Mavazi ya mhubiri yawaacha vinywa wazi
Mhubiri mmoja nchini Iran amewaacha watu vinywa wazi kwa kuvalia vazi la rangi ya manjano.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo03 Nov
MBUNIFU WA MAVAZI WA KIMATAIFA SHERIA NGOWI AFUNIKA KATIKA MAONYESHO YA MAVAZI YA 'MERCEDES BENZ FASHION WEEK AFRICA 2014' NCHINI AFRIKA KUSINI
10 years ago
Dewji Blog25 Sep
Mahakama ya Kisutu yawaacha wafuasi wa Chadema
Mmoja wa wanachama wa Chadema, Kamugisha Ngaiza, alivyowekwa chini ya ulinzi na polisi hivi karibuni.
Na Mwandishi wetu
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imewaachia huru kwa dhamana washitakiwa watatu wenye kesi namba173 ya mwaka 2014, kwa kosa la kumsindikiza Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe Makao Mkuu ya Polisi.
Washitakiwa hao ni Ngaiza Kamugisha ambaye ni mfuasi wa chama hicho, Katibu wa BAVICHA Temeke, Benito Mwapinga na Elisante Bagenyi ambae ni mfuasi wa chama...
10 years ago
Mwananchi26 Sep
Chadema ‘yawaacha polisi kwenye mataa’
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
‘Posho tulidai wazi, kura iwe wazi’
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ahmed Masoud Jongo amewataka wajumbe wasiogope kupiga kura za wazi kama walivyokuwa wakidai nyongeza ya posho hadharani. Alitoa kauli hiyo juzi jioni alipokuwa akichangia...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Q5QNsAw9eJI/default.jpg)
9 years ago
Bongo528 Dec
Video: #TECNOOwnTheStage episode ya Christmas yawaacha washiriki na mshtuko
![10](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/10-300x194.png)
Sehemu ya saba ya kipindi cha shindano la kwanza karaoke barani Afrika, Tecno Own The Stage ilikuwa maalum kwaajili ya Christmas na ilirushwa Jumapili ya December 27.
Washiriki walitumbuiza nyimbo zenye theme ya Christmas. Watanzania wawili, Nandy na Zooccu waliosalia kwenye shindano hilo nao walijifunga kibwebwe.
Zooccu aliimba wimbo ‘White Christmas’ na kuwakuna majaji japo si kama ilivyokuwa kwa mshiriki wa Nigeria, Shaapera aliyeimba ‘We Three Kings of Orient are’ wa ’ Rev. John Henry...
5 years ago
BBCSwahili14 May
Virusi vya corona: Marufuku ya mirungi yawaacha matatani watafunaji Somalia
11 years ago
BBCSwahili19 Feb
Ukatili wazi wazi CAR
11 years ago
BBCSwahili01 Apr
Mhubiri wa kiisilamu auawa Mombasa