MAZINGIRA HAYA NI MABAYA,NI MAGUMU NA YANAUMIZA SANA KISAIKOLOJIA,MTU ASIOMBE KABISA KUKOSA UHURU WA KUTOKA NDANI-TOGOLANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-w0ghQigOlTY/XozOZLMAV7I/AAAAAAALmcU/wmMsaB_Ki3EGRjtLlKk8R6gg3J9z7rIiwCLcBGAsYHQ/s72-c/ECJS3fZXUAINZYc.jpg)
Utangulizi
Nianze ujumbe wangu kwa kutangaza maslahi binafsi.
Hapa nilipo, hii ni wiki ya pili tunamaliza tukiwa chini ya “total lockdown”. Nchi nzima tunalazimika kukaa ndani muda na hatujui tutatoka lini. Sina hakika na watu wengine waliowahi kuishi mazingira ya aina hii, ila niseme kwa ujasiri kabisa kwamba mazingira haya ni mabaya, ni magumu, na yanaumiza sana kisaikolojia.
Muda mwingi huwezi kufanya lolote la maana kwa kuwa unakua kama umepoteza "network". Mtu asiombe kabisa kukosa uhuru...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wM7OFxLc22Y/XqgL4-zzbbI/AAAAAAALodo/6XGxxxocihg8etLPcg17VV-hzpBc-NOFACLcBGAsYHQ/s72-c/6-660x400.jpg)
MHADHIRI CHUO KIKUU ASEMA NI VIGUMU SANA KWA MAZINGIRA YA SASA KUZUNGUMZIA MTU ANAYEWEZA AKASIMAMA AKAWA BORA KULIKO RAIS MAGUFULI...
Akizungumzia kuhusu utendaji kazi wa Rais Dk.Magufuli ,Dk.Sebahene amefafanua kuwa ni vigumu kwa sababu wananchi wameona matokeo chanya ya jitihada za Serikali hii ya Awamu ya Tano na kusisitiza kuna jitihada kubwa sana na mambo yanayoonekana ndio ambayo Mtanzania anataka kuyazingatia...
10 years ago
Mwananchi02 Apr
Athari za mazingira mabaya kwa mjasiriamali
11 years ago
Habarileo07 Mar
Mil. 50/- zasomesha wa mazingira magumu
IDARA ya Ustawi wa Jamii katika Halmashauri ya Manispaa ya Singida mkoani Singida imetumia jumla ya Sh milioni 50 kuhudumia watoto mbalimbali waishio kwenye mazingira hatarishi kwenye Manispaa hiyo katika kipindi cha mwaka wa fedha 2013/2014.
11 years ago
Habarileo08 Apr
Wageni wadaiwa kuongeza watoto wa mazingira magumu
RAIA wa kigeni wameshutumiwa kuwa sehemu ya ongezeko la watoto wanaoishi katika mazingira magumu kwa kupachika mimba wanawake wa kitanzania na kuwatelekeza. Hayo yameelezwa na mratibu msaidizi wa kituo cha kulelea watoto waishio katika mazingira magumu cha Samaritan Village Tanzania, Agnes Mtui kilichopo eneo la Moshono jijini Arusha.
11 years ago
Habarileo11 Dec
Serikali yakiri kutolipa posho ya mazingira magumu
BUNGE limeelezwa kuwa fedha za motisha zilizotengwa kwa ajili ya ajira mpya ya walimu wanaopelekwa katika halmashauri zenye mazingira magumu, hawakupewa. Hatua hiyo imeelezwa kutokana na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, kubaini kuwa walimu walioripoti katika halmashahuri hizo miaka iliyopita hawakupatiwa licha ya kuwa fedha hizo zilipitishwa katika Bunge la Bajeti la 2013/14.
11 years ago
Habarileo07 Jan
‘Mzee Karume alikuwa mtu wa maamuzi magumu’
RAIS wa Kwanza wa Zanzibar, hayati Abeid Amaan Karume anatajwa kuwa mfano wa kuigwa wa kufikia maamuzi magumu.
5 years ago
BBCSwahili25 Mar
Coronavirus: Kenya yathibitisha mtu wakwanza amepona kabisa covid-19
10 years ago
StarTV29 Dec
Serikali yaombwa kuwajengea makazi waishio mazingira magumu.
Na Frederick Siwale,
Njombe.
Watoto wanaoishi katika mazingira magumu na hatarishi mkoani Njombe wameiomba Serikali kuwajengea makazi ili kutambuliwe na kuhifadhiwa waweze kuondokana na adha ya maisha wanayokabiliana nayo hivi sasa.
Walitoa kauli hiyo kwa nyakati tofauti wakati kamera ya Star Tv ilipowafikia ambapo imebainika kuwa wanakutana na changamoto mbalimbali katika makazi yasiyo ya kudumu ikiwemo majumba mabovu na maeneo ya masoko.
Watoto hao ambao wengi wao ni yatima wamekuwa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-60HbFQqqDUs/UyA60Kfw2TI/AAAAAAAFTD8/GMnrwOps9Xw/s72-c/unnamed+(4).jpg)
WAANDISHI WANAWAKE WANAFANYA KAZI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU-UTAFITI
![](http://4.bp.blogspot.com/-60HbFQqqDUs/UyA60Kfw2TI/AAAAAAAFTD8/GMnrwOps9Xw/s1600/unnamed+(4).jpg)