MBUNGE WA JIMBO LA TEMEKE APOKEA MSAADA
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Good One, Wu Ya Hui (kushoto), akimkabidhi msaada wa vyakula na nguo, sabuni na vyombo Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu vilivyotolewa kwa Kituo cha Kulelea Yatima cha Darul Arqam cha Tandika, Dar es Salaam jana. Msaada huo uliombwa na mbunge huyo kwa kushirikiana na aliyewahi kuwa Makamu wa Rfais wa TFF, Athuman Nyamlani. PICHA NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Mtemvu akipokea sabuni kwa ajili ya kituo hicho.
Mtemvu akipoea balo la nguo za...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMBUNGE WA JIMBO LA TEMEKE ABBAS MTEMVU ATOWA MADAWATI 270 KWA SEKONDARI ZA JIMBO LAKE
10 years ago
Dewji Blog08 Jul
Mbunge wa jimbo la Temeke Abbas Mtemvu atoa misaada kwa watu wenye mahitaji maalum Dar
Baadhi ya misaada mbalimbali iliyotolewa na Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu kwa watu wenye mahitaji maalum.(Picha zote na Khamisi Mussa).
Mwenyekiti wa Taasisi ya Sitti Tanzania Foundation , Sitti Mtemvu akizungumza na walezi wa watu wenye mahitaji maalum, wakati Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu alipokabidhi misaada ya vitu mbalimbali, vikiwemo vyakula, mafuta ya kula, magodoro na kompyuta ambapo jumla ya vikundi kumi na vitatu vimepatiwa misaada mbalimbali na mbunge...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-e3tU6YT9yMQ/ViFb0N4L3GI/AAAAAAADBCU/EHhp1eA0k1A/s72-c/_MG_9276.jpg)
Dkt. Magufuli apokea kwa masikitiko kifo cha Mbunge wa Jimbo la Ludewa, mkoani Njombe Ndugu Deo Filikunjombe Haule,
![](http://1.bp.blogspot.com/-e3tU6YT9yMQ/ViFb0N4L3GI/AAAAAAADBCU/EHhp1eA0k1A/s640/_MG_9276.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-H8aUxDqAvXY/VZIn-m23v_I/AAAAAAAAAQ0/DGHiKJnOI3Y/s72-c/IMG-20150629-WA0023.jpg)
Dkt MUSA MDEDE apata Baraka za kuwa mbunge wa jimbo la kalenga kutoka kwa vijana wa kikatoliki wa jimbo hilo
![](http://4.bp.blogspot.com/-H8aUxDqAvXY/VZIn-m23v_I/AAAAAAAAAQ0/DGHiKJnOI3Y/s640/IMG-20150629-WA0023.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-g-ZjtBCePtU/VZIn-k8ZFlI/AAAAAAAAAQ4/3G0CBsckKqE/s640/IMG-20150629-WA0022.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-96NBLMdE52Q/VZIn9hKjxlI/AAAAAAAAAQ8/X1_08v68uh8/s640/IMG-20150629-WA0020.jpg)
BOFYA HAPA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wp-rw0AxPWE/U339goZWauI/AAAAAAAFkes/vIJCAkIJ1zQ/s72-c/unnamed+(25).jpg)
MAMA SHEIN APOKEA MSAADA WA VYARAHANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-wp-rw0AxPWE/U339goZWauI/AAAAAAAFkes/vIJCAkIJ1zQ/s1600/unnamed+(25).jpg)
11 years ago
Habarileo22 Feb
DC Hai apokea tani 4 za unga wa msaada
MKUU wa Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro, Novatus Makunga amepokea tani nne za unga wa sembe kwa ajili ya waathirika wa kimbunga cha hivi karibuni.
11 years ago
Michuzi12 Mar
JK APOKEA MSAADA WA MAGARI 11 YA KUKABILIANA NA UJANGILI LEO
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/lqYBC0naj-ETlp2DB9Fv8OsnLL1lA-0S_7CHMic3RwSQIXVNpeB5WlZQmTaCUHTSspLVO2wjGz6ZBbCPvogXL4eDK_KBESQFyxQBMWhaCqw-OYLXH3UzKD_r0bM=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/03/IMG_0461.jpg)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/C6WcipDCfoqxlDyZYaLkZy02yDSfQ1osxNonQJ5AehsaE-ucwzxxTozOHSBp19pJ4DaAgTIKqhxc-BN_gP-P7u6B3C9GCaNm8uI_2-XTLik2PjdrU-mB=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/03/1-2.jpg)
11 years ago
Habarileo25 Dec
Pinda apokea msaada wa pikipiki 44 kutoka China
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amepokea pikipiki 44 zikiwa ni msaada kutoka Ubalozi wa China na Kampuni ya Fu-Tang ya kutoka China.
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Clouds yatoa msaada hospitali Temeke
KAMPUNI ya Clouds Media Group imetoa msaada wa vifaa vya hospitali kwa Hospitali ya Temeke, Dar es Salaam. Akizungumza baada ya kukabidhiwa vifaa hivyo ambavyo vitatumika kwa wajawazito na wagonjwa...