MCHAWI WA UNGO ADONDOKA, AGEUKA KUKU

Stori: Joseph Ngilisho, Arusha HALI ya taharuki iliyoambatana na imani za kishirikina iligubika Jiji la Arusha kufuatia mwanamke ambaye hakufahamika jina kudondoka na ungo wa kishirikina asubuhi ya Ijumaa iliyopita kisha ghafla kubadilika kuwa kuku mweupe mwenye mayai ndani ya ungo, Uwazi limeona mengi. Mamia ya wananchi katika eneo la Kimandolu kando ya Barabara ya Arusha- Moshi walimiminika kushuhudia tukio hilo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
UNGO WA MCHAWI WAZUA KIZAAZAA!
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Misukule ya teknolojia (safari ya ungo inaendelea)
10 years ago
GPL
RAIS MUGABE ADONDOKA UWANJA WA NDEGE
11 years ago
GPL
JB ADONDOKA AKIMUELEZEA MAREHEMU KUAMBIANA LEADERS
11 years ago
GPLMAKAMU MWENYEKITI WA NCCR-ZANZIBAR ADONDOKA, AKIMBIZWA AMANA
9 years ago
Mtanzania21 Nov
Zitto ageuka
Evans Magege na Jonas Mushi
MBUNGE wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Kabwe, jana hakutoka bungeni wakati wabunge wa upinzani wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) walipoamriwa kufanya hivyo na Spika wa Bunge, Job Ndugai, baada ya kukataa kuacha kuzomea na kupiga kelele kwa minajili ya kumzuia Rais John Magufuli kuzindua Bunge la 11.
Awali Zitto alionekana kuungana na Ukawa kabla Rais Magufuli hajaingia ndani ya Bunge.
Tukio ambalo lilionekana kuwaunganisha Zitto na Ukawa ni lile...
11 years ago
Mwananchi03 Oct
Maximo ageuka ‘mbogo’
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Mwambusi ageuka ‘mbogo’
10 years ago
GPL
MTOTO WA CIARA AGEUKA KIVUTIO