Mchezo wa bahati na sibu katika kandanda
Je unashbikia timu gani ya kandanda, Je umeshiriki mchezo wa kubahatisha ? Sikiza masaibu ya wapenzi wa timu za soka waliobashiri kushindwa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili20 Jun
Cristiano Ronaldo na Lionel Messi: Ni nani atakayewarithi nyota wa mchezo wa kandanda duniani muongo huu?
Huku tukielekea katika muongo mpya, BBC Sport anauliza ni nani atakayechukua mahal pao Lionel Messi na Cristiano Ronaldo kama viongozi wa soka duniani?
10 years ago
BBCSwahili24 Nov
Messi bora zaidi katika kandanda
Nyota wa Barcelona Lionel Messi amesifiwa kuwa 'mchezaji bora zaidi katika historia ya kandanda', anasema rais Josep Maria Bartomeu.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-D37aWHuOehY/VEuIzpivlAI/AAAAAAAGtS8/6pCaCSOZEHI/s72-c/MMGM0812.jpg)
TEAMDIZOMOJA YAICHAPA TEAMISMAIL BAO 4-1 KATIKA KUSHEREHEKEA MIAKA 4 YA KUNDI LA KANDANDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-D37aWHuOehY/VEuIzpivlAI/AAAAAAAGtS8/6pCaCSOZEHI/s1600/MMGM0812.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RBGEbxkNbgM/VEuI1Vpui8I/AAAAAAAGtTE/lOgPb_9VuGE/s1600/MMGM0689.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pMhpJXyfo0E/VDztO-T7RJI/AAAAAAAAnpQ/YPhplvwwTfE/s72-c/Dizo-Moja-na-ISmail-Banner.jpg)
Group la Kandanda katika Mtandao wa Facebook kuadhimisha miaka mitano ya uwepo wake
![](http://1.bp.blogspot.com/-pMhpJXyfo0E/VDztO-T7RJI/AAAAAAAAnpQ/YPhplvwwTfE/s1600/Dizo-Moja-na-ISmail-Banner.jpg)
Kuadhmisha siku hiyo, Members wa Kundi hilo wametengeneza timu ambazo ni #TeamDizomoja na #TeamIsmail, ambazo zitachuana siku hiyo katika viwanja vya TCC Sigara-Chang’ombe.
Timu hizo zote mbili zimekuwa na maandalizi ya Takribani Miezi miwili sasa, na usajili ulishafungwa tarehe 11/10/2014.
Sherehe hizo zinatarajiwa kuanza saa 3 Asubuhi ikifuatiwa na Offline...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_AimqVcz5hE/Vobhx7c-JLI/AAAAAAAIP08/1RWdns8p_Lg/s72-c/4f1928bd-440a-4f85-a1ef-25724e9bd413.jpg)
Kandanda Day 2015 yafungua mwaka kwa kukabidhi vitabu na mipira katika kituo cha watoto.
Baada ya kufanikisha kwa Tamasha la siku ya Kandanda hapo Oktoba 17 mwaka jana, Tamasha lililobeba Ujumbe wa "#OneBallOnTxt Book" ikiwa ni Dhima kamili ya kunyanyua Mchezo wa mpira wa miguu kuanzia ngazi ya shule ya msingi na kuwasisitizia watoto wetu umuhimu wa kusoma pia, Timu nzima ya Wanakandanda imeonelea Kuufungua Mwaka 2016 kwa kwenda kutembelea Kituo cha kulelea watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu na kukabidhi Mchango wao ambao ulitokana na mauzo ya fulana za Tamasha la Siku ya...
11 years ago
Mwananchi30 Apr
TFF, Yanga katika mchezo mchafu
>Uongozi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) linadaiwa kushirikiana na uongozi wa Yanga kukusanya mapato kinyemela kukwepa kulipa deni la   madai ya wachezaji wake wa zamani.
10 years ago
MichuziYANGA YAIZAMISHA SIMBA 4-3 KATIKA MCHEZO WA MWAKA MPYA ULIOANDALIWA NA PSPF
TIMU ya Yanga veterani imeibuka mshindi wa mchezo wa kirafiki dhidi ya Simba veterani ulioandaliwa na PSPF, Yanga iliibuka na ushindi wa bao 4-3 na kubeba kombe. Mchezo huo ulifanyika tarehe 1 Januari 2015 katika uwanja wa chuo cha Bandari, Tandika jijini Dar es Salaam.
Hadi dakika tisini zinakamilika timu hizo zilitoka sare ya bao moja kwa moja, mabao hayo yaifungwa na Omari kapilima kwa upande wa Yanga na Barnabas Sekolo kwa upande wa Simba.
Bingwa wa mchezo huo alipatikana kwa njia ya...
Hadi dakika tisini zinakamilika timu hizo zilitoka sare ya bao moja kwa moja, mabao hayo yaifungwa na Omari kapilima kwa upande wa Yanga na Barnabas Sekolo kwa upande wa Simba.
Bingwa wa mchezo huo alipatikana kwa njia ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--Cw8P2HQOsE/XuRqkpTqQWI/AAAAAAALtqA/g82GeP9XkBYDh4ZF_9l9JxROe4aHD2LaACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-13%2Bat%2B8.53.13%2BAM.jpeg)
Jumuika katika mchezo huu ambao ni mfano halisi wa upendo wa kweli
![](https://1.bp.blogspot.com/--Cw8P2HQOsE/XuRqkpTqQWI/AAAAAAALtqA/g82GeP9XkBYDh4ZF_9l9JxROe4aHD2LaACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-13%2Bat%2B8.53.13%2BAM.jpeg)
Kwa ushirikiano na Microgaming Kasino ya Mtandaoni ya Meridian imekuletea hii bora zaidi, Immortal Romance. Mchezo huu kimsingi upo katika mazingira ya hadithi za kisayansi, mapenzi ya bashasha na imani za haiba tofauti za...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania