Askari polisi wastaafu Kilimanjaro wasotea malipo miaka mitano
Polisi waliostaafu kazi mwaka 2009 na kurejeshwa kazini kwa mkataba wa miaka miwili mkoani Kilimanjaro, wanasotea fedha za kusafirisha mizigo kurudi makwao kwa mwaka wa tano sasa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMIAKA MITANO YA MAX MALIPO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Yf2fRcxffOA/VHhr01G_fYI/AAAAAAAAryo/if-wV2bHBWA/s1600/1.%2BMkurugnezi%2BMkuu%2Bwa%2BMaxCom%2BAfrica%2C%2BJuma%2BRajabu%2B%2Bna%2BRichard%2BChagula%2Bwa%2BManispaa%2Bya%2BKinondoni%2Bwakikata%2Butepe%2Bkuzindua%2Bmuonekano%2Bmpoya%2Bwa%2BMax%2BMalipo.jpg)
Mkurugnezi Mtendaji wa Kampuni ya Kitanzania ya MaxCom Africa, inayotoa huduma za Max Malipo, Juma Rajabu na Mwakilishi wa Manispaa ya Kinondoni, Richard Chagula wakikata utepe kuzindua muonekano mpya wa huduma ya Max Malipo, katika hafla iliyokutanisha uongozi wa kampuni hiyo ya Jukwaa la Wahariri, leo katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
![](http://4.bp.blogspot.com/-JWFKiLGb0X0/VHhr4AuDCSI/AAAAAAAArzQ/ZlYmNMVgVQ0/s1600/2.%2BMkurugnezi%2BMkuu%2Bwa%2BMaxCom%2BAfrica%2C%2BJuma%2BRajabu%2Bakizindua%2Bmuonekano%2Bmpya%2Bwa%2Bhuduma%2Bya%2BMax%2BMalipo.jpg)
10 years ago
MichuziMAXCOM AFRIKA YATIMIZA MIAKA MITANO, YABADILI MUONEKANO WA HUDUMA YAO YA MAX MALIPO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Yf2fRcxffOA/VHhr01G_fYI/AAAAAAAAryo/if-wV2bHBWA/s1600/1.%2BMkurugnezi%2BMkuu%2Bwa%2BMaxCom%2BAfrica%2C%2BJuma%2BRajabu%2B%2Bna%2BRichard%2BChagula%2Bwa%2BManispaa%2Bya%2BKinondoni%2Bwakikata%2Butepe%2Bkuzindua%2Bmuonekano%2Bmpoya%2Bwa%2BMax%2BMalipo.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JWFKiLGb0X0/VHhr4AuDCSI/AAAAAAAArzQ/ZlYmNMVgVQ0/s1600/2.%2BMkurugnezi%2BMkuu%2Bwa%2BMaxCom%2BAfrica%2C%2BJuma%2BRajabu%2Bakizindua%2Bmuonekano%2Bmpya%2Bwa%2Bhuduma%2Bya%2BMax%2BMalipo.jpg)
10 years ago
Vijimambo09 Feb
Polisi 'feki' wawili wafungwa miaka mitano
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/polisi-09Feb2015.jpg)
Katika kesi hiyo, washitakiwa hao walidaiwa kufanya utapeli katika kijiji cha Buseresere, Septemba 4, mwaka jana na kujipatia simu mbili za mkononi pamoja na Sh. 11,000 taslimu kinyume cha...
11 years ago
MichuziASKARI CHUO CHA POLISI MOSHI WAFANYA UTALII WA NDANI MLIMA KILIMANJARO
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
11 years ago
Habarileo16 Jul
Wastaafu Tazara walalamikia uduni wa malipo
WASTAAFU wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) wamelalamikia uongozi wa shirika hilo kwa kulipa malipo yao kwa kufuata utaratibu ambao hautambuliwi na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Serikali (CAG).
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-q5J32OeI6fg/VitH9Wlaa-I/AAAAAAAAV8c/r5zdeAWiqSw/s72-c/G03A3345%2B%25281280x853%2529.jpg)
ASKARI POLISI KILIMANJARO WAFANYA ZOEZI KUJIANDAA NA ZOEZI LA UCHAGUZI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-q5J32OeI6fg/VitH9Wlaa-I/AAAAAAAAV8c/r5zdeAWiqSw/s640/G03A3345%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IH4ZYlYI7V0/VitH-498VkI/AAAAAAAAV8s/RT9gqbhjg5I/s640/G03A3347%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-R5e5mVAYWxM/VitH-MgFLFI/AAAAAAAAV8g/pYIOwOrZbCk/s640/G03A3349%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-M22aMc3QX-o/VitIBVnVxvI/AAAAAAAAV80/5nvYEE7aFdg/s640/G03A3351%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bbxUjQ1nM5c/VitIDESrXOI/AAAAAAAAV88/i8bfgnmtRL4/s640/G03A3361%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OzSKXC1sznI/VitIEc6EWiI/AAAAAAAAV9E/1lfd4Lub1s0/s640/G03A3371%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WPawvgZKPAs/VitIFvY8G9I/AAAAAAAAV9M/YdtssaWsQj4/s640/G03A3372%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-35qGMkteVyA/VitIHvDDUdI/AAAAAAAAV9U/2wbUaA6jEVc/s640/G03A3375%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WYB_pn6GKPk/VitIJRPX3kI/AAAAAAAAV9c/FlFEqzstlpM/s640/G03A3376%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qTdntqFAWRg/VitIKTTIAsI/AAAAAAAAV9k/ulA-VYvmxYE/s640/G03A3378%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LHA8zfk_LbI/VitINt3vzaI/AAAAAAAAV9w/J2LESAKkYJw/s640/G03A3380%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-N7iX7sxlK8A/VitIM2ImttI/AAAAAAAAV9s/lhnQKVdU7oI/s640/G03A3381%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-t8rBAn7DnQ0/VitIPTJKZNI/AAAAAAAAV98/zLp9j9VxcII/s640/G03A3386%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-tii5E0LFDOc/VitIQVNpREI/AAAAAAAAV-E/i9xP8qQV1TU/s640/G03A3388%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-b6WrCEcvaTI/VitISGd84gI/AAAAAAAAV-M/oR3c3HRW1B0/s640/G03A3389%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9cxlpNWPje4/VitITnuC7TI/AAAAAAAAV-U/IxKUyIVv-58/s640/G03A3396%2B%25281280x853%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hh59aELnj78/Xmev5gpWX6I/AAAAAAALieo/MmErO7IBbE0FAuuqKW8txIcRa3P7uFIZACLcBGAsYHQ/s72-c/1960604_RPC-1.jpg)
WATOTO WENYE UMRI WA MIAKA MITANO HADI 12 RAIA WA ETHIOPIA WAKUTWA WAMEHIFADHIWA KWENYE NYUMBA YA MTU BINAFSI MKOANI ARUSHA ...POLISI WATOA NENO
![](https://1.bp.blogspot.com/-hh59aELnj78/Xmev5gpWX6I/AAAAAAALieo/MmErO7IBbE0FAuuqKW8txIcRa3P7uFIZACLcBGAsYHQ/s400/1960604_RPC-1.jpg)
JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia watoto sita raia wa Ethiopia akiwemo mwenye umri wa miaka mitano baada ya kukuta wamehifadhiwa kwenye nyumba ya mtu binafsi eneo la Ngureso katika Halmashauri ya Jiji la Arusha.
Akizungumzia tukio hilo leo Kamanda wa Polisi omkoani hapa Jonathan Shanna amesema kuwa watoto hao wenye umri wa miaka mitano hadi 12 waligundulika Februari 20 mwaka huu kuhifadhiwa nyumbani kwa Amina Ally na Mohammed Mahamudu mkazi wa Ngusero...
5 years ago
CCM BlogRITA: WATOTO CHINI YA MIKA MITANO KUPATA VYETI BILA MALIPO
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme, amemtaka wakala wa usajili ufilisi na udhamini (RITA) na wakuu wa wilaya zinazopakana na Nchi jirani kuhakikisha wanawadhibiti watoto walio na umri chini ya miaka mitano ambao sio raia wa Tanzania kuingizwa kwenye mpango wa usajili wa vizazi utakaoanza mapema mwaka huu.
Mndeme alitoa rai hiyo jana wakati alipokuwa akifungua warsha ya viongozi wa wilaya na mkoa wa Ruvuma kuhusu usajili wa vizazi kwa watoto wa umri wa...
9 years ago
Mwananchi14 Oct
UKWELI UTAKUWEKA HURU: Miaka 54 mmeshindwa, miaka mitano mtaweza?
Kwanza kabisa napenda niwaombe radhi wasomaji wangu wa safu hii ya  ‘Ukweli Utakuweka huru’ kwa kuzikosa mada zangu kwa takriban mwezi mmoja. Hali hii ilitokana na sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wangu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania