Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Askari polisi wastaafu Kilimanjaro wasotea malipo miaka mitano

Polisi waliostaafu kazi mwaka 2009 na kurejeshwa kazini kwa mkataba wa miaka miwili mkoani Kilimanjaro, wanasotea fedha za kusafirisha mizigo kurudi makwao kwa mwaka wa tano sasa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MIAKA MITANO YA MAX MALIPO



Mkurugnezi Mtendaji wa Kampuni ya Kitanzania ya MaxCom Africa, inayotoa huduma za Max Malipo, Juma Rajabu na Mwakilishi wa Manispaa ya Kinondoni, Richard Chagula wakikata utepe kuzindua muonekano mpya wa huduma ya Max Malipo, katika hafla iliyokutanisha uongozi wa kampuni hiyo ya Jukwaa la Wahariri, leo katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam. Mkurugnezi Mtendaji wa MaxCom Africa, watoaji wa huduma za Max Malipo, Juma Rajabu akizindua muonekano mpya wa huduma ya Max Malipo...

 

10 years ago

Michuzi

MAXCOM AFRIKA YATIMIZA MIAKA MITANO, YABADILI MUONEKANO WA HUDUMA YAO YA MAX MALIPO

 Mkurugnezi Mtendaji wa Kampuni ya Kitanzania ya  MaxCom Africa, inayotoa huduma za Max Malipo,  Juma Rajabu  na Mwakilishi wa Manispaa ya Kinondoni, Richard Chagula wakikata utepe kuzindua muonekano mpya wa huduma ya Max Malipo, katika hafla iliyokutanisha uongozi wa kampuni hiyo ya Jukwaa la Wahariri, leo katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam. Mkurugnezi Mtendaji wa MaxCom Africa, watoaji wa huduma za Max Malipo, Juma Rajabu akizindua muonekano mpya wa huduma ya Max Malipo...

 

10 years ago

Vijimambo

Polisi 'feki' wawili wafungwa miaka mitano

Mahakama ya Wilaya ya Chato, mkoani Geita, imewahukumu kifungo cha miaka mitano jela kila mmoja, Joseph Christopher (25) mkazi wa kijiji cha Nkome na Bahati Juma (28) mkazi wa Katoro wilayani Chato, baada ya kuwatia hatiani katika shitaka la kujifanya maofisa wa polisi kwa lengo la kufanya utapeli.

Katika kesi hiyo, washitakiwa hao walidaiwa kufanya utapeli katika kijiji cha Buseresere, Septemba 4, mwaka jana na kujipatia simu mbili za mkononi pamoja na Sh. 11,000 taslimu kinyume cha...

 

11 years ago

Michuzi

ASKARI CHUO CHA POLISI MOSHI WAFANYA UTALII WA NDANI MLIMA KILIMANJARO

Kundi la watalii wa ndani ambao minongoni mwao walikuwa ni Askari kutoka chuo cha taaluma ya Polisi Moshi wakipanda kuelekea Shira Hut moja ya kilele katika Mlima Kilimanjaro. Ofa ya utalii wa ndani katika mlima Kilimanjaro ilijumuisha watu wa Kila Rika,hapa mmoja wa watalii wa ndani akiwa na mtoto wake mgongoni. Kiasi safari ilikuwa ngumu kwa baadhi ya watalii wa ndani
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

 

11 years ago

Habarileo

Wastaafu Tazara walalamikia uduni wa malipo

WASTAAFU wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) wamelalamikia uongozi wa shirika hilo kwa kulipa malipo yao kwa kufuata utaratibu ambao hautambuliwi na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Serikali (CAG).

 

9 years ago

Vijimambo

ASKARI POLISI KILIMANJARO WAFANYA ZOEZI KUJIANDAA NA ZOEZI LA UCHAGUZI.

Baadhi ya viongozi wa ngazi ya Juu Katika jeshi la Polisi mkoa wa Kilimanjaro wakiwa katika maandalizi ya mazoezi.Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro.Fulgence Ngonyani akipokea taarifa fupi toka kwa kiongozi wa kikosi cha kutuliza ghasia.
Askari Polisi wa vikosi mbalimbali vya jeshi hilo mkoa wa Kilimanjaro wakiwa katika zoezi maalum.RPC Ngonyani akiongoza matembezi ya askari Polisi ikiwa ni sehemu ya mazoezi.Kikosi cha kutuliza Ghasia ,FFU.Matembezi yakiendelea kupita maeneo mbalimbali ya...

 

5 years ago

Michuzi

WATOTO WENYE UMRI WA MIAKA MITANO HADI 12 RAIA WA ETHIOPIA WAKUTWA WAMEHIFADHIWA KWENYE NYUMBA YA MTU BINAFSI MKOANI ARUSHA ...POLISI WATOA NENO

Na Woinde Shizza,Arusha


JESHI  la Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia watoto sita raia  wa Ethiopia akiwemo mwenye umri wa miaka mitano baada ya kukuta wamehifadhiwa kwenye nyumba ya mtu binafsi eneo la Ngureso katika Halmashauri ya Jiji la Arusha.

Akizungumzia tukio hilo leo Kamanda wa Polisi omkoani hapa Jonathan Shanna amesema kuwa watoto hao wenye umri wa miaka mitano hadi 12 waligundulika  Februari 20  mwaka huu  kuhifadhiwa nyumbani kwa Amina Ally na Mohammed Mahamudu mkazi wa Ngusero...

 

5 years ago

CCM Blog

RITA: WATOTO CHINI YA MIKA MITANO KUPATA VYETI BILA MALIPO

Na Muhadh Mohammed, Songea Ruvuma.

Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme, amemtaka wakala wa usajili ufilisi na udhamini (RITA) na wakuu wa wilaya zinazopakana na Nchi jirani kuhakikisha wanawadhibiti watoto walio na umri chini ya miaka mitano ambao sio raia wa Tanzania kuingizwa kwenye mpango wa usajili wa vizazi utakaoanza mapema mwaka huu.

Mndeme alitoa rai hiyo jana wakati alipokuwa akifungua warsha ya viongozi wa wilaya na mkoa wa Ruvuma kuhusu usajili wa vizazi kwa watoto wa umri wa...

 

9 years ago

Mwananchi

UKWELI UTAKUWEKA HURU: Miaka 54 mmeshindwa, miaka mitano mtaweza?

Kwanza kabisa napenda niwaombe radhi wasomaji wangu wa safu  hii ya   ‘Ukweli Utakuweka huru’ kwa kuzikosa  mada zangu kwa takriban  mwezi mmoja. Hali hii ilitokana na sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wangu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani