Mbona Kenya kuna makundi haramu mengi?
Polisi wanasema Kenya kuna makundi haramu zaidi ya 40 lakini makundi hao wanadai wanapigania haki.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Jan
Jamani! Kuna mengi Yanga
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Kuna mengi ya kujifunza uchaguzi Zambia
10 years ago
Mwananchi15 Jul
Kuna mengi ya kujikumbusha tukielekea kwenye uchaguzi
10 years ago
Habarileo30 Jan
‘Kuna ongezeko la wahamiaji haramu nchi za Maziwa Makuu’
LICHA ya kuendeshwa kwa Operesheni Kimbunga ili kuondoa wahamiaji haramu waliokuwa wakiishi nchini isivyo halali, imebainika kuwa kumekuwa na ongezeko kubwa la wahamiaji haramu kutoka nchi za Maziwa Makuu baada ya wengi wa walioondolewa katika operesheni hiyo kurejea nchini kimya kimya bila ya kukamilisha taratibu za kuishi nchini.
11 years ago
BBCSwahili06 May
Pombe haramu yawaua zaidi ya 50 Kenya
9 years ago
BBCSwahili02 Oct
Ni haramu kutoa peremende badala ya chenji Kenya
10 years ago
MichuziVIONGOZI WA TANZANIA NA KENYA WAKUBALIANA KUKOMESHA BIASHARA HARAMU YA MAZAO YA MISITU
9 years ago
Dewji Blog13 Dec
Droo ya makundi ya Euro 2016 yafanyika, hii ndiyo listi kamili ya makundi hayo
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Chama cha Soka cha Ulaya kimefanya droo ya makundi ya mashindano ya Euro 2016 ambayo yanashirikisha nchi 24 kutoka Ulaya na yanatarajiwa kufanyika nchini Ufaransa kuanzia mwezi Juni mwakani. Modewjiblog imekuandalia listi kamili ya hatua hiyo ya makundi;
GROUP A;
Ufaransa
Romania
Albania
Switzerland
GROUP B;
Uingereza
Urusi
Wales
Slovakia
GROUP C;
Ujerumani
Ukraine
Poland
Northern Ireland
GROUP D;
Hispania
Jamhuri ya Czech
Uturuki
Croatia
GROUP E;
Belgium
Italia
Jamhuri...
10 years ago
Dewji Blog24 Mar
Tanzania na Kenya watiliana saini makubaliano ya kupiga vita biashara haramu ya mbao na mazao ya misitu
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Misitu na Nyuki nchini Tanzania, Bi. Gladness Mkamba akifafanua jambo baada ya kutia saini makubaliano kati ya Tanzania na Kenya kupiga vita biashara haramu ya mbao pamoja na mazao ya misitu inayofanyika kupitia mipaka ya nchi hizo katika mkutano uliofanyika jijini Arusha na Kuandaliwa na Shirika la kimataifa la kulinda wanyama na viumbe hai World Wildlife Foundation (WWF) ambao ni waandaaji na washirika wa makubaliano hayo pamoja na shirika la TRAFFIC....