Mayunga Nalimi afiwa na mama
MSHINDI wa shindano ya muziki la Airtel Trace Star, Nalimi Mayunga, amefiwa na mama yake aliyekuwa akiishi mkoani Tabora.
Katika ukurasa wake ya facebook msanii huyo alituma picha akiwa katika basi la kuelekea Tabora na maneno yalisomeka kwamba: “Mwenyezi Mungu tunakuomba utufanyie wepesi katika safari yetu hii kuelekea Tabora natuweze kumuhifadhi salama mama yangu inshallah na ninakushukuru kwa kila jambo unipangialo kwani ni wewe pekee unayejua kesho ya mwanadamu na hatima yake, mpokee...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania17 Nov
Nalimi Mayunga: Ndoto yangu kimataifa imetimia
NA KOKU DAVID
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Nalimi Mayunga ambaye ni mshindi wa shindano la ‘Airtel Trace Music Stars Afrika’, amesema hatawaangusha Watanzania na kwamba ataipeperusha vizuri bendera ya Tanzania nchini Marekani.
Msanii huyo ameondoka jana kuelekea nchini Marekani ambako atafanya kazi na nguli wa muziki wa Rnb duniani, Aliaume Damala ‘Akon’ na atakaa huko kwa wiki moja.
Akizungumza jijini Dar es Salaam kabla ya kuondoka, Mayunga alisema kuwa ndoto yake ya kufanya kazi ya...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/PICT-1-001.jpg?width=650)
MAYUNGA NALIMI AELEKEA MAREKANI KUREKODI VIDEO NA AKON
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4nRKuOE6J_A/VkWML-UF97I/AAAAAAAIFm4/mgufi1Um0Ac/s72-c/RadekArtPhoto-6260.jpg)
Mshindi wa Airtel Trace Nalimi Mayunga kukutana na Akon Marekani
![](http://4.bp.blogspot.com/-4nRKuOE6J_A/VkWML-UF97I/AAAAAAAIFm4/mgufi1Um0Ac/s400/RadekArtPhoto-6260.jpg)
Mayunga aliibuka kuwa mshindi wa Airtel Trace Afrika katika mashindano yaliyoshirikisha nchi 13 barani Afrika yaliyofanyika nchini Kenya mwanzoni mwa mwaka huu na kujishindia zawadi nono ikiwemo deal ya kurekodi wimbo na video pamoja na kupata...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ldPIfFy3ff0zDmjfn08Z1o7ZI3PROuQafz3McoG9lq91GuNKjeQORgAh*KxTdFtHM2KV2vQgRgiy2-soRvfGXHJsvreO4fp*/RadekArtPhoto6098.jpg?width=650)
MSHINDI WA AIRTEL TRACE NALIMI MAYUNGA KUKUTANA NA AKON MAREKANI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ipxaxjznh3w/Vbs5AWv8CSI/AAAAAAAHs6Y/gfNdl8vt_OY/s72-c/POST-inta-nicecouple.jpg)
MSHINDI WA AIRTEL TRACE NALIMI MAYUNGA KUACHIA VIDEO YA KIBAO CHAKE CHA "NICE COUPLE" KWENYE CHANEL YA TRACE LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ipxaxjznh3w/Vbs5AWv8CSI/AAAAAAAHs6Y/gfNdl8vt_OY/s640/POST-inta-nicecouple.jpg)
Mshindi wa shindano la Airtel Trace Music Star Nalimi Mayunga ameachiakibao chake kipya cha " Nice Couple" video itakayorushwa kuanzia leokatika kituo cha DSTV chanel ya Trace Urban 325
MWANZONI mwa mwezi huu, Mshindi huyo wa Airtel Trace Music star alituamjini Johannesburg South Afrika akitokea nchini Tanzania ili kuanzasafari yake kujiendeleza kimuziki na kufikia ndoto zake mara baada yakuibuka mshindi wa mashindano makubwa yaliyoshirikisha nchi 13 baraniAfrika yaliyofanyika tarehe 18...
10 years ago
Michuzi27 May
Mama wa Mitindo Asia Idarous Khamisin afiwa na Mama yake mkubwa Zanzibar
![IMG_3895](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_3895.jpg)
MBUNIFU mkongwe wa mavazi, Mama wa mitindo nchini, Asia Idarous Khamsin amepata pigo kufuatia kufiwa na Mama yake mkubwa, Aliyefahamika kwa jina la Fatma Juma, Msiba uliotokea Kisiwa Ndui, Unguja.
Kwa mujibu wa taarifa za msiba huo ambao hata hivyo tayari mazishi yake yamefanyika siku ya Jumatatu ya Mei 25, Kisiwa Ndui, na leo Jumatano ya Mei 27 wanatarajia kufanya kisomo maalum.
Ratiba ya Kisomo:Leo Jumatano ya Mei 27, saa 10, Alasiri wanatarajia kufanya kisomo maalum kwa wanawake wote...
10 years ago
Dewji Blog27 May
Mama wa Mitindo Asia Idarous Khamsin afiwa na Mama yake mkubwa Zanzibar
Na Mwandishi Wetu
MBUNIFU mkongwe wa mavazi, Mama wa mitindo nchini, Asia Idarous Khamsin amepata pigo kufuatia kufiwa na Mama yake mkubwa, Aliyefahamika kwa jina la Fatma Juma, Msiba uliotokea Kisiwa Ndui, Unguja.
Kwa mujibu wa taarifa za msiba huo ambao hata hivyo tayari mazishi yake yamefanyika siku ya Jumatatu ya Mei 25, Kisiwa Ndui, na leo Jumatano ya Mei 27 wanatarajia kufanya kisomo maalum.
Ratiba ya Kisomo:
Leo Jumatano ya Mei 27, saa 10, Alasiri wanatarajia kufanya kisomo...
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Tido afiwa na mama yake mzazi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OQbVc*b-KB*LulH3Pl368Cn97qbP5N1S6r9xqf5n6nMUIC0ZVuwfpfaTaxS-UD07b4rGdsp3Wfn*nX-1EAf2QnCICBbnDaQS/85b77338ef92a525bbfc65aa379c16c5_L.jpg)
MMILIKI WA SALUTI5 AFIWA NA MAMA YAKE