Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAXCOM AFRIKA YATIMIZA MIAKA MITANO, YABADILI MUONEKANO WA HUDUMA YAO YA MAX MALIPO

 Mkurugnezi Mtendaji wa Kampuni ya Kitanzania ya  MaxCom Africa, inayotoa huduma za Max Malipo,  Juma Rajabu  na Mwakilishi wa Manispaa ya Kinondoni, Richard Chagula wakikata utepe kuzindua muonekano mpya wa huduma ya Max Malipo, katika hafla iliyokutanisha uongozi wa kampuni hiyo ya Jukwaa la Wahariri, leo katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam. Mkurugnezi Mtendaji wa MaxCom Africa, watoaji wa huduma za Max Malipo, Juma Rajabu akizindua muonekano mpya wa huduma ya Max Malipo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MIAKA MITANO YA MAX MALIPO



Mkurugnezi Mtendaji wa Kampuni ya Kitanzania ya MaxCom Africa, inayotoa huduma za Max Malipo, Juma Rajabu na Mwakilishi wa Manispaa ya Kinondoni, Richard Chagula wakikata utepe kuzindua muonekano mpya wa huduma ya Max Malipo, katika hafla iliyokutanisha uongozi wa kampuni hiyo ya Jukwaa la Wahariri, leo katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam. Mkurugnezi Mtendaji wa MaxCom Africa, watoaji wa huduma za Max Malipo, Juma Rajabu akizindua muonekano mpya wa huduma ya Max Malipo...

 

10 years ago

Mwananchi

Askari polisi wastaafu Kilimanjaro wasotea malipo miaka mitano

Polisi waliostaafu kazi mwaka 2009 na kurejeshwa kazini kwa mkataba wa miaka miwili mkoani Kilimanjaro, wanasotea fedha za kusafirisha mizigo kurudi makwao kwa mwaka wa tano sasa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Afrika Kusini huru yatimiza miaka 20

Sherehe zafanywa kote Afrika Kusini kuadhimisha miaka 20 tangu kumalizika utawala wa ubaguzi wa rangi

 

10 years ago

Dewji Blog

Kituo cha Afya Ndago hakina huduma za upasuaji kwa miaka mitano

SAM_2087Jengo la kituo cha afya cha tarafa ya Ndago, wilayani Iramba, Mkoani Singida ambacho licha ya kutokuwa na huduma za upasuaji, lakini vile vile kituo hicho hakina usafiri wa gari la wagonjwa kwa miaka mine sasa huku gari lililokuwa limepangiwa katika kituo hicho kutumiwa na watendaji wa wilaya hiyo.(Picha zote na Jumbe Ismailly).

Na Jumbe Ismailly, Iramba

KITUO cha afya cha tarafa ya Ndago,wilayani Iramba,Mkoani Singida hakina huduma za upasuaji kwa miaka mitano sasa licha ya jengo la kutolea...

 

10 years ago

BBCSwahili

Apple music yabadili sera yake ya malipo

Huduma ya Apple music imebadilisha sera ya malipo yake ,siku moja baada ya msanii Taylor Swift kusema kuwa ataizuia kampuni hiyo kucheza mziki wa albamu yake 1989.

 

10 years ago

GPL

PSPF NA MAX MALIPO WAUNGANA KUKOMBOA WAJASIRIAMALI

Mjomba Band ikitoa burudani wakati mambo yakiwekwa sawa katika hafla hiyo.
Kiongozi wa Mjomba Band, Mrisho Mpoto, akinogesha mambo kwa waliohudhuria.
Mkurugenzi wa Mfuko wa PSPF, Adam Maingu, akifungua mkutano huo kwa risala fupi.…

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU PINDA ATEMBELEA BANDA LA MAX MALIPO

 Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Maxcom Africa Limited, Bwa.Ahmed Salum Lussasi akielezea namna mashine ya MaxMalipo inavyoweza kufanya kazi katika suala zima la jamii kujikwamua na umaskini,ikiwemo hasa kwa wajasiliamali mbalimbali,kwenye maonyesho ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea kwenye uwanja wa maonyesho wa Mwalimu Nyerere mjini Dar es salaam ambapo Waziri Mkuu Mh Mizengo Pinda alipita kujionea huduma mbalimbali zitolewazo na kampuni hiyo. Waziri Mkuu Pinda,akisalimiana na baadhi...

 

5 years ago

CCM Blog

RITA: WATOTO CHINI YA MIKA MITANO KUPATA VYETI BILA MALIPO

Na Muhadh Mohammed, Songea Ruvuma.

Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme, amemtaka wakala wa usajili ufilisi na udhamini (RITA) na wakuu wa wilaya zinazopakana na Nchi jirani kuhakikisha wanawadhibiti watoto walio na umri chini ya miaka mitano ambao sio raia wa Tanzania kuingizwa kwenye mpango wa usajili wa vizazi utakaoanza mapema mwaka huu.

Mndeme alitoa rai hiyo jana wakati alipokuwa akifungua warsha ya viongozi wa wilaya na mkoa wa Ruvuma kuhusu usajili wa vizazi kwa watoto wa umri wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Tanzania yatimiza miaka 50 ya Muungano

Sherehe za kuhadhimisha miaka 50 ya Muungano wa Tanzania zimefanyika leo mjini Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani