Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC Hai apokea tani 4 za unga wa msaada

MKUU wa Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro, Novatus Makunga amepokea tani nne za unga wa sembe kwa ajili ya waathirika wa kimbunga cha hivi karibuni.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BODI YA CHAKULA, DAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR YAANGAMIZA UNGA WA NGANO TANI 70 AMBAO HAUFAI KWA MATUMIZI YA BINADAMU

  Magari yakipakia Unga wa ngano mbovu katika godauni lililokuwa la Bodi ya Chakula, Dawa na Vipodozi Zanzibar (ZFDB) Mnazi mmoja, unga huo haufai kwa matumizi ya binadamu. Unga wa ngano mbovu tani 70 uliokamatwa ukiwa sokoni na mafisa wa Bodi ya Chakula, Dawa na Vipodozi Zanzibar ukimwangwa eneo la Zingwezingwe Mkoa wa Kaskazini ''B'' Unguja tayari kawa kuangamizwa. Kijiko likichukua mchanga kuchanganya na unga ulioharibika kwa lengo la kuangamiza katika kijiji cha Zingwezingwe Mkoa wa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mtemvu atoa msaada wa tani 5 za vyakula kwa vikundi vya wasio na uwezo Temeke, Dar

1. Beatrice Mgomele wa Makao ya Taifa, Kurasini, Dar es Salaam,  akipokea msaada

Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu, akimkabidhi msaada wa vyakula, Beatrice Mgomele wa Makao ya Taifa, Kurasini, Dar es Salaam,  wakati wa hafla ya Mtemvu kukabidhi msaada wa tani tano ya vyakula kwa vituo na vya watoto wanaoishi latika, mazingira magumu na wasiojiweza, leo Julai 13, 2014, Temeke, Dar es Salaam. 

2. Hamisi Ally wa Kituo cha Dar Alqama, Tandika akipokea msaada

 Hamisi Ally wa Kituo cha Dar Alqama, Tandika akipokea msaada huo wa vyakula kwa niaba ya kituo hicho.

3. Aminajaat Kilemia wa Kituo cha Hiari Chang'ombe akipokea msaada

 Mtemvu akimkabidhi, Aminajaat Kilemia wa Kituo cha Hiari Chang’ombe msaada wa...

 

9 years ago

Michuzi

NMB YAKABIDHI MSAADA WA MADAWATI HAI

Meneja wa benki ya NMB tawi la Hai Medadi Malisa kulia akimkabidhi mwalimu mkuu wa shule hiyo Teodora Mlayi huku akishuhudiwa na mgeni rasmi Zuhura Chikira ambaye ni katibu tawala wa wilaya ya HaiMeneja wa Benki ya NMB wilaya ya hai Medadi malisa Kushoto akiwa amekaa kwenye madawati yaliyotolewa msaada na benki hiyo kwa shule ya msingi kambi ya Raha, kulia kwake ni Afisa Elimu wa wilaya hiyo Deogracia Mapunda akifuatiwa na katibu tawala Zuhura Chikira na mwenyekiti wa shule hiyo.
 Na...

 

11 years ago

Michuzi

MAMA SHEIN APOKEA MSAADA WA VYARAHANI

Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein (wa pili kulia) akipokea Msaada wa Vyarahani Kutoka kwa Mke wa Balozi Mdogo wa China anayefanyia kazi Zanzibar Mama Wu Yan Ikulu ya Migombani leo,(kushoto) Mke wa Makamo wa Pili wa Rais Mama Asha Balozi na Safia Mlinde Mke Mbunge wa Jimbo la Bumwini.(kulia) [Picha na Othman Maulid).

 

10 years ago

Vijimambo

MBUNGE WA JIMBO LA TEMEKE APOKEA MSAADA

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Good One, Wu Ya Hui (kushoto), akimkabidhi msaada wa vyakula na nguo, sabuni na vyombo Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu vilivyotolewa kwa Kituo cha Kulelea Yatima cha Darul Arqam cha Tandika, Dar es Salaam jana. Msaada huo uliombwa na mbunge huyo kwa kushirikiana na aliyewahi kuwa Makamu wa Rfais wa TFF, Athuman Nyamlani. PICHA NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG Mtemvu akipokea sabuni kwa ajili ya kituo hicho.
 Mtemvu akipoea  balo la nguo za...

 

11 years ago

Michuzi

JK APOKEA MSAADA WA MAGARI 11 YA KUKABILIANA NA UJANGILI LEO


Rais Jakaya Kikwete akitoa hotuba yake kushukuru msaada magari 11 ulioyatolewa na Mkurugenzi wa Frankfurt Zoological Society (FZS) kanda ya Afrika, Robert Muir kwa ajili ya kupambana na vitendo vya ujangili katika hifadhi za Serengeti, Selous na Maswa. Rais Jakaya Kikwete wa pili kushoto akipata maelezo kuhusu msaada wa magari 11 kutoka kwa Mkurugenzi wa Frankfurt Zoological Society (FZS) kanda ya Afrika, Robert Muir (katikati)na kulia ni Balozi wa Ujerumani nchini Hans Koeppel katika...

 

11 years ago

Habarileo

Pinda apokea msaada wa pikipiki 44 kutoka China

Waziri Mkuu, Mizengo PindaWAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amepokea pikipiki 44 zikiwa ni msaada kutoka Ubalozi wa China na Kampuni ya Fu-Tang ya kutoka China.

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA NMB YATOA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO WILAYANI HAI

Meneja wa Benki ya NMB kanda ya kaskazini Vicky Bishubo akizungumza wakati wa kukabidhi msaada wa kwa waathirika wa mafuriko yaliyotokea hivi karibuni ukanda wa chini wilayani Hai.Msaada wa magodoro uliotolewa na Benki ya NMB kwa waathirika wa mafuriko yaliyotkea hivi karibuni wilayani Hai.Meneaja wa NMB kanda ya kasakazini Vicky Bishubo akikabidhi msaada kwa mkuu wa wilya ya Hai,Anthony Mtaka huku zoezi hilo likishuhudiwa na mbunge wa jimbo hilo Freeman Mbowe.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA NMB YAGAWA MSAADA WA MADAWATI NA MEZA ZA WALIMU WILAYANI HAI

DSC_0358Benki ya NMB imetoa msaada wa madawati 40 na meza za walimu wenye thamani ya sh. milioni 5 katika shule za msingi  Mwaramu,iliyomo wilayani humo,huku msaada huo ukiwa umetokana na faida inayopata benki hiyo.
Akiongea baada ya kukabidhi msaada huo,meneja wa benki  hiyo kanda ya kaskazini, Vicky Bishubo alisema benki hiyo imeamua kutoa msaada wa madawati hayo baada ya kuona shule nyingi zikikosa madawati na wanafunzi wake wakikaa chini kwenye sakafu.
Alisema kutokana na hali hiyo wanafunzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani