBD4ZeNQ/VYuukDMJTCI/AAAAAAABBNo/XRO-bQYO0Gw/s72-c/Nd.jpg)
MWANAMKE NA MTOTO WAKE WANUSURIKA KIFO KATIKA AJALI YA NDEGE
![](http://2.bp.blogspot.com/-bfbyBD4ZeNQ/VYuukDMJTCI/AAAAAAABBNo/XRO-bQYO0Gw/s640/Nd.jpg)
Mwanamke huyo Maria Nelly Murillo, 18, na mtoto wake wa mwaka mmoja wamekutwa na waokoaji karibu na ndege hiyo yao ndogo aina ya Cessna iliyoanguka kwenye Mkoa wa Choco.
Mkuu wa Kikosi cha Anga cha Kolombia ameelezea kuwa kunusurika kwa mama huyo na mtoto wake ni muujiza. Murillo alikuwa na majeruhi na kuungua lakini mtoto wake alikuwa mzima...
10 years ago
Vijimambo05 Mar
NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u325ipbpd7qJ1kYw5jAdF3AGRbmgH3pHeFG83-dbp9MxP2bWplFr4SnHHI8MdEEL06TaPOq3vmJlEJhkQJvUi0ZqJG3LyaMg/2014.jpg?width=650)
ROHO WA KIFO BADO KWA MASTAA
Stori: Hamida Hassan na Haroun Sanchawa
MTOTO wa aliyekuwa mtabiri maarufu nchini, Shehe Yahya Hussein, Maalim Hussein Yahya ametoa utabiri wake wa mwaka na kusema kwamba vifo zaidi vitaendelea kutokea kwa mastaa wa filamu, muziki, waandishi wa habari, viongozi wa dini pamoja na wanasiasa, Risasi Jumamosi linaweka bayana. Aliyekuwa mtabiri maarufu nchini, Shehe Yahya… ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R9XIwqbdD--3KIKwfTUZLJYmFGi4noEyapJUXJITaZvSaNfpiXtJzVJRQSBn6REK5ws41bPNWzbBfU715zyU9lDUHWxyqwIL/snura.jpg?width=650)
HOFU YA KIFO YATAWALA MASTAA BONGO
Stori: Shani Ramadhani na Deogratius Mongela
HOFU ya kifo imetawala kwa mastaa Bongo ikiwa ni siku chache baada ya gazeti hili toleo la Jumamosi iliyopita kutoka na habari ya utabiri wa Hussein Yahaya, ikieleza kuwa mwaka huu vifo zaidi vitaendelea kwa wasanii wa filamu, muziki, waandishi wa habari, viongozi wa dini na wanasiasa. Aunt Ezekiel. Risasi Mchanganyiko limepata kuzungumza na baadhi ya wasanii wa sanaa mbalimbali...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NQ48wH9Dt2S6eCb48ymkyYcFWRd3EUDrx2YZ0TSTtb9-gG14*82nMOLp6R9Gdvi02mVJn81c0uxY5pzFxN2RZuJzcwGXGJ*A/MAMAWEMA.jpg?width=650)
KIFO CHA BOBBY CHRISTINA, MASTAA MATEJA MNA HAMU NANYI YAWAKUTE?
JUMAPILI iliyopita, mtoto pekee wa waimbaji nyota wa muziki nchini Marekani, Whitney Houston na Bobby Brown aitwaye Bobbi Christina, alifariki dunia baada ya kuwa amelazwa tangu Januari mwaka huu, akiwa hajitambui. Bobbi, ambaye wazazi wake wote wawili walikuwa ni waathirika wa madawa ya kulevya, Januari 31, mwaka huu alikutwa ameanguka bafuni nyumbani kwake akiwa hajielewi na uchunguzi wa kitabibu ulionesha kwamba alianguka...
11 years ago
BBCSwahili21 Apr
Aponea kifo kwenye gurudumu la ndege
Mvulana mwenye umri wa miaka 16 amenusurika kifo kwa maajabu baada ya kujificha na kusafiri katika gurudumu la ndege kwa saa 5 Marekani
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania